Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Rafiki nimehudumu makanisani sana, sadaka asilimia kubwa makanisa mengi yanafaidisha watumishi, kujenga mahekalu na kuongeza ufahari. Kiasi kidogo sana ndo huenda kwa wahitaji. Makanisa mengi hayana bajeti ya kutoa misaada kwa jamii. Kidg kanisa kama Katoliki naona wanajenga vyuo, mahospitali na mahoteli.
Well katika msafara wa mamba na kenge wamo mkuu hilo hatukatai. Hata katika njia za sayansi matapeli wapo kibao tu tena na mauaji juu. Ukiona kanisa linaweka watu fulani kuwa juu kiuchumi mfano kuliko watu wengine kwa mali za kanisa lenyewe jua hapo kuna shida sbabu watakuwa hawajasoma kipengele kinasema uza mali zako zote kawagawie masikini kama agizo la Yesu mwenyewe. Mbona Yesu alikuwa hafanyi kazi ofcourse anaishi kwa misaada sana lakini alikuwa hajawahi chukua cha starehe sijui magari sijui mavyakula ya starehe. Unadhani pale alipoombea mikate na samaki na akala kama watu wengine alikuwa hawezi kuomba mikuku na mizaga zaga kibao.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
😅😅
Bahati nzuri Upande wao naujua Saana kuliko wao wenyewe
Tatizo wengi hawasomi. Tukienda kwa kusoma, mantiki, uchambuzi etc, wanakuja na majibu ya emotion, logical fallacies na kimsingi "the Lord works in mysterious ways".
 
Tatizo wengi hawasomi. Tukienda kwa kusoma, mantiki, uchambuzi etc, wanakuja na majibu ya emotion, logical fallacies na kimsingi "the Lord works in mysterious ways".
😅😅😅
Mkuu huwez ukawa Upande wa Faith ukapingana na Facts ukataka uwe in Logical ways..
Kwa mfano kuna mmoja alisema Mungu Ni energy nilitamani niende naye one on one kupitia 1st Law ya thermodynamics kuhusu Energy isolation nikaona nimuache tu..
Ntamuumiza hisia zake
 
Nadhani ingependeza zaidi ungetuambia wewe binafsi ni kitu gani umevumbua baada ya kuachana na hizo dini.

Ili tuamini kwamba kuna uhusiano hasi Kati ya dini na uvumbuzi.
Swali Moja Bob kubwa.....! Ukimuona mtu anajudge Sana dini Jua kuna mahali ubongo wake umestack kwenye kufanya tafakuri...! Cognitive discomfort.
 
😅😅😅
Mkuu huwez ukawa Upande wa Faith ukapingana na Facts ukataka uwe in Logical ways..
Kwa mfano kuna mmoja alisema Mungu Ni energy nilitamani niende naye one on one kupitia 1st Law ya thermodynamics kuhusu Energy isolation nikaona nimuache tu..
Ntamuumiza hisia zake
Na hapo mara nyingi sana utakuwa unamtajia first law of thermodynamics mtu ambaye hajawahi kuisikia na wala hana hata hamu ya kuijua tu.

Anaweza kukuambia tu Mungu ndiye kaiweka hiyo first law of thermodynamics kwa miujiza yake, kashamaliza hapo 🤣🤣🤣.
 
Na hapo mara nyingi sana utakuwa unamtajia first law of thermodynamics mtu ambaye hajawahi kuisikia na wala hana hata hamu ya kuijua tu.

Anaweza kukuambia tu Mungu ndiye kaiweka hiyo first law of thermodynamics kwa miujiza yake, kashamaliza hapo 🤣🤣🤣.
Sasa kaiweka halafu na yeye ndo yumo ndani ya Hiyo Isolation vaccum na yeye ndo energy...
So contadiction
 
Au ndiyo maana ma CCM Mungu wao ni Mtukufu Rais na waganga wa kienyeji....kamisani/msikitini ni lifestyle tu...
 
Kwa nini Yesu afe kwa ajili ya wengine wkt mnaamini ni Mungu na anaweza yote? kwa nini asitamke tu na dhambi zikaondoka zote? kwa nini bado dhambi zipo wkt alikufa ili kuziondoa?

Hakiki unachoamini
Alisema kuwa sikuja kuleta amani bali upanga. Kitu ambacho huelewi ni kuwa ile ni alama tu ya ukombozi ushawahi sikia wapi Mungu anakufa? Mungu hakutaka kutengeneza roboti alipomtengeneza mwanadamu bali alitaka kumtengeneza kiumbe safi mwenye free will yake ampende kwa matakwa yake. Kama mtu kama wewe Ibrahimu na manabii wengine waliweza kuishi bila dhambi we kwanini ulie lie uondolewe dhambi wakati unaweza ikataa fresh tu. NA Mungu ashasema hataki vilaza watu ambao wanashindwa kuelewa maarifa yake so someni jifunzeni maandiko muache kuuliza maswali mfu kama hayo.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
hizo stories za kutoa kwenye kitabu cha masimulizi sioni ka zina mantiki...Halafu kuhudhuria kanisani c lazima ati ndo mtu wa dini, wengine ni projects za kuwapiga low minded!
Kwahiyo hutaki masimulizi wakati kila kitu duniani ni masimulizi. Kwahiyo vita ya kwanza ya dunia umeipima kisayansi ee? Au kwasababu masimulizi hayakupi furaha wewe maan yanabana sehemu yako ya kujiachia maan hamtaki kitu kinachowahukumu.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Even if it doesn't make sense...it makes more sense than a naked couple in a garden with a talking snake...plus even if it doesn't make sense to u doesn't change the fact that it's ryt .nikikwambia nielezee how jet engines work n how planes fly, usipojua au usipoelewa the science behind it doesn't mean inapaa kimiujiza..ndo maana nasema I'm open to new info that's how science works..[emoji23]ila wewe ndo upo closed minded alichokuambia myahudi ndo hicho hicho Tena myahudi ambae hakujua jua linaenda wapi usiku
Naked couple haimake sense wakati unazaliwa uchi kabisa haijalishi wakiume au wa kike.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katokea Arabia, Mara Palestine Mara Canaan cjui Israel...why not Kenya...why not Australia...that's my point...mbona Mungu wenu ni kama katungwa na watu wa jamii fulani afu wamemsambaza dunia nzima..Mungu Kama yupo kote angemtokea kila mtu au kila mtu angezaliwa anamjua mmoja na anaelezea matakwa na sifa zake...ila all we see ni religion being an accident of geography... ukizaliwa familia ya kiislamu huko Afghanistan automatically utaamini Allah ni Mungu...this proves dini zote ni man made
Hapo ndo ambapo Mungu amewaacha njia panda msio waamini. Leo hii hadi mtu wa ndanda ndani huko anajua maandiko ila unasema Mungu kawatokea waisrael tu. Yani dhambi zinachukua mpaka ubongo aisee sasa unampangia Mungu akufikishiaje ujumbe. Halafu Mungu hakai kwenye dhambi uchwara zenu hizo ndo maan hao aliowatokea ni wale watakatifu ndo wakawaombea kuwa na nyinyi mnastahili lasivyo mngechomwa wote.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Sasa kaiweka halafu na yeye ndo yumo ndani ya Hiyo Isolation vaccum na yeye ndo energy...
So contadiction
Mimi hapa JF bado nafundisha the classic problem of evil as a contradiction showing the omnipresent, omniscient and all benevolent God does not exist.

That,

1. Either the universe allows evil and God does not exists.

or

2. That God exists and the universe does not allow evil.

That the two, 1 and 2, are mutually exclusive.

Somo rahisi sana kuelewa kwa mtu anayetumia mantiki.

Lakini watu kibao ama hawaelewi, ama wanakataa kuelewa kwa makusudi.

Do not discount the psychological effect called "cognitive dissonance".

Yani mtu anaweza kuelewa kabisa mantiki, lakini, kisaikolojia ikawa vigumu sana kuikubali.

Kama mtu aliyekaa miaka 50 akiamini kuwa mtu fulani ni baba yake wa kibaiolojia, halafu siku moja anapewa DNA evidence kwamba yule si baba yake wa kiabiolojia. Anafanya tests mara tano zote zinaonesha huyu si baba yake.

Kwa cognitive dissonance anajifariji kuwa, anaelewa the DNA test is virtually conclusive, but somehow it is possible that the DNA tests are wrong.

Watu wengi sana wakipata ushahidi usiopingika unaoonesha kuwa fikra zao ni potofu, badala ya kubadili fikra zao ziendane na ushahidi, wanaukataa ushahidi ili wabaki na fikra zao.

Hiki ndicho kinatokea kwa wengi hapa.

Habari za kuwapo kwa Mungu zimepimwa kwa miaka mingi na kuonekana kuwa tuna ushahidi usiopingika kuonesha huyu Mungu muumba vyote, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Ila, watu wengi hawapendi kuukubali ukweli huo.

Ukweli huu ni mchungu sana, unamaanisha tuko wenyewe, hatuna wa kumuomba, tunatakiwa kutatua matatizo yetu wenyewe.

Ukweli huu ni ukweli wenye kututia ukiwa mkubwa.

Na watu wengi hawaupendi ukiwa huu.

Wanaona ni bora waamini uongo mtamu kwamba kuna Mungu anayetupa tutakachotaka tukimuomba tu, kuliko kukubali ukweli mchungu kwamba huyu Mungu hayupo na tunapata tunayotaka kwa kufanya kazi wenyewe tu.

Hapo ndipo unapata "cognitive dissonance" watu wanaamini Mungu ambaye kimantiki tunaona kabisa hayupo.

I think that, deep in history and evolutionary psychology, the idea of God united societies so much, and served such a useful purpose in surviving, so much so that even as we are waking up and understanding that this is only a made up narrative, it is very hard to shake it off and reject it.

Nakumbuka muandishi Yuval Noah Harari aliongelea hili sana katika kitabu chake "Sapiens: A Brief History of Mankind". Wangapi wanasoma hivi vitabu hapa?

Old habits die hard.

Ndiyo maana ni vigumu kushindana na hii "cognitive dissonance".

Ila, kadiri jamii zinavyoelimika, teknolojua inavyotawala, uongo unazidi kujulikana na watu wanaondoka kwenye ujinga huu.
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Natamani kila binadamu anayepumua asome hili bandiko lako.
 
Mimi kuwapo au kutokuwapo inathibitishaje uwepo wa Mungu?

Unataka kusema nini? Kwamba Mungu hakuwapo miaka 200 iliyopita kazaliwa miaka ya 1970?
Logic ni kwamba kama kisicho kuwapo kinaweza kuwapo vp unashangaa kuwepo kwa mungu ... unataka kusema mwanadamu ni mkuu kuliko mungu
 
Naelewa Israel ilipojitenga na kuwa falme mbili...
Naelewa Pia Israel iliporudi tena kuwa pamoja..
Israeli haikuwahi kujitenga, bali katika zile dola mbili, na kuugawanya au kuwagawanya dhuria wa nabii Yakubu. Palianzishwa dola ya Israili upande wa kusini mwa Palestina yaani hiyo dola ilikuwepo ndani ya Palestina.
Sasa swali langu nilikuuliza kuhusu Musa umenijibu kuhusu Suleyman sasa kati ya Musa na Sulemani nani Ancestor wa mwenzake..
Musa ndio alitangulia kabla ya Suleyman. Musa ameondoka Uyahudi haukuwepo. Ndio maana nikakuleta kwa wale ambao walikuwa karibu na Mayahudi ambao ni Suleyman yaani kwa kitambo namaanisha.
 
Ndio..coz bila binadamu Mungu hawezi exist..Mungu anamtegemea binadamu kuexist...Mungu angekuwa mkuu kuliko binadamu asingetegemea binadamu ili ajulikane angemtokea kila mtu..
Je siafu mende funza wapo ?
 
Back
Top Bottom