Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Maswali yako ni mengi ila hayana logic uzao hauna umuhimu hata kama usinge tajwa kuwa nani kamzaa nani...ni sawa sawa na mwalimu alimuuliza madenge swali je ukiwa na maembe 10 wanzako wakakunyang'anya 6 utabaki na mangapi yeye akajibu kuwa nitapigana nao hadi niyapate maembe yangu ....jibu la hilo swali ni kwamba hata kusinge tajwa mtililiko wa ukoo maandiko yasinge kosa chochote katika mambo ya msingi ....mimi hapo sijaona tatizo la msingi lenye kuvuluga misingi ya dini na mungu na injili ....yapo maswali yenye nguvu sana nilitegemea ungeyauliza hayo....ningekuwa tayari kupoteza muda wangu kuku jobu ...kama lile swali lako la kwanza lilikuwa la msingi sana
 
Neno ukristo alina tatizo lolote ni sawa na kusema wafuasi wa muhamadi yani wamuhamadi = wakristo ....muhamadi mwenyewe amesema kila mtume anao uma wake ...hivyo kusema wakristo au wayesu au wamuhamadi au wamusa au waisrael hayo ni majina tu ya wahusika wakuu na wafuasi wao
 
Sayansi ipo wazi, hamna anaekukataza leo kanzisha teknolojia na uafrika wako isipokuwa waafrika ndio urasimu mwingi. Sayansi haijakataza Afrika kutengeneza Hata ndege mkitaka mradi tu ikidhi viwango. Sasa Jaribu kuanzisha dini mpya tofauti na uislamu na ukristo useme kulikuwa na nabii halafu uone kama wazungu watakubali.
 
Bhasi hapa nasadiki kuwa Kiranga na SimbaMpole123 wako sahihi kusema unatakiwa uachwe kwa sababu..
Kwa mtu mwenye akili angeanza Kudoubt the existense ya Yesu kwa hizo logic arguemnts..
Mfano uliotoa hauendani logical arguements nilizokupa.

Ngoja nikupe mfano na pengine hii itakuwa the last argument kwa sababu naona weww sio mtu wa kuweka hoja ila kubishana...

Mfano: Juma alifahamika kutoka katika ukoo wa kifalme na alitakiwa arithi ufalme kwakuwa ni King's lineage aliyebaki sasa baada ya kuchunguza kwa makini tukagundua kuwa juma Hana shina lolote linalomuunganisha yeye na huo Ufalme na Amejaribu kuongeza uongo katika ukoo wake ili afanane na watoto wa kifalme lakini wazee wa ikulu wakapitia makabrasha wakasema kwamba hao watu anaowataja hawajawahi kuwepo kama Lineage ya kifalme....
Unafikiri Bado juma ataendelea kuwa mfalme?
Unafikiri Nani atamwamini Tema juma kwa kuwa ameweka uongo katika ukoo wake..
 
Hao waislamu na wakristo Nyote mu Upotevuni
 
KILA MTU AENDELEE NA ANACHOAMINI

MIMI NAAMINI MUNGU YUPO NA ANAISHI

KAMA WEWE HUAMINI ENDELEA NA KUTOAMINI KWAKO MHIMU USISEME SISI TUNAOMWAMINI MUNGU NI WAJINGA
Dini ni ujinga...I can believe in a god bila kuamini mudi alitokewa pangoni na malaika anayeongea kiarabu tu
 
😂😂😂😂Mambo ya msingi, maisha ya Yesu yote Yana contradictions asa ukitoa contradictions unabaki na Nini...kuanzia kuzaliwa mpaka kufufuka Kuna contradictions kibao
 
Achana nae tu huyo
 
Unaelewa historia ya Ireland? Kule wakatoliki na Anglikana walitoana macho. Si sawa na Shia na Suni? Kuna tofauti gani?
Sasa uislam na ukristo zote c dini zilizokuja na meli? wote ni wale wale tu, mie hapa ctetei dini, ninachotetea ni watu kuachana na upuuzi wa dini....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya msingi, maisha ya Yesu yote Yana contradictions asa ukitoa contradictions unabaki na Nini...kuanzia kuzaliwa mpaka kufufuka Kuna contradictions kibao
Hakuna toeni hoja kwenye mambo ya msingi siyo makosa ya kibinadamu ya kawaida
 
Mimi najua mafumbo yote ya biblia hayo maandiko ni fumbo tena yapo sahihi ...kuna jamaa aliuliza kitu kama chako hapa nikamjibu na hakuwa na hoja tena ...aliuliza je watu waliokufa kabla ya kufikiwa na dini watahukumiwa vipi nikampa jibu kamili
Huu ni ujinga wa waafrikana,je mtu tu ndiye ameumbiwa kufufuka?

Je viumbe vingine hawana dhambi iwapo nao wanafanya sex na je wanavunja amri ya ngapi?

Amri 10 aliwekewa binadamu tu na ni kwa Waafrika tu?
 
Maandiko yana historia yake ndefu sana hadi kuna mikono ya wanadamu ndani yake ambao wameingiza mambo yao kwa tamaa zao za kidunia na kutafuta utukufu binafsi ndiyo maana leo kuna madhehebu pia ni upotovu ulio ingizwa na wanadamu kwa matamania yao binafsi hivyo unatakiwa kutumia akili kujua dini ni nini na mungu anataka nini kimsingi
 
Hivi unajua ufalme wa yesu au umelishwa na kukalilishwa habari za ufalme wa yesu?

Hiyo ni historia uliyorithi kwa wazazi wako na kukaririshwa,tafuta ukweli wake kwa gharama siyo kupewa bure
 
Huu ni ujinga wa waafrikana,je mtu tu ndiye ameumbiwa kufufuka?

Je viumbe vingine hawana dhambi iwapo nao wanafanya sex na je wanavunja amri ya ngapi?

Amri 10 aliwekewa binadamu tu na ni kwa Waafrika tu?
Hata kati ya binadamu siyo wote wanahesabiwa dhambi wapo wagonjwa awa akili baadhi awahesabiwi dhambi watoto wadogo nk ....dhambi inahesabiwa kwa wenye akili timamu yenye kuweza kujua mema na mabaya
 
Hivi unajua ufalme wa yesu au umelishwa na kukalilishwa habari za ufalme wa yesu?

Hiyo ni historia uliyorithi kwa wazazi wako na kukaririshwa,tafuta ukweli wake kwa gharama siyo kupewa bure
Acha kukurupikia majibu usiyo yajua chanzo chake
 
Uislam upi unaousema kuwa ni dini ya kwanza?

Msiwe mnakiriri kila kitu mlichohadithi bwana,wewe sema ni dini ya kuja uliyoiangukia kwa ujinga wako dini ya kwanza duniani nimekuwekea hapa chini
 
Uzao wa yesu hauna contradiction yoyote ...eleza hiyo contr ?
Ongelea na kushuhudia uzao ulio na historia nao acha uchawa wa dini,hakuna mwafrikana anayejua ukweli juu ya yesu wote mlidanganywa na mkadanganyika juu ya dini za kuja.

We huna cha kushuhudia kwani hijui na huwezi kujua historia ya mbali zaidi kuliko ya ukoo wako.

ACHENI UJINGA
 
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.

Zaburi 53:1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…