Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Huu ni ujinga wa waafrikana,je mtu tu ndiye ameumbiwa kufufuka?

Je viumbe vingine hawana dhambi iwapo nao wanafanya sex na je wanavunja amri ya ngapi?

Amri 10 aliwekewa binadamu tu na ni kwa Waafrika tu?
Wewe ujui maandiko kabisa wala ujui logic maana kuhusu dhambi wapo wanadamu wanao tenda dhambi na kuvunja amri za mungu ila awata hukumiwa hatia ...ndiyo maana kuna maandiko yanasema wapo wanadamu wanao hesabiwa haki pasipo matendo ila ni baadhi tu na kuna sababu za haki kabisa kuwa hivyo ..tumia akili ....kinacho fanya mwanadamu kuwajibika na dini ni akili alizo pewa za kutambua mema na mabaya tofauti na viumbe wengine wasio na hizo akili ila yapo majini yanatambua mema a mabaya na malaika nao wanatambua mema na mabaya nao wakitenda mabaya watahukumiwa hatia ...ndiyo maana wakristo wa leo ni wapumbavu kwa kudanganywa kuwa kuna dhambi ya asili huo ni uongo ....na sababu za kuwa uongo ni hizi nilizo eleza kuhusu dhambi ....TUNAKUMBUKA KUWA ADAMU NA HAWA WALIKUWA AWAJUI MEMA NA MABAYA KABLA YA KULA TUNDA HIVYO WALIJUA MEMA NA MABAYA BAADA YA KULA TUNDA SASA UTASEMAJE KULA TUNDA NI DHAMBI YA ASILI MAANA ADAMU WALA HAWA AWAKUPATA DHAMBI ILA WALIJUA MEMA NA MABAYA ....NDANI YA MEMA KUKAZALIWA PEPO NA NDANI YA MABAYA KUKAWA NA DHAMBI NA JEHANAM ...NDIPO MUNGU AKAMWAMBIA ADAMU NA HAWA ...TAZAMA SASA MMEJUA MEMA NA MABAYA BASI TENDENI MEMA NA MSITENDE MABAYA MAANA MKITENDA MABAYA MTAHESABIWA DHAMBI NA MKITENDA MEMA MTAHESABIWA DHAWABU...HIVYO KWA KUTUMIA AKILI TU UTAJUA KUWA DHAMBI YA KWANZA SIYO KULA TUNDA MAANA MUNGU AWAHESABII DHAMBI WASIOJUA MEMA NA MABAYA ....NDIYO MAANA KUNA HAYO MAANDIKO YA ( KUHESABIWA HAKI PASIPO MATENDO )
 
Wewe ujui maandiko kabisa wala ujui logic maana kuhusu dhambi wapo wanadamu wanao tenda dhambi na kuvunja amri za mungu ila awata hukumiwa hatia ...ndiyo maana kuna maandiko yanasema wapo wanadamu wanao hesabiwa haki pasipo matendo ila ni baadhi tu na kuna sababu za haki kabisa kuwa hivyo ..tumia akili ....kinacho fanya mwanadamu kuwajibika na dini ni akili alizo pewa za kutambua mema na mabaya tofauti na viumbe wengine wasio na hizo akili ila yapo majini yanatambua mema a mabaya na malaika nao wanatambua mema na mabaya nao wakitenda mabaya watahukumiwa hatia ...ndiyo maana wakristo wa leo ni wapumbavu kwa kudanganywa kuwa kuna dhambi ya asili huo ni uongo ....na sababu za kuwa uongo ni hizi nilizo eleza kuhusu dhambi ....TUNAKUMBUKA KUWA ADAMU NA HAWA WALIKUWA AWAJUI MEMA NA MABAYA KABLA YA KULA TUNDA HIVYO WALIJUA MEMA NA MABAYA BAADA YA KULA TUNDA SASA UTASEMAJE KULA TUNDA NI DHAMBI YA ASILI MAANA ADAMU WALA HAWA AWAKUPATA DHAMBI ILA WALIJUA MEMA NA MABAYA ....NDANI YA MEMA KUKAZALIWA PEPO NA NDANI YA MABAYA KUKAWA NA DHAMBI NA JEHANAM ...NDIPO MUNGU AKAMWAMBIA ADAMU NA HAWA ...TAZAMA SASA MMEJUA MEMA NA MABAYA BASI TENDENI MEMA NA MSITENDE MABAYA MAANA MKITENDA MABAYA MTAHESABIWA DHAMBI NA MKITENDA MEMA MTAHESABIWA DHAWABU...HIVYO KWA KUTUMIA AKILI TU UTAJUA KUWA DHAMBI YA KWANZA SIYO KULA TUNDA MAANA MUNGU AWAHESABII DHAMBI WASIOJUA MEMA NA MABAYA ....NDIYO MAANA KUNA HAYO MAANDIKO YA ( KUHESABIWA HAKI PASIPO MATENDO )
Adam na hawa ni story za uongo na wewe unalijua fika
 
Nyenzo yoyote inayo fundisha haki ni muhimu...wewe unapinga biblia kwa sababu gani kama siyo kuchukia haki.neno lolote la haki liwe limetoka kwenye dini yoyote au alikutoka kwenye dini basi neno hilo ni halali kutetewa
Je neno alilotoa papa anayesimamia maneno ya yesu kwa wakristu wa jinsia moja kuoana ni haki na muhimu?

Kwahiyo unakubaliana na kiongozi wa dini ya kikristo kurusu hayo ufitaji na hiyo ndiyo haki?
 
Wewe ujui maandiko kabisa wala ujui logic maana kuhusu dhambi wapo wanadamu wanao tenda dhambi na kuvunja amri za mungu ila awata hukumiwa hatia ...ndiyo maana kuna maandiko yanasema wapo wanadamu wanao hesabiwa haki pasipo matendo ila ni baadhi tu na kuna sababu za haki kabisa kuwa hivyo ..tumia akili ....kinacho fanya mwanadamu kuwajibika na dini ni akili alizo pewa za kutambua mema na mabaya tofauti na viumbe wengine wasio na hizo akili ila yapo majini yanatambua mema a mabaya na malaika nao wanatambua mema na mabaya nao wakitenda mabaya watahukumiwa hatia ...ndiyo maana wakristo wa leo ni wapumbavu kwa kudanganywa kuwa kuna dhambi ya asili huo ni uongo ....na sababu za kuwa uongo ni hizi nilizo eleza kuhusu dhambi ....TUNAKUMBUKA KUWA ADAMU NA HAWA WALIKUWA AWAJUI MEMA NA MABAYA KABLA YA KULA TUNDA HIVYO WALIJUA MEMA NA MABAYA BAADA YA KULA TUNDA SASA UTASEMAJE KULA TUNDA NI DHAMBI YA ASILI MAANA ADAMU WALA HAWA AWAKUPATA DHAMBI ILA WALIJUA MEMA NA MABAYA ....NDANI YA MEMA KUKAZALIWA PEPO NA NDANI YA MABAYA KUKAWA NA DHAMBI NA JEHANAM ...NDIPO MUNGU AKAMWAMBIA ADAMU NA HAWA ...TAZAMA SASA MMEJUA MEMA NA MABAYA BASI TENDENI MEMA NA MSITENDE MABAYA MAANA MKITENDA MABAYA MTAHESABIWA DHAMBI NA MKITENDA MEMA MTAHESABIWA DHAWABU...HIVYO KWA KUTUMIA AKILI TU UTAJUA KUWA DHAMBI YA KWANZA SIYO KULA TUNDA MAANA MUNGU AWAHESABII DHAMBI WASIOJUA MEMA NA MABAYA ....NDIYO MAANA KUNA HAYO MAANDIKO YA ( KUHESABIWA HAKI PASIPO MATENDO )
Kabla ya ukoloni kufika AFRIKA adamu na hawa walikuwa wapi na Waafrika walikuwa na nani?
 
Kabla ya ukoloni kufika AFRIKA adamu na hawa walikuwa wapi na Waafrika walikuwa na nani?
Nini logic ya swali lako ? Hata kisayansi binadamu lazima walitokana na mtu mke na mme mmoja ndiyo wakasambaa na kubadilika wengine kuwa wazungu ,waafrica waarabu waindi..wachina nk
 
Kwahiyo wewe biblia ilipotaja yusufu na farao tu ukachanganyikiwa hata kujiongeza kuwa hiyo ni hadithi ya magereza ambako kuna waliofungwa kihalali na walioonewa kwa pamoja hufanywa watumwa.

Hivi kweli wsafrikana mmeshindwa kabisaaa kuacha na hadithi za kwenye biblia na kuona kuwa ni vitu vya kufikirika tu kama vile kutembea hewani au juu ya maji?
Kipi sio hadithi kwenye ulimwengu huu ??

Hata wewe kusema dini ililetwa na wazungu ni hadithi.
 
Nimewahi kumuuliza kiongozi mkubwa kabisa wa dini na akanihakikishia kua Adamu na Eva ni hadithi
"Kiongozi mkubwa wa dini akakuhakikishia "

Unataka kutuambia yeye ndiye mwenye mamlaka hayo ?

Sawa tueleze alikuhakikishia how ? Nasisi tujifunze
 
Kwanini ni story za uongo ? Tupe sababu au uthibitisho
Binadamu tupo wa aina tofauti, tuna tofautiana rangi pia tuna DNA [emoji3459] tofauti.

Kuna waafrika weusi, wazungu weupe, wahindi, waarabu, wafilipino, wachina, Wajapan n.k

Adam na Hawa hawawezi kuwa chanzo cha binadamu wote duniani wenye utofauti huu wa rangi na DNA.

Kama binadamu wote tungekuwa tumetokana na Adamu na Hawa. Tungerithi DNA zao zilezile na rangi yetu ya ngozi ingekuwa moja.

Huu ni uthibitisho tosha kwamba binadamu wote hatujatokana na Adamu na Hawa.

Stori hizo za Adamu na Hawa kwamba ndio chanzo cha binadamu wote duniani automatically ni UONGO.
 
Watoto 15 au 20 au 30 wote waumwe Kifafa kwa wakati mmoja?
Unajua nyie wajinga Ndo mnafanya watu wengi waonekane wajinga. Hivi hata wakianguka watoto 700, Ndiyo unahitimisha kwamba huo ni uchawi!? Ndo Maana unaambiwa Sayansi haina huo ujinga. Ikitokea hivyo lazima madaktari watakuja hapo kuchunguza na mwisho watatoa suluhisho ambalo halitatiliwa Shaka na yoyote. Kuhitimisha Kwa kusema ni uchawi si ni uzembe tu wa kufikiri!?
 
Binadamu tupo wa aina tofauti, tuna tofautiana rangi pia tuna DNA [emoji3459] tofauti.

Kuna waafrika weusi, wazungu weupe, wahindi, waarabu, wafilipino, wachina, Wajapan n.k

Adam na Hawa hawawezi kuwa chanzo cha binadamu wote duniani wenye utofauti huu wa rangi na DNA.

Kama binadamu wote tungekuwa tumetokana na Adamu na Hawa. Tungerithi DNA zao zilezile na rangi yetu ya ngozi ingekuwa moja.

Huu ni uthibitisho tosha kwamba binadamu wote hatujatokana na Adamu na Hawa.

Stori hizo za Adamu na Hawa kwamba ndio chanzo cha binadamu wote duniani automatically ni UONGO.
Mungu alikua na maana yake kuumba huo utofauti, Na ni viumbe wote ipo hivyo,, Yani inatofautiana rangi kati ya mmoja na mwingine ( Mbwa, mbuzi, Ng'ombe hata mimea ipo kwa rangi nyingi tofauti tofauti )

So point yako naona haina mashiko
 
Unajua nyie wajinga Ndo mnafanya watu wengi waonekane wajinga. Hivi hata wakianguka watoto 700, Ndiyo unahitimisha kwamba huo ni uchawi!? Ndo Maana unaambiwa Sayansi haina huo ujinga. Ikitokea hivyo lazima madaktari watakuja hapo kuchunguza na mwisho watatoa suluhisho ambalo halitatiliwa Shaka na yoyote. Kuhitimisha Kwa kusema ni uchawi si ni uzembe tu wa kufikiri!?
Why madaktari huwa hawatoi majibu yoyote kwenye mambo kama hayo ?

Niachane na hilo, Nna simulizi ya mdogo wangu anaenifuata, huyu dogo alisumbuliwa na mambo mengi sana wakati yupo shule na ilikua issue serious sana,, ilifikia hatua madaktari walimueleza bi mkubwa kwamba kama ni muumini basi maombi yanahitajika kwa mdogo wangu yule,

Mungu alisaidia badae alikuja kupona.

Mungu yupo na anafanya kazi wakuu,
 
Mungu alikua na maana yake kuumba huo utofauti,
Logical non sequitur.

Naku uliza hivi 👇

Adam na Hawa walikuwa waafrika weusi, wazungu weupe, wahindi, waarabu, wafilipino, wachina au Wajapan?
Na ni viumbe wote ipo hivyo,, Yani inatofautiana rangi kati ya mmoja na mwingine ( Mbwa, mbuzi, Ng'ombe hata mimea ipo kwa rangi nyingi tofauti tofauti )

So point yako naona haina mashiko
Jibu swali acha viroja.
 
Unajua nyie wajinga Ndo mnafanya watu wengi waonekane wajinga. Hivi hata wakianguka watoto 700, Ndiyo unahitimisha kwamba huo ni uchawi!? Ndo Maana unaambiwa Sayansi haina huo ujinga. Ikitokea hivyo lazima madaktari watakuja hapo kuchunguza na mwisho watatoa suluhisho ambalo halitatiliwa Shaka na yoyote. Kuhitimisha Kwa kusema ni uchawi si ni uzembe tu wa kufikiri!?
Wewe Peleka ujinga wako huko

Hao wanasayansi wako kama wana akili si walete dawa ya kutibu ukimwi?
 
Why madaktari huwa hawatoi majibu yoyote kwenye mambo kama hayo ?

Niachane na hilo, Nna simulizi ya mdogo wangu anaenifuata, huyu dogo alisumbuliwa na mambo mengi sana wakati yupo shule na ilikua issue serious sana,, ilifikia hatua madaktari walimueleza bi mkubwa kwamba kama ni muumini basi maombi yanahitajika kwa mdogo wangu yule,

Mungu alisaidia badae alikuja kupona.

Mungu yupo na anafanya kazi wakuu,
Ni mara nyingi tu mtu anatibiwa haponi huko hospitali na madaktari wenyewe wanashauri mpelekeni kwenye maombi
 
Kipi sio hadithi kwenye ulimwengu huu ??

Hata wewe kusema dini ililetwa na wazungu ni hadithi.
Kusema dini ililetwa na wazungu ni hadithi au unachanga uongo au ukweli na hadithi?

HADITHI inaweza kuwa ya kweli au ya uongo sasa hii hadithi ya dini za ukritu na uislam kuletwa na wazungu au waarabu ni uongo au ukweli?

Inamaana unawabishia hadithi wenye dini zao ambao historia yao inaeleza kuwa wao ndiyo walizileta hizo dini hadi miaka ya kuja kwao kuanzisha dini hizo ipo?

Unajua ujinga siyo dhambi ila UPUMBAVU kama wako ni dhambi kubwa na ni laana kitu kikowazi ila unalazimisha tu kwakuwa umezaliwa na kuambiwa iko hivyo.

Swali la kujiuliza kama Mungu ni mmoja na wote tunapambana kwenda kwa Mungu mmoja kwanini Afrika kuwe na dini mbili kubwa zilizotawala za ukristu na uislamu na isiwe moja tu?
 
"Kiongozi mkubwa wa dini akakuhakikishia "

Unataka kutuambia yeye ndiye mwenye mamlaka hayo ?

Sawa tueleze alikuhakikishia how ? Nasisi tujifunze
Nimekuwekea hizi attachment zisome na ujiongeze kwa kuchanganya na akili zako kama kweli una akili timamu utabadili ujinga wako leo hii
1703665101732.jpg
1703338337801.jpg
1703054035590.jpg
1703491076072.jpg
1703738298446.jpg
1702793653516.jpg
 
Back
Top Bottom