Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Hakuna physical Exodus Wala Kutoka utumwani Kama watu wanavyojiaminisha mkuu..😅😅

hakuna Evidence inayosuggest Kuwa Misri kulikuwa na Watumwa wa kabila lolote la waisrael..Hakuna hata mchoro mmoja wa Waisrael misri...

Atakayekuambia kulikuwa na physical exodus mwambie akuonyeshe Evidence then Nitag mkuu..

NB: Nakuacha na Tafakuri Nduguze na Yusuph walitoka kanaani kwenda Misri zaidi ya Mara tatu kwa wiki chache kwenda na kurudi...
soma Mwanzo 42- mwanzo 44...
jiulize kama walikuwa wakiena na kurudi kwa wiki kadhaa na Kilomita ni zile zile njia ni ile ile walishindwaje kutumia MUDA WA WIKI AU HATA BASI MIEZI AU MWAKA WALIPOKUWA WANARUDI KANAANI baada ya Utumwa..
😅😅
Bible Ina story za kusikitisha...mpaka mtu Hadi Leo anaamini ni true word of god...huyo yupo gizani kinoma
 
Kama haukuwepo lakini umepata kuwako mbona imekuwa ajabu kwa mungu kuwako
Hujathibitisha Mungu yupo, unapiga hadithi tu kwamba Mungu yupo.

Kupiga hadithi kwamba Mungu yupo si kuthibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Pia kuleta maada ya kumjadili MUNGU usiemuona usiemjua na mwisho ukasema hayupo ni akili duni,,kupoteza mda na kuonyesha huyo mwenye kuleta maada ya kumjadili MUNGU asiemtaka namna alivyo debe tupu[Empty barrell]
Bac nasema Optimus prime the transformer king of the Galaxy ndo katuumba sote muabudu or else u r a fool n u will perish
 
Hujathibitisha Mungu yupo, unapiga hadithi tu kwamba Mungu yupo.

Kupiga hadithi kwamba Mungu yupo si kuthibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
Nimekuuliza wewe ulikuwepo wapi miaka 200 iliyo pita mbona ujibu
 
Solution ni za kisiasa na ki jiography sio kidini...Wala haihusiki na Mungu yupi yupo...I'm not educated on the matter ya Palestine na Israel so Sina hoja kuhusu Hilo..if u think God is the solution bac funga na kusali Mungu awalinde
Maana yangu ni hii Suala la kumjadili MUNGU kwa sababu ya Vita,,umaskini na chuki ni wasting of time..toeni solution ya hayo matatizo na sio kujaribu kutupa sisi elimu ya kipumbaf kabisa kwamba MUNGU hayupo.Mimi binafsi sipendi watu wauwane waharibiane na wachukiane lakini nyie Atheist mnaojiona wajuaji tunashangaa kuona na nyie mkiwa low kushinda hata wanasiasa...Humu mnaweza mkaanzisha maada nzuri mkakuta inakuwa mjadala mpaka ndani ya ubalozi wa Israel,,Palestina na Irani na Marekani..Lakini Mnaposema hakuna Mungu kama maada yenu kubwa mnaishia kuwa mapipa matupu yanayopiga kelele tu.NO ONE IS BUYING YOUR STUPIDITY AND NONSENSE.
 
[emoji23]Kwa nini amecheza hapo tu huyo Mungu huku Zambia Australia hakufika...[emoji23]afu kwa nini anamtokea mtu mmoja afu si ndo tusikilize porojo zake...yaani mtu mmoja ana unfair advantage coz yeye katokewa kaona live evidence afu sisi tuamini story afu wote tuko judged sawa..[emoji23]kweli huyu Mungu ni loving?
Wapi imeandikwa anamtokea mtu mmoja tu na wakati alishawahi ishi mpaka duniani miaka 2000+ iliyopita? Kautokea umati ila yeye hakai penye dhambi ndo maana hawatokei watu wote mpaka pale alipochukua mwili wenye udhaifu na kukaa katikati hadi ya walevi, wazinzi, mafisadi, wezi na watu wa kila aina. Halafu matendo hayajifichi so ukiona jambo fulani unaeza jua yupo maeneo hayo emu mtafute.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Yeye ni alpha and omega yani ndo mwanzo na ndo mwisho hakuna chanzo chake yeye yupo tu ila mwanadamu nd chanzo chake aliumbwa. Sasa ukiangalia reflection ya maisha ya mwanadamu unajua kwamba it was never a random process. How can a random process create people with purpose? Halafu the reason tunasema mtuoneshe cell ilitokea wapi ni kwasababu mpaka leo hii cells zipo watu wanazistudy so ilitakiwa wawe washajua jinsi ya kutengeneza. Na nani alizistopisha cell zilizopo sahv zisiendelee kucreate viumbe wengine huko na huko.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Bac na ulimwengu ni alfa na omega ndo mwanzo na mwisho hakuna chanzo chake ulimwengu ulikuwepo all time.. prove me wrong
 
Yeye ni alpha and omega yani ndo mwanzo na ndo mwisho hakuna chanzo chake yeye yupo tu ila mwanadamu nd chanzo chake aliumbwa. Sasa ukiangalia reflection ya maisha ya mwanadamu unajua kwamba it was never a random process. How can a random process create people with purpose? Halafu the reason tunasema mtuoneshe cell ilitokea wapi ni kwasababu mpaka leo hii cells zipo watu wanazistudy so ilitakiwa wawe washajua jinsi ya kutengeneza. Na nani alizistopisha cell zilizopo sahv zisiendelee kucreate viumbe wengine huko na huko.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kumbe ana mwisho Kumbe yeye ni mwanzo na Mwisho...
Me nikajua kuwa mnasema ni infinity 😅😅

Unaposema cells haitengenezi Viumbe wengine unamaanisha nini?
Even Mwanangu wa mwisho anayesoma Darasa la Saba anaweza kukushangaa kwamba cells haiproduce...
Wakati sperm yenyewe Ni cell 😅😅

Kuna maswali nilitka kukuuliza nimeona ntakuonea..
Mchana mwema
 
Maana yangu ni hii Suala la kumjadili MUNGU kwa sababu ya Vita,,umaskini na chuki ni wasting of time..toeni solution ya hayo matatizo na sio kujaribu kutupa sisi elimu ya kipumbaf kabisa kwamba MUNGU hayupo.Mimi binafsi sipendi watu wauwane waharibiane na wachukiane lakini nyie Atheist mnaojiona wajuaji tunashangaa kuona na nyie mkiwa low kushinda hata wanasiasa...Humu mnaweza mkaanzisha maada nzuri mkakuta inakuwa mjadala mpaka ndani ya ubalozi wa Israel,,Palestina na Irani na Marekani..Lakini Mnaposema hakuna Mungu kama maada yenu kubwa mnaishia kuwa mapipa matupu yanayopiga kelele tu.NO ONE IS BUYING YOUR STUPIDITY AND NONSENSE.
Kwani mi naongelea vita...mbona unaenda OP my nigga
 
Wapi imeandikwa anamtokea mtu mmoja tu na wakati alishawahi ishi mpaka duniani miaka 2000+ iliyopita? Kautokea umati ila yeye hakai penye dhambi ndo maana hawatokei watu wote mpaka pale alipochukua mwili wenye udhaifu na kukaa katikati hadi ya walevi, wazinzi, mafisadi, wezi na watu wa kila aina. Halafu matendo hayajifichi so ukiona jambo fulani unaeza jua yupo maeneo hayo emu mtafute.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
So dunia nzima hako kasehemu Cha jangwani middle east kwa wafuga kondoo na mbuzi tu walikuwa hawana dhambi?
 
Nimekuuliza wewe ulikuwepo wapi miaka 200 iliyo pita mbona ujibu
Mimi kuwapo au kutokuwapo inathibitishaje uwepo wa Mungu?

Unataka kusema nini? Kwamba Mungu hakuwapo miaka 200 iliyopita kazaliwa miaka ya 1970?
 
Kama mkoloni angeanza kutawala bila dini uwezekano wa kufeli ulikuwa mkubwa
Embu niambie makanisa waliokuwa wanasali waafrica enzi za ukoloni ni yapi maana walikuwa hawawezi kusali na wazungu. Kama nakumbuka Nyerere baba yake hakuwa anasali ila Nyerere ndo alikuwa anasali kanisa la katholic na ndio alieokomboa nchi tena kwa msaada wa hayo hayo makanisa sasa sijui wewe unazungumzia vitu gani. Halafu hii logic ni mbovu hata science tunayoisifia chukulia mfano quantum physics ambacho ni muhimu sana kusoma kuna mtu akagundulia bomu lililolipua malaki ya watu huko Hiroshima na Nagasaki na ni threat kwetu mpaka leo hii. Mbona hatuwasikii mkiikandia hii taalum ya quantum physics?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Wapi imeandikwa anamtokea mtu mmoja tu na wakati alishawahi ishi mpaka duniani miaka 2000+ iliyopita? Kautokea umati ila yeye hakai penye dhambi ndo maana hawatokei watu wote mpaka pale alipochukua mwili wenye udhaifu na kukaa katikati hadi ya walevi, wazinzi, mafisadi, wezi na watu wa kila aina. Halafu matendo hayajifichi so ukiona jambo fulani unaeza jua yupo maeneo hayo emu mtafute.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo Mungu ni Yesu?
Kama ndiyo kwahyo Mungu alikuwa anatandika Kinywaji safi kabisa Na mzabibu anabugia..
Kweli title haikukosea Ni low minded
 
Kumbe ana mwisho Kumbe yeye ni mwanzo na Mwisho...
Me nikajua kuwa mnasema ni infinity 😅😅

Unaposema cells haitengenezi Viumbe wengine unamaanisha nini?
Even Mwanangu wa mwisho anayesoma Darasa la Saba anaweza kukushangaa kwamba cells haiproduce...
Wakati sperm yenyewe Ni cell 😅😅

Kuna maswali nilitka kukuuliza nimeona ntakuonea..
Mchana mwema
Hawa watu wengine washajitoa akili kutetea habari zisizo na mantiki.

Unapojibizana nao, ni kwa faida ya wengine watakaofuatilia mjadala, lakini kamwe usifikiri unaweza kuwageuza wafia dini walioamua kukataa mantiki.

Wewe mtu ukimbana kimantiki anaweza kukujibu kirahisi tu "The Lord works in mysterious ways". Chochote kinawezekana.

Kwisha kazi. Kashakumaliza wewe na sayansi yako yote, logic yako yote.

Sasa mtu kama huyo utabishana naye vipi kimantiki?
 
Hawa watu wengine washajitoa akili kutetea habari zisizo na mantiki.

Unapojibizana nao, ni kwa faida ya wengine watakaofuatilia mjadala, lakini kamwe usifikiri unaweza kuwageuza wafia dini walioamua kukataa mantiki.

Wewe mtu ukimbana kimantiki anaweza kukujibu kirahisi tu "The Lord works in mysterious ways". Chochote kinawezekana.

Kwisha kazi. Kashakumaliza wewe na sayansi yako yote, logic yako yote.

Sasa mtu kama huyo utabishana naye vipi kimantiki?
😅😅
Bahati nzuri Upande wao naujua Saana kuliko wao wenyewe
 
Back
Top Bottom