Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Msiomwamini MUNGU tuonyesheni solution na sio mnakuwa na maneno MENGI.Kwamba marekani hawana dini na Israel hawana dini ila vita inayoendelea pale ni ya maslahi [Nonsense} Kwa wapalestina kuna maslahi gani? Gaza kuna nini zaidi ya boti za uvuvi....Badala ya kupiga kelele hapa kwamba MUNGU hayupo andikeni solution za mgogoro wa mashariki ya kati,,solution ya umaskini wa Afrika na solution ya elimu duni ya Afrika...Ninyi atheist mliozaliwa mchafukoge mkasoma bunge na chuo kikuu cha mlimani bado elimu yenu ni duni tu.
Solution ni za kisiasa na ki jiography sio kidini...Wala haihusiki na Mungu yupi yupo...I'm not educated on the matter ya Palestine na Israel so Sina hoja kuhusu Hilo..if u think God is the solution bac funga na kusali Mungu awalinde
 
Umekubali kwamba hoja yako haina mantiki na hujaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Nimejua kuwa hakuna Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) kama vile ninavyojua hakuna mwanamme mwenye miaka 30 leo ambaye mama yake mzazi kibaiolojia ni binti mchanga mwenye umri wa miezi 6 leo, kwa kuangalia "proof by contradiction".

Kama vile ninavyojua kwamba, kwenye hesabu za base ten, square root ya 2 si 10, kwa kuangalia "proof by contradiction".

Kimantiki, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anakuwa contradicted na ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Ama ulimwengu ambao mabaya yanawezekana upo, na Mungu hayupo, ama Mungu yupo, na ulimwengu unaoruhusu mabaya haupo.

Mawili haya hayawezi kuwepo kwa pamoja, the two are mutually exclusive.

Tunaona dhahiri ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, hivyo, Mungu hayupo.

Kwenye swali lako la kuhusu haya mambo ya maajabu ya complexity, yanayoonekana yamepangiliwa vizuri, yanawezekanaje kuwapo bila Mungu, kwanza kabisa, swali lako limefanya logical fallacy ya logical non sequitur.

Logical fallacy ya logical non sequitur ni kuunganisha mambo ambayo hayana muungano wowote.

Yani, ulichofanya hapo ni kama vile, kuna Waingereza mateka wameokolewa kutoka jela ya Hamas, hatujui nani kawaokoa. Ila, kwa sababu tunajua Waingereza wana jasusi maarufu James Bond 007 kutoka katika filamu zao, basi lazima itakuwa ni James Bond tu kawaokoa. Kama si James Bond nani sasa?

Yani, hujatoa uthibitisho kwamba James Bond yupo kweli, hujatoa ushahidi kwamba James Bond kawaokoa Waingereza mateka wa Hamas, unachukulia ukweli kwamba huna jibu kuwa ndilo jibu kwamba James Bond kaokoa mateka.

Kutokuwa na jibu ni kutokuwa na jibu tu, fanya uchunguzi upate jibu.

Kutokuwa na jibu kwamba maajabu ya dunia yametokeaje na yanaendaje, hakumaanishi jibu ni Mungu. To claim so is a logical non sequitur fallacy.

Zaidi, unaposema kwamba mastaajabu ya dunia na complexity yoyote ni lazima iwe na muumba aliyepangilia mambo, fikra hii, ingawa kwa kutumia akili ndogo inaweza kuonekana kuwa inatetea uwepo wa Mungu, kwamba lazima Mungu awepo na kuumba mambo complex, lakini, ukitumia akili kubwa inayovuka first level thinking, utaona kwamba, hii hoja kwa kweli inaonesha Mungu muumba vyote hayupo na hawezi kuwapo.

Narudia tena, swali lako la imekuwaje vilivyo complex viwepo vyenyewe bila muumba, halioneshi kuwa Mungu yupo, linaonesha kuwa Mungu hayupo na hawezi kuwepo.

Kwa nini?

Kimsingi swali linaonesha kuwa complexity yenye high order haiwezi kutokea yenyewe, ni lazima ipangwe na kuumbwa.

Tukikubali hilo bila exception, hilo litamaanisha hakuna Mungu muumba vyote, kwa sababu Mungu naye atakuwa complex na atahitaji muumba, na muumba wake atahitaji muumba, na muumba wake atahitaji muumba, ad infinitum, ad nauseam.

Hapa ndipo kuna lile swali la watoto lisilojibika. Mungu katoka wapi? Kawepoje?

Hapo unaweza kuwa na mfumo wa mviringo ambao hauna mwanzo wala mwisho, na hivyo hauna muumba wa vyote, lakini huwezi kuwa na mfumo ambao una Mungu muumba wa vyote.

Ukiweka exception yoyote, kwamba inawezekana Mungu ni special case, hapo tayari unakuwa umekwishavunja kanuni ya kwamba kila kilicho complex ni lazima kiwe kimeumbwa, na kwa kuvunja kanuni hiyo, unafungua mlango wa kuwezekana kuwepo ulimwengu wenye vilivyo complex , bila ya Mungu kuwapo.

Hivyo, swali la msingi linakuwa, je, inawezekana ulimwengu ukawa na vitu complex vyenye high order bila kuumbwa kuwa hivyo kwa makusudi maalum?

Ukisema ndiyo, inawezekana, then hapo Mungu hahitajiki kuwepo, kwa sababu complexity kuwapo si lazima Mungu awepo.

Ukisema hapana, haiwezekani complexity kuwapo bila kuumbwa na Mungu, hapo umekataa uwepo wa Mungu, kwa sababu Mungu naye ni complexity, na kama complexity haiwezi kuwapo bila kuumbwa, basi Mungu naye kaumbwa, na kama kaumbwa, basi huyo si Mungu kweli. Si muumba vyote, kwa sababu na yeye kaumbwa.

Vyovyote utakavyolijibu swali hili, linatuonesha Mungu hayupo.
Na bado atabisha
 

Mathayo 11:25-26​

Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwaficha mambo fulani watu fulani na kuwafungulia wengine ni contradiction.

Pia, Mungu huyo kuumba ulimwengu wa watu wenye hekima na akili, na wengine wasio hekima na akili, ni contradiction.

Kimantiki, katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu huyo, kila mtu ana hekima na akili vizuri tu.

HIvyo, kuwapo kwa watu wajinga ni ushahidi kwamba Mungu hayupo.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ana kila uwezo, kila ujuzi na kila upendo wa kuumba ulimwengu ambao hauna watu wajinga.

Hivyo, kwa nini aumbe ulimwengu ambao unaweza kuwa na watu wajinga?

Ama Mungu huyo yupo, na ulimwengu hauna wajinga, ama ulimwengu una wajinga na Mungu huyo hayupo.

Mawili haya hayawezi kuwa kweli kwa pamoja. The two are mutually exclusive.

Dhahiri tunaona ulimwengu una wajinga wengi kila siku.

Hivyo, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
 
Umekubali kwamba hoja yako haina mantiki na hujaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Nimejua kuwa hakuna Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) kama vile ninavyojua hakuna mwanamme mwenye miaka 30 leo ambaye mama yake mzazi kibaiolojia ni binti mchanga mwenye umri wa miezi 6 leo, kwa kuangalia "proof by contradiction".

Kama vile ninavyojua kwamba, kwenye hesabu za base ten, square root ya 2 si 10, kwa kuangalia "proof by contradiction".

Kimantiki, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anakuwa contradicted na ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Ama ulimwengu ambao mabaya yanawezekana upo, na Mungu hayupo, ama Mungu yupo, na ulimwengu unaoruhusu mabaya haupo.

Mawili haya hayawezi kuwepo kwa pamoja, the two are mutually exclusive.

Tunaona dhahiri ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, hivyo, Mungu hayupo.

Kwenye swali lako la kuhusu haya mambo ya maajabu ya complexity, yanayoonekana yamepangiliwa vizuri, yanawezekanaje kuwapo bila Mungu, kwanza kabisa, swali lako limefanya logical fallacy ya logical non sequitur.

Logical fallacy ya logical non sequitur ni kuunganisha mambo ambayo hayana muungano wowote.

Yani, ulichofanya hapo ni kama vile, kuna Waingereza mateka wameokolewa kutoka jela ya Hamas, hatujui nani kawaokoa. Ila, kwa sababu tunajua Waingereza wana jasusi maarufu James Bond 007 kutoka katika filamu zao, basi lazima itakuwa ni James Bond tu kawaokoa. Kama si James Bond nani sasa?

Yani, hujatoa uthibitisho kwamba James Bond yupo kweli, hujatoa ushahidi kwamba James Bond kawaokoa Waingereza mateka wa Hamas, unachukulia ukweli kwamba huna jibu kuwa ndilo jibu kwamba James Bond kaokoa mateka.

Kutokuwa na jibu ni kutokuwa na jibu tu, fanya uchunguzi upate jibu.

Kutokuwa na jibu kwamba maajabu ya dunia yametokeaje na yanaendaje, hakumaanishi jibu ni Mungu. To claim so is a logical non sequitur fallacy.

Zaidi, unaposema kwamba mastaajabu ya dunia na complexity yoyote ni lazima iwe na muumba aliyepangilia mambo, fikra hii, ingawa kwa kutumia akili ndogo inaweza kuonekana kuwa inatetea uwepo wa Mungu, kwamba lazima Mungu awepo na kuumba mambo complex, lakini, ukitumia akili kubwa inayovuka first level thinking, utaona kwamba, hii hoja kwa kweli inaonesha Mungu muumba vyote hayupo na hawezi kuwapo.

Narudia tena, swali lako la imekuwaje vilivyo complex viwepo vyenyewe bila muumba, halioneshi kuwa Mungu yupo, linaonesha kuwa Mungu hayupo na hawezi kuwepo.

Kwa nini?

Kimsingi swali linaonesha kuwa complexity yenye high order haiwezi kutokea yenyewe, ni lazima ipangwe na kuumbwa.

Tukikubali hilo bila exception, hilo litamaanisha hakuna Mungu muumba vyote, kwa sababu Mungu naye atakuwa complex na atahitaji muumba, na muumba wake atahitaji muumba, na muumba wake atahitaji muumba, ad infinitum, ad nauseam.

Hapa ndipo kuna lile swali la watoto lisilojibika. Mungu katoka wapi? Kawepoje?

Hapo unaweza kuwa na mfumo wa mviringo ambao hauna mwanzo wala mwisho, na hivyo hauna muumba wa vyote, lakini huwezi kuwa na mfumo ambao una Mungu muumba wa vyote.

Ukiweka exception yoyote, kwamba inawezekana Mungu ni special case, hapo tayari unakuwa umekwishavunja kanuni ya kwamba kila kilicho complex ni lazima kiwe kimeumbwa, na kwa kuvunja kanuni hiyo, unafungua mlango wa kuwezekana kuwepo ulimwengu wenye vilivyo complex , bila ya Mungu kuwapo.

Hivyo, swali la msingi linakuwa, je, inawezekana ulimwengu ukawa na vitu complex vyenye high order bila kuumbwa kuwa hivyo kwa makusudi maalum?

Ukisema ndiyo, inawezekana, then hapo Mungu hahitajiki kuwepo, kwa sababu complexity kuwapo si lazima Mungu awepo.

Ukisema hapana, haiwezekani complexity kuwapo bila kuumbwa na Mungu, hapo umekataa uwepo wa Mungu, kwa sababu Mungu naye ni complexity, na kama complexity haiwezi kuwapo bila kuumbwa, basi Mungu naye kaumbwa, na kama kaumbwa, basi huyo si Mungu kweli. Si muumba vyote, kwa sababu na yeye kaumbwa.

Vyovyote utakavyolijibu swali hili, linatuonesha Mungu hayupo.
Mungu ni mfalme wa ulimwengu wa energy...hizo hesabu ni kazi yake na uzima wa kitu chochote watokana na yeye ...ukisema hakuna mungu je wewe ulikuwepo miaka 200 iliyopita ? Kama haukuwa umepataje kuwako ?
 
Pia kuleta maada ya kumjadili MUNGU usiemuona usiemjua na mwisho ukasema hayupo ni akili duni,,kupoteza mda na kuonyesha huyo mwenye kuleta maada ya kumjadili MUNGU asiemtaka namna alivyo debe tupu[Empty barrell]
 
Mkuu...

Usipomuabudu Mungu ni lazima utamuabudu shetani.

Unafikiri Hao watu wenye ushawishi duniani hawana wanachokiabudu kisa wamekuambia hawana dini?

Na Kwa akili Yako ukawaamini kabisa...

Sasa nikuambie Kila jamii Ina Miungu Yao.

Hao wajapani wachina bado wanafanya matambiko Hadi sasa.

Ukiskia mtu anahamasisha wanaume waoane ujue maagizo ya dini yake...

Alafu nikueleze, Kwa mfano, sio Kila nyimbo msanii au watu wa Injili wanazitunga, nyingine wanapewa ndotoni, NA NANI?

Hata vumbuzi usifikiri eti yote ni akili ya kibinadamu, kuna usaidizi...

Dini...

Iweje uamini kuna Plasmodium ukatae kuna Mungu?

Haya umba hata Jani la nyasi liote liwe hai tujue uwezo wako...
1. Plasmodium si hata wewe ukitaka Leo unaona
2. Mi na demu wako tunaweza umba another u
3. Hamna mtu anahamasisha wanaume waoane
4. Umefanya false dichotomy kulimit options ziwe mbili either Mungu wako au shetani..ni illogical na it's just a way to dismiss someone wakati Kuna watu hawaamini shetani na wanaishi maisha mazuri bila dini
 
Inabidi umtafute huyo elon musk hadi umpate ni njia nzuri na sahihi zaidi ....ukisoma kwenya agano la kale kuna mtu alimcha mungu alilalamika kwa mungu akisema .....zipo wapi zile sifa na nguvu na maajabu ya mungu ambayo babu zetu walituadithia ndipo mungu akamtuma malaika na kumwambia cha kufanya
Yaani unatumia novel Kama evidence ya story na character wa kwenye novel...duu kwa kweli tuna safari ndefu.
 
Mkuu
Hata wewe na yeye hamjatofautiana maana ulijaribu kumuonyesha maana ya DINI kutoka kwenye a siku ya neno ambalo ni kiarabu, lakini yeye amesema haikubali hiyo maana sababu zipo maana nyingine zaidi ya uliyomtajia wewe.

Huoni Kama mkuu hapo mpo sawa? Yeye kagugo ya kingereza wewe ya kiarabu
Sio ya kiarabu tu...ya mudi
 
Mungu ni mfalme wa ulimwengu wa energy...hizo hesabu ni kazi yake na uzima wa kitu chochote watokana na yeye ...ukisema hakuna mungu je wewe ulikuwepo m8aka 200 iliyopita ? Kama haukuwa umepataje kuwako ?
Hujathibitisha Mungu yupo, unahubiri tu.

Mimi hata kama nisingezaliwa kabisa, achikia mbali miaka 200 iliyopita, kama Mungu hayupo, hayupo tu, niwepo, nisiwepo, miaka 209, 1000. Kwa hivyo hii habari ya miaka 200 iliyopita ni irrelevant rubbish.

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
 
Na wewe tuambie umejuaje kua hakuna mungu ? Je vitu vyote vimejipanga na kujiumba kwa mpangilio mkuu wenye akili sana pasipo aliye vipangilia au useme hakuna kilicho na akili kubwa kilicho pangilia mambo haya yenye akili kubwa mfano biology ya binadamu tu ...ukicheki mpangilio wake ni wenye akili kubwa sana je ulijitengeneza wenyewe ....tumia akili ni mpumbavu tu asemaye hakuna mungu
Huyo Mungu kajiumbaje
 
Mkuu ngoja nikuitie huyu mtu hapa
DR Mambo AMP atuambie kuna historical evidence yoyote Kama Israel washawahi kuwa utumwani misri? Kwa uchache mkuu
Hamna historical evidence yoyote... egyptologists wamechimbua ma pyramids na masite yote hamna evidence yoyote ..Ile ni story tu ya kutungwa
 
wanasayansi hawana majibu. science is overrated
Mkuu unaelewa hapo unatumia science kuandika kuwa scuence is overrated?

Acha kutumia internet andika "science is overrated" kwenye mfumo usiotumia science.

Vinginevyo unakuwa wale watu wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Unasema "Science is overrated" wakati hapo hapo unaitumia kila siku.
 
Hujathibitisha Mungu yupo, unahubiri tu.

Mimi hata kama nisingezaliwa kabisa, achikia mbali miaka 200 iliyopita, kama Mungu hayupo, hayupo tu, niwepo, nisiwepo, miaka 209, 1000. Kwa hivyo hii habari ya miaka 200 iliyopita ni irrelevant rubbish.

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
Kama haukuwepo lakini umepata kuwako mbona imekuwa ajabu kwa mungu kuwako
 
[emoji16]Mungu katokea wapi...coz hatujawahi ona Mungu katokea from nowhere, so explain plz...katokeaje
Yeye ni alpha and omega yani ndo mwanzo na ndo mwisho hakuna chanzo chake yeye yupo tu ila mwanadamu nd chanzo chake aliumbwa. Sasa ukiangalia reflection ya maisha ya mwanadamu unajua kwamba it was never a random process. How can a random process create people with purpose? Halafu the reason tunasema mtuoneshe cell ilitokea wapi ni kwasababu mpaka leo hii cells zipo watu wanazistudy so ilitakiwa wawe washajua jinsi ya kutengeneza. Na nani alizistopisha cell zilizopo sahv zisiendelee kucreate viumbe wengine huko na huko.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom