Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Ukija kwa kubishana lazima utashindwa njoo na hoja na ubainifu. Hapo mwanzo nilikwambia Uyahudi una maana zaidi ya Moja yaani ziko nne. Yahudi halikuwa kabila, bali ilikuwa dini, na ukiongelea dini ni itikadi na mfumo wa maisha.
Hiki nimekujibu Zaidi ya mara tano labda kama umeamua kutokuelewa au kufata ulichokaririshwa..
Narudia tena Yahudi ilianza kama Kabila,Baadae Taifa na badae njia ya maisha yaani tamadani Aka mnaita Dini sasa hivi
 
Njoo uonyeshe uongo uliopo katika Uislamu na uonyeshe ukweli uliopo katika Ukristo. Sababu najua Wakristo si watu wa kutunza Historia Sasa ndio maana nataka uniambie machimbo ya Historia ya Ukristo kuhusu Uyahudi mmeitoa wapi ? Zaidi ya kwenye vitabu vya Mayahudi na Waislamu ?
Mimi sio mkristo kwa sasa Neither muislamu kwahyo ukiona nimejibu kitu ujue nimesimama katika upande wenye Ukweli mwingi
 
Kuna vitu huwa ni muhali sana kwa Wakristo na Mayahudi, yaani vitu vya kihistoria. Nilitaka hili nilishangae.

Nashangaa unasema ulikuwa Muislamu na kweli hukuwahi kuujua Uislamu, ungekuwa umeusoma walau hata kidogo, Wana wa Israili wameongelewa katika Qur'an kadhalika Mayahudi.

Unasahau ya kuwa hata Wapelestina ni katika Waarabu.

Hili unalosema wewe huenda hujajikita katika suala hili la kihistoria. Kusa alikuwa nabii na Mtume wa Allah. Sababu hata katika uongozi wa Rahbiam na Yarbiam ulikuwa ni uongozi wa mmoja mmoja.

Kwa mujibu wa Wanahistoria kipindi cha Jaluti (Shauli) hiki ndio kipindi cha kifalme kwa mujibu wa wanahistoria wote.
Ndo maana nakwambia nenda kawasome wanahistoria wa Kiyahudi watakupa historja Halisi...
Katika uislamu sina Ilimu kubwa ila Thanawi tu mkuu kwahyo vingi sijui nakiri kwako lakini kuhusu historia ..
Narudia tena huwezi kuitafuta historia Ya kabila ka wanyamwezi kwa wazigua...
 
Hiki nimekujibu Zaidi ya mara tano labda kama umeamua kutokuelewa au kufata ulichokaririshwa..
Narudia tena Yahudi ilianza kama Kabila,Baadae Taifa na badae njia ya maisha yaani tamadani Aka mnaita Dini sasa hivi
Hata hao tunao waita Mayahudi hawakuwahi kulitumia tamko hilo la Uyahudi mpaka huko mbeleni sana, na Qur'an imetumika tamko Yahudi baada ya kuwa waovu na kuongelewa kwa ubaya. Zamani walikuwa wanajulikana kama Wana wa Israili, au Wafuasi wa Musa au Watu wa kitabu na ndio maana hata Mayahudi wa Sasa hutumia jina "Israili" kujinasibisha na waja wema.

Yahudi halikuwahi kuwa kabila, bali Uyahudi unanasibishwa na Yahudha mtoto wa Yakubu.
 
Ndio maana nikasema hivi bado mchanga sana katika hii kadhia. Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?

Usiniandikie eti imeandikwa miaka 3500, swali ni nani aliandikachiyo Historia na ilikuwa lini ?
Umeuliza swali gani na lipi halikujibiwa nianze na hapo kwanza!
 
Mimi sio mkristo kwa sasa Neither muislamu kwahyo ukiona nimejibu kitu ujue nimesimama katika upande wenye Ukweli mwingi
Sasa ukweli gani ambao unashindwa kutetea, mfano umesema unatumia Biblia, Biblia ambayo maandiko mengi hawajulikani waandishi wake ni kina nani, halafu unajinadi ya kuwa umesimama kweli ukweli.
 
Umeuliza swali gani na lipi halikujibiwa nianze na hapo kwanza!
Hiyo Historia unayosema imaendikwa miaka 3500 imeandikwa na nani na huyo aliye iandika ameipata wapi ? Ili hoja iwe ya nguvu pale ulipo waongoelea wanahistoria wa Kiislamu.
 
Hata hao tunao waita Mayahudi hawakuwahi kulitumia tamko hilo la Uyahudi mpaka huko mbeleni sana, na Qur'an imetumika tamko Yahudi baada ya kuwa waovu na kuongelewa kwa ubaya. Zamani walikuwa wanajulikana kama Wana wa Israili, au Wafuasi wa Musa au Watu wa kitabu na ndio maana hata Mayahudi wa Sasa hutumia jina "Israili" kujinasibisha na waja wema.

Yahudi halikuwahi kuwa kabila, bali Uyahudi unanasibishwa na Yahudha mtoto wa Yakubu.
Basi huna ulijualo kuhusu Dini ya kiyahudi Ninayo barua ya Mwka 112 ambayo hata uislamu bado ulikuwa haujaanza kuwepo ila neno Iudaismos (Judaism) limetajwa..Vipi unazungumziaje hilo swala...
 
Basi huna ulijualo kuhusu Dini ya kiyahudi Ninayo barua ya Mwka 112 ambayo hata uislamu bado ulikuwa haujaanza kuwepo ila neno Iudaismos (Judaism) limetajwa..Vipi unazungumziaje hilo swala...
Hivi unaelewa ninacho kiandika ? Mayahudi wenyewe hawajawahi kulitumia neno hilo Uyahudi kama dini. Ndio maana tunasema kipindi cha Musa tamko hili halikuwepo.
 
Hiyo Historia unayosema imaendikwa miaka 3500 imeandikwa na nani na huyo aliye iandika ameipata wapi ? Ili hoja iwe ya nguvu pale ulipo waongoelea wanahistoria wa Kiislamu.
Sasa ngoja nikujibu Wayahudi wana tamaduni Moja ambayo inaenda sawa sawa kama Sunna Inaitwa Talmud ambayo ni Narrative version ya Torah na pia ziko Kama aggadah na narrative nyingi sana ambazo wao hutunza masimulizi na wanayo tangu kipindi cha Musa Mpaka leo na bado wanaendelea kutunza..
Minyororo yote ya masimulizi ya wayahudi na Rabbinic narrative ipo ukitaka unaweza ukaenda kuisoma pia kama utaweza katafute Rabbinic narrtive kasome talmud..
Kitu ambavcho huwezi kikuta kwa wakristo na ndo maana historia nyingi za wakristo zinakosa pia credibility
 
Sasa ukweli gani ambao unashindwa kutetea, mfano umesema unatumia Biblia, Biblia ambayo maandiko mengi hawajulikani waandishi wake ni kina nani, halafu unajinadi ya kuwa umesimama kweli ukweli.
QURAN UNAJUA WAANDISHI WAKE..
Au tuna Codex moja tu ya Uthman..
Mkuu unaporusha Mawe kwa watu wengine hakikisha kwako kuko salama
 
Hivi unaelewa ninacho kiandika ? Mayahudi wenyewe hawajawahi kulitumia neno hilo Uyahudi kama dini. Ndio maana tunasema kipindi cha Musa tamko hili halikuwepo.
Kuna sehemu mimi nimekuambia hichi ulichoandika kwamba walitumia kama Dini Hebu nionyeshe hiyo sehemu..maana mara zote wewe ndo unatumia kama dini...
Mimi nakuambia itikadi na Tamaduni ,,mila zao na kabila na Taifa ndicho nilichosema..
Mbona unaanza kujikanyaga mwenyew
 
Kuna sehemu mimi nimekuambia hichi ulichoandika kwamba walitumia kama Dini Hebu nionyeshe hiyo sehemu..maana mara zote wewe ndo unatumia kama dini...
Mimi nakuambia itikadi na Tamaduni ,,mila zao na kabila na Taifa ndicho nilichosema..
Mbona unaanza kujikanyaga mwenyew
Ajabu kumbe hata maana ya dini huijui ? Ulichokiandika huo mjumuisho wote ndio dini hiyo. Ndio maana Mayahudi Wana Talmud. Jifunze kwanza maana za maneno. Ndio ukatoka kwenye Uislamu inaonekana husomi kwa uelewa.

Dini ni itikadi, tamaduni yaani ni mfumo wa maisha.
 
Yaani bado unaandika ujinga na uongo, ndio maana hata maswali madogo yanakushinda. Unakuja na ujinga mwingine kwamba Musa Myahudi mara Nuhu Myahudi. Hivi unaakili kweli kijana ?

Mpaka Musa anaondoka hapakuwepo Uyahudi, hivi huwa mnasoma na kufanya utafiti au mnaandika andika tu ilimradi ?

Ukijadiliana na Mimi hakikisha kila nukta unayo iandika unaijua na uweze kuitolea ushahidi. La Muhammad hujalimaliza unakuja na lingine tena ambalo huliwezi.

Nani alikwambia mitume na manabii wanatoea tokea tu, pasi na sababu ? Kwanza malizia hilo la kwanza, kisha tuje katika huu ujinga na uongo mpya uliouweka tena hapa.
Sababu ipi inayowafanya watokee?
 
Sasa ngoja nikujibu Wayahudi wana tamaduni Moja ambayo inaenda sawa sawa kama Sunna Inaitwa Talmud ambayo ni Narrative version ya Torah na pia ziko Kama aggadah na narrative nyingi sana ambazo wao hutunza masimulizi na wanayo tangu kipindi cha Musa Mpaka leo na bado wanaendelea kutunza..
Minyororo yote ya masimulizi ya wayahudi na Rabbinic narrative ipo ukitaka unaweza ukaenda kuisoma pia kama utaweza katafute Rabbinic narrtive kasome talmud..
Kitu ambavcho huwezi kikuta kwa wakristo na ndo maana historia nyingi za wakristo zinakosa pia credibility
Sasa hii ndio dini, niwekee hiyo minyororo ya masimulizi hata mmoja.

Hii Sasa ndio maana ya Talmud. Soma hapa :
 

Attachments

  • Screenshot_20231123-005748.png
    Screenshot_20231123-005748.png
    100 KB · Views: 6
QURAN UNAJUA WAANDISHI WAKE..
Au tuna Codex moja tu ya Uthman..
Mkuu unaporusha Mawe kwa watu wengine hakikisha kwako kuko salama
Naam waandishi wake nawajua. Nimecheka sana, unaelewa unapoambiwa "Hati y Uthman" ?
 
Ajabu kumbe hata maana ya dini huijui ? Ulichokiandika huo mjumuisho wote ndio dini hiyo. Ndio maana Mayahudi Wana Talmud. Jifunze kwanza maana za maneno. Ndio ukatoka kwenye Uislamu inaonekana husomi kwa uelewa.

Dini ni itikadi, tamaduni yaani ni mfumo wa maisha.
Bwana mdogo hata nikiijua itanisaidia nini..
Kwa sasa nijifunze hayo maneno yatanisaidia nini!
Kwanza kabisa bwana mdogo sipo katika kubishana hata kidogo cha kwanza hicho ukielewe
Sasa kwa muktadha huo wa Dini Hiyo ndo ilikuwa Dini yao na njia yao..

Tofauti unalazmisha Ulichosoma katika uislamu kiwe sawa n kilichopo katika utahudi Mkuu Theology haiendi hivyo ingekuwa Rahidi hivyo ningesoma Hiindu halafu ningetaka kiwe sawa na cha Buddha.....
 
Back
Top Bottom