DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Hiki nimekujibu Zaidi ya mara tano labda kama umeamua kutokuelewa au kufata ulichokaririshwa..Ukija kwa kubishana lazima utashindwa njoo na hoja na ubainifu. Hapo mwanzo nilikwambia Uyahudi una maana zaidi ya Moja yaani ziko nne. Yahudi halikuwa kabila, bali ilikuwa dini, na ukiongelea dini ni itikadi na mfumo wa maisha.
Huyo MTU ni mpumbavu Sana, alafu unakuta ni Malaya Tu AU mleviKuna mahusiano yalivunjika eti mmoja hataki ndoa ya serikali, kwake ni kosa. Hayo ni mawazo finyo ya kukumbatia imani ambayo wala huijui kwani sio utamaduni wako. Imani bila kutumia akili ni utumwa.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mimi sio mkristo kwa sasa Neither muislamu kwahyo ukiona nimejibu kitu ujue nimesimama katika upande wenye Ukweli mwingiNjoo uonyeshe uongo uliopo katika Uislamu na uonyeshe ukweli uliopo katika Ukristo. Sababu najua Wakristo si watu wa kutunza Historia Sasa ndio maana nataka uniambie machimbo ya Historia ya Ukristo kuhusu Uyahudi mmeitoa wapi ? Zaidi ya kwenye vitabu vya Mayahudi na Waislamu ?
Ndo maana nakwambia nenda kawasome wanahistoria wa Kiyahudi watakupa historja Halisi...Kuna vitu huwa ni muhali sana kwa Wakristo na Mayahudi, yaani vitu vya kihistoria. Nilitaka hili nilishangae.
Nashangaa unasema ulikuwa Muislamu na kweli hukuwahi kuujua Uislamu, ungekuwa umeusoma walau hata kidogo, Wana wa Israili wameongelewa katika Qur'an kadhalika Mayahudi.
Unasahau ya kuwa hata Wapelestina ni katika Waarabu.
Hili unalosema wewe huenda hujajikita katika suala hili la kihistoria. Kusa alikuwa nabii na Mtume wa Allah. Sababu hata katika uongozi wa Rahbiam na Yarbiam ulikuwa ni uongozi wa mmoja mmoja.
Kwa mujibu wa Wanahistoria kipindi cha Jaluti (Shauli) hiki ndio kipindi cha kifalme kwa mujibu wa wanahistoria wote.
Hata hao tunao waita Mayahudi hawakuwahi kulitumia tamko hilo la Uyahudi mpaka huko mbeleni sana, na Qur'an imetumika tamko Yahudi baada ya kuwa waovu na kuongelewa kwa ubaya. Zamani walikuwa wanajulikana kama Wana wa Israili, au Wafuasi wa Musa au Watu wa kitabu na ndio maana hata Mayahudi wa Sasa hutumia jina "Israili" kujinasibisha na waja wema.Hiki nimekujibu Zaidi ya mara tano labda kama umeamua kutokuelewa au kufata ulichokaririshwa..
Narudia tena Yahudi ilianza kama Kabila,Baadae Taifa na badae njia ya maisha yaani tamadani Aka mnaita Dini sasa hivi
Umeuliza swali gani na lipi halikujibiwa nianze na hapo kwanza!Ndio maana nikasema hivi bado mchanga sana katika hii kadhia. Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
Usiniandikie eti imeandikwa miaka 3500, swali ni nani aliandikachiyo Historia na ilikuwa lini ?
Sasa ukweli gani ambao unashindwa kutetea, mfano umesema unatumia Biblia, Biblia ambayo maandiko mengi hawajulikani waandishi wake ni kina nani, halafu unajinadi ya kuwa umesimama kweli ukweli.Mimi sio mkristo kwa sasa Neither muislamu kwahyo ukiona nimejibu kitu ujue nimesimama katika upande wenye Ukweli mwingi
Mungu hayupoKwahiyo tukubaliane hapa kwanza. Mungu yupo au hayupo ?
Kwanini Allah ? Sababu yeye ndio ameumba mbingu na ardhi na ndio muabudiwa wa haki.
Ushahidi ni akili, mazingira na ufunuo.
Hiyo Historia unayosema imaendikwa miaka 3500 imeandikwa na nani na huyo aliye iandika ameipata wapi ? Ili hoja iwe ya nguvu pale ulipo waongoelea wanahistoria wa Kiislamu.Umeuliza swali gani na lipi halikujibiwa nianze na hapo kwanza!
Basi huna ulijualo kuhusu Dini ya kiyahudi Ninayo barua ya Mwka 112 ambayo hata uislamu bado ulikuwa haujaanza kuwepo ila neno Iudaismos (Judaism) limetajwa..Vipi unazungumziaje hilo swala...Hata hao tunao waita Mayahudi hawakuwahi kulitumia tamko hilo la Uyahudi mpaka huko mbeleni sana, na Qur'an imetumika tamko Yahudi baada ya kuwa waovu na kuongelewa kwa ubaya. Zamani walikuwa wanajulikana kama Wana wa Israili, au Wafuasi wa Musa au Watu wa kitabu na ndio maana hata Mayahudi wa Sasa hutumia jina "Israili" kujinasibisha na waja wema.
Yahudi halikuwahi kuwa kabila, bali Uyahudi unanasibishwa na Yahudha mtoto wa Yakubu.
Hivi unaelewa ninacho kiandika ? Mayahudi wenyewe hawajawahi kulitumia neno hilo Uyahudi kama dini. Ndio maana tunasema kipindi cha Musa tamko hili halikuwepo.Basi huna ulijualo kuhusu Dini ya kiyahudi Ninayo barua ya Mwka 112 ambayo hata uislamu bado ulikuwa haujaanza kuwepo ila neno Iudaismos (Judaism) limetajwa..Vipi unazungumziaje hilo swala...
Sasa ngoja nikujibu Wayahudi wana tamaduni Moja ambayo inaenda sawa sawa kama Sunna Inaitwa Talmud ambayo ni Narrative version ya Torah na pia ziko Kama aggadah na narrative nyingi sana ambazo wao hutunza masimulizi na wanayo tangu kipindi cha Musa Mpaka leo na bado wanaendelea kutunza..Hiyo Historia unayosema imaendikwa miaka 3500 imeandikwa na nani na huyo aliye iandika ameipata wapi ? Ili hoja iwe ya nguvu pale ulipo waongoelea wanahistoria wa Kiislamu.
QURAN UNAJUA WAANDISHI WAKE..Sasa ukweli gani ambao unashindwa kutetea, mfano umesema unatumia Biblia, Biblia ambayo maandiko mengi hawajulikani waandishi wake ni kina nani, halafu unajinadi ya kuwa umesimama kweli ukweli.
Kuna sehemu mimi nimekuambia hichi ulichoandika kwamba walitumia kama Dini Hebu nionyeshe hiyo sehemu..maana mara zote wewe ndo unatumia kama dini...Hivi unaelewa ninacho kiandika ? Mayahudi wenyewe hawajawahi kulitumia neno hilo Uyahudi kama dini. Ndio maana tunasema kipindi cha Musa tamko hili halikuwepo.
Ajabu kumbe hata maana ya dini huijui ? Ulichokiandika huo mjumuisho wote ndio dini hiyo. Ndio maana Mayahudi Wana Talmud. Jifunze kwanza maana za maneno. Ndio ukatoka kwenye Uislamu inaonekana husomi kwa uelewa.Kuna sehemu mimi nimekuambia hichi ulichoandika kwamba walitumia kama Dini Hebu nionyeshe hiyo sehemu..maana mara zote wewe ndo unatumia kama dini...
Mimi nakuambia itikadi na Tamaduni ,,mila zao na kabila na Taifa ndicho nilichosema..
Mbona unaanza kujikanyaga mwenyew
Sababu ipi inayowafanya watokee?Yaani bado unaandika ujinga na uongo, ndio maana hata maswali madogo yanakushinda. Unakuja na ujinga mwingine kwamba Musa Myahudi mara Nuhu Myahudi. Hivi unaakili kweli kijana ?
Mpaka Musa anaondoka hapakuwepo Uyahudi, hivi huwa mnasoma na kufanya utafiti au mnaandika andika tu ilimradi ?
Ukijadiliana na Mimi hakikisha kila nukta unayo iandika unaijua na uweze kuitolea ushahidi. La Muhammad hujalimaliza unakuja na lingine tena ambalo huliwezi.
Nani alikwambia mitume na manabii wanatoea tokea tu, pasi na sababu ? Kwanza malizia hilo la kwanza, kisha tuje katika huu ujinga na uongo mpya uliouweka tena hapa.
Sasa hii ndio dini, niwekee hiyo minyororo ya masimulizi hata mmoja.Sasa ngoja nikujibu Wayahudi wana tamaduni Moja ambayo inaenda sawa sawa kama Sunna Inaitwa Talmud ambayo ni Narrative version ya Torah na pia ziko Kama aggadah na narrative nyingi sana ambazo wao hutunza masimulizi na wanayo tangu kipindi cha Musa Mpaka leo na bado wanaendelea kutunza..
Minyororo yote ya masimulizi ya wayahudi na Rabbinic narrative ipo ukitaka unaweza ukaenda kuisoma pia kama utaweza katafute Rabbinic narrtive kasome talmud..
Kitu ambavcho huwezi kikuta kwa wakristo na ndo maana historia nyingi za wakristo zinakosa pia credibility
Naam waandishi wake nawajua. Nimecheka sana, unaelewa unapoambiwa "Hati y Uthman" ?QURAN UNAJUA WAANDISHI WAKE..
Au tuna Codex moja tu ya Uthman..
Mkuu unaporusha Mawe kwa watu wengine hakikisha kwako kuko salama
Bwana mdogo hata nikiijua itanisaidia nini..Ajabu kumbe hata maana ya dini huijui ? Ulichokiandika huo mjumuisho wote ndio dini hiyo. Ndio maana Mayahudi Wana Talmud. Jifunze kwanza maana za maneno. Ndio ukatoka kwenye Uislamu inaonekana husomi kwa uelewa.
Dini ni itikadi, tamaduni yaani ni mfumo wa maisha.