Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Why madaktari huwa hawatoi majibu yoyote kwenye mambo kama hayo ?

Niachane na hilo, Nna simulizi ya mdogo wangu anaenifuata, huyu dogo alisumbuliwa na mambo mengi sana wakati yupo shule na ilikua issue serious sana,, ilifikia hatua madaktari walimueleza bi mkubwa kwamba kama ni muumini basi maombi yanahitajika kwa mdogo wangu yule,

Mungu alisaidia badae alikuja kupona.

Mungu yupo na anafanya kazi wakuu,
Dr kutokujua ugonjwa au tatizo fulani haimaanishi halipo. Tafiti zinaendelea na sayansi inajibu maswali kibao yaliyonasibishwa kuwa ni mambo ya kiimani.

Makanisa sometimes yanatusaidia kutibu madhara ya kisaikolojia. Mdogo wako was one of the people with such problem I think!
 
Mimi sio muumini sana wa dini, Ila ni muumini wa Mungu mmoja

Ila nngeomba utupe mfano wa hao waanzilishi ambao hawana hofu wanapiga pesa,
Naomba list ya majina yao niwafahamu chief
Leo BBC wametoa tafiti deep ya TB Joshua mwanzilishi wa SCOAN...hope kuna mwanga utaupata kuwa kwenye dini big fishes are eating small fishes in mass!
 
Yaani stori za nyoka kuongea na ww haukusimuliwa enzi za utoto? unazikumbuka hadithi za sungura na fisi? haihitaji mie kukuaminisha, just use yo brain kuona udanganyifu!
Sungura na fisi iko wazi ni hadithi na inapatikana kwenye vitabu vya hadithi
 
Rafiki, ulisoma kidogo hata issue za Kingdoms? unajua maana ya species?

Adam na Eva ni hadithi tu, ilitumika kama mfano. Simple qn, Kaini alimuoa na na akapata watoto wkt huo kulikua na Adam na Eva tu? mke wa Kaini alitoka wp?
Soma vizuri swali lako mwishoni,

Anyways, Kaini alikua ni mtoto wa Adam na Eva.

Adam na Eva walizaa watoto wengi tuu japo wanaotajwa sana kwenye biblia ni Kaini na Abeli.


Kumbuka Mungu alisema mkaijaze Dunia, So hapo moja kwa moja tunajua kabisa uzao ulianzia kwenye hiyo hiyo familia.
 
Dr kutokujua ugonjwa au tatizo fulani haimaanishi halipo. Tafiti zinaendelea na sayansi inajibu maswali kibao yaliyonasibishwa kuwa ni mambo ya kiimani.

Makanisa sometimes yanatusaidia kutibu madhara ya kisaikolojia. Mdogo wako was one of the people with such problem I think!
Tatizo la macho ni tatizo la kisaikolojia ?? Yani tayari umeshatoa jibu na hata tatizo lililomkumba mdogo wangu sikuwa nmeandika, Tatizo ambalo lilikua kama mlango wa Magonjwa ambayo hayakua yanaeleweka ni nini haswa...Unatoa majibu hujui tatizo inamaanisha nini ?

Ubishi? Ujuaji ? Kutokuwa tayari kuamini uwepo wa mambo ambayo tunayasema ? Au ?

Anyways lilianza tatizo la macho ndio ikawa mfululizo wa matatizo mengine, Matatizo ambayo yalikua hayaeleweki ni ugonjwa gani haswa unamsumbua, Ni matatizo ambayo yaliacha midomo wazi kuanzia wauguzi/Madaktari/Walimu wake pamoja na sisi ndugu...Kiufupi HAIKUA hali ya kawaida.
 
Jamani tumedanganywa kwa Karne nyingi sana.Kwamba kuna vitabu vya mungu. Hakuna kitabu Cha mungu. Vitabu vyote ni vyetu wenyewe. Tumeandika mawazo yetu tukasema mungu kasema ili tuaminiwe. Pale ulipotokea upinzani tukatumia nguvu na mauaji makubwa. Mbinguni hakuna viwanda vya karatasi, wino, mashine za kuandika. Tumetumia ghiliba kwamba tumetumwa na mungu. Tunadhani muumbaji anafikiri kama sisi, anaweza kuwa random, anaweza kubadilisha kanuni alizoziweka kwa maombi yetu.Hakuna kitu kama hicho. Mungu ameweka mfumo ambao unafanana na mahakama ambapo kuna mashtaka,ushahidi,na mwisho hukumu. Mfumo huu ni rigid. Ukikosea unapata adhabu palepale. Mfano: ukiugua ni lazima upate matibabu, ukilima shamba halina mbolea hupati mazao, ukila sumu wafa. Kutuambia ombeni mtapewa ni uongo. Kama maombi yangekuwa na malipo tusingetengeneza nuclear bombs kujilinda. Tungeomba tu adui akafa, tusingeteseka kwa ukimwi, njaa,ukame na majanga mengine. Maneno ya dini ni ya kibinadamu na hayana lolote zaidi ya psychological mind set.
 
Jamani tumedanganywa kwa Karne nyingi sana.Kwamba kuna vitabu vya mungu. Hakuna kitabu Cha mungu. Vitabu vyote ni vyetu wenyewe. Tumeandika mawazo yetu tukasema mungu kasema ili tuaminiwe. Pale ulipotokea upinzani tukatumia nguvu na mauaji makubwa. Mbinguni hakuna viwanda vya karatasi, wino, mashine za kuandika. Tumetumia ghiliba kwamba tumetumwa na mungu. Tunadhani muumbaji anafikiri kama sisi, anaweza kuwa random, anaweza kubadilisha kanuni alizoziweka kwa maombi yetu.Hakuna kitu kama hicho. Mungu ameweka mfumo ambao unafanana na mahakama ambapo kuna mashtaka,ushahidi,na mwisho hukumu. Mfumo huu ni rigid. Ukikosea unapata adhabu palepale. Mfano: ukiugua ni lazima upate matibabu, ukilima shamba halina mbolea hupati mazao, ukila sumu wafa. Kutuambia ombeni mtapewa ni uongo. Kama maombi yangekuwa na malipo tusingetengeneza nuclear bombs kujilinda. Tungeomba tu adui akafa, tusingeteseka kwa ukimwi, njaa,ukame na majanga mengine. Maneno ya dini ni ya kibinadamu na hayana lolote zaidi ya psychological mind set.
Unadhani kwa nini katika hivyo vitabu (vya dini) kumeandikwa mambo mengi kiasi kile yani hayo mawazo yetu tuliyoyajaza mule usumbufu wote huho ulikuwa wa nini?
 
Soma vizuri swali lako mwishoni,

Anyways, Kaini alikua ni mtoto wa Adam na Eva.

Adam na Eva walizaa watoto wengi tuu japo wanaotajwa sana kwenye biblia ni Kaini na Abeli.


Kumbuka Mungu alisema mkaijaze Dunia, So hapo moja kwa moja tunajua kabisa uzao ulianzia kwenye hiyo hiyo familia.
𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑤𝑒𝑤𝑒 𝑢𝑛𝑎𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑔𝑒𝑧𝑎 𝑚𝑎𝑛𝑒𝑛𝑜 𝑦𝑎𝑘𝑜 𝑎𝑚𝑏𝑎𝑦𝑜 𝐵𝑖𝑏𝑙𝑖𝑎 ℎ𝑎𝑖𝑘𝑢𝑎𝑛𝑑𝑖𝑘𝑎. 𝐼𝑚𝑒𝑎𝑛𝑑𝑖𝑘𝑤𝑎 𝑤𝑎𝑝𝑖 𝐴𝑑𝑎𝑚 𝑛𝑎 𝐸𝑣𝑎 𝑤𝑎𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑙𝑖𝑦𝑒𝑜𝑙𝑒𝑤𝑎 𝑛𝑎 𝐾𝑎𝑖𝑛𝑖!

Biblia inasema Kaini alikua mtoto wa Kwanza wa Adam na Eva, na baada ya kumuua nduguye Abel, alikimbilia nchi ya Nodi na akaoa huko, Je alimuona nani na alizaliwa na nani wkt Adam n Eva walikua na watoto wawili tu?

Usiweke mawazo yako, weka kilichoandikwa!
 
Hoja zako ni nzuri lakini hazijashiba. By the way, kama ni msomaji mzuri utagundua kuwa science ipo katikati, yaani haiwezi kujibu 'before' and 'after ' questions. Kwahiyo science as science ni ukweli mtupu but ina "mzazi" au nguvu iliyojificha beyond science, ambayo baadhi ya scientists wameieleza kama SUPER NATURAL POWER ambayo ndo asili ya vyote ikiwemo na science yenyewe. Hii nguvu imeleta science na maarifa mengine ili tuweze kujitambua na ku survive. Science haiwezi kueleza chanzo cha kiumbe, na hili liko wazi kwani mpaka leo "origin of pre-existing cells or parent cells" ambazo ndio msingi wa maisha ya kiumbe yeyote hai, haijulikani ni nini. Pia science haiwezi kujibu maisha baada ya kifo inakuwaje. Haiwezi kueleza kwanini ulizaliwa, umekuja duniani kufanya nini, kwanini utakufa na utaenda wapi(soul/ufahamu ulionao) baada ya kufa. Kusema tu kwamba utakufa na utaoza hakutengenezi logic yoyote ya kwanini ulizaliwa. Kwamba ulizaliwa ili ufe au?. DUNIA NA MAISHA VINA CHANZO, LAZIMA VINA CHANZO. Hii awareness tuliyonayo sasa lazima kuna namna itaendelea hata baada ya kufa, otherwise binadamu hana thamani yoyote, ni sawa na jiwe tu. Wewe kama msomi sasa ndio unatakiwa kufanya research na kujuwa chanzo cha yote ni nini hasa, maana si lazima kuamini kuwa ni Mungu. Albert Einstein wakati anakaribia kufariki alisema "I want to know the thoughts of GOD", Aliamini kuna namna. Hoja ya Umasikini wetu inatokana na ufinyu wetu wa maarifa, kusingizia dini ni kutafuta excuse tu, kwani hata kukesha kanisani tukiomba utajiri ni moja ya ishara kubwa kuwa tuna changamoto ya maarifa yote ya kidunia (formal) na ki Mungu (spiritual). Kama mnataka mali mtaipata shambani (ie KAZI, si lazima kilimo) na si kanisani. Dini ni hatima(Fate). Mafundisho ya Dini yanafanya maisha yawe na thamani. Kama una waheshimu Baba na Mama na kuwaona kama ni viumbe vya tofauti ni kwasababu ya Mafundisho ya Dini, otherwise wangekuwa kama Maembe dodo au Mafenesi tu, unaweza hata kuwatafuna ukipenda[emoji3] maana science haielezi umuhimu wa wazazi.
mkuu unapinga na kujijibu mwenyewe! Science ni endelevu, kuna vitu ambavyo tuliaminishwa na dini ambavyo science imevijibu kwa proofs za kutosha mf Jua kuzama kwenye tope, au ile ya dunia ni kama meza/flat, so majibu ya tulitoka wapi yanaendelea kufanyiwa tafiti na kuna uhakika majibu yatapatikana in future.

Issue ya kuwaheshimu wazaz hata wasio na dini wanawaheshimu, lkn kuna wenye dini ambao nao hawawaheshimu wazazi. Dini ni mfumo wa maisha tu, sema kuna exaggerations ambazo ndo tunazijadili hapa kuwa ni fake!
 
𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑤𝑒𝑤𝑒 𝑢𝑛𝑎𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑔𝑒𝑧𝑎 𝑚𝑎𝑛𝑒𝑛𝑜 𝑦𝑎𝑘𝑜 𝑎𝑚𝑏𝑎𝑦𝑜 𝐵𝑖𝑏𝑙𝑖𝑎 ℎ𝑎𝑖𝑘𝑢𝑎𝑛𝑑𝑖𝑘𝑎. 𝐼𝑚𝑒𝑎𝑛𝑑𝑖𝑘𝑤𝑎 𝑤𝑎𝑝𝑖 𝐴𝑑𝑎𝑚 𝑛𝑎 𝐸𝑣𝑎 𝑤𝑎𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑙𝑖𝑦𝑒𝑜𝑙𝑒𝑤𝑎 𝑛𝑎 𝐾𝑎𝑖𝑛𝑖!

Biblia inasema Kaini alikua mtoto wa Kwanza wa Adam na Eva, na baada ya kumuua nduguye Abel, alikimbilia nchi ya Nodi na akaoa huko, Je alimuona nani na alizaliwa na nani wkt Adam n Eva walikua na watoto wawili tu?

Usiweke mawazo yako, weka kilichoandikwa!
Mkuu Hilo gumu Sana kwake mpunguzie ukali 🤣🤣
 
Unadhani kwa nini katika hivyo vitabu (vya dini) kumeandikwa mambo mengi kiasi kile yani hayo mawazo yetu tuliyoyajaza mule usumbufu wote huho ulikuwa wa nini?
Inaelekea Hujasoma Vitabu vya Comic..
Kuna vitabu vya Hadithi vina Story nyingi kuliko Hata Biblia..
Vinaitwa Story Bible ni vikubwa balaa
 
Jamani tumedanganywa kwa Karne nyingi sana.Kwamba kuna vitabu vya mungu. Hakuna kitabu Cha mungu. Vitabu vyote ni vyetu wenyewe. Tumeandika mawazo yetu tukasema mungu kasema ili tuaminiwe. Pale ulipotokea upinzani tukatumia nguvu na mauaji makubwa. Mbinguni hakuna viwanda vya karatasi, wino, mashine za kuandika. Tumetumia ghiliba kwamba tumetumwa na mungu. Tunadhani muumbaji anafikiri kama sisi, anaweza kuwa random, anaweza kubadilisha kanuni alizoziweka kwa maombi yetu.Hakuna kitu kama hicho. Mungu ameweka mfumo ambao unafanana na mahakama ambapo kuna mashtaka,ushahidi,na mwisho hukumu. Mfumo huu ni rigid. Ukikosea unapata adhabu palepale. Mfano: ukiugua ni lazima upate matibabu, ukilima shamba halina mbolea hupati mazao, ukila sumu wafa. Kutuambia ombeni mtapewa ni uongo. Kama maombi yangekuwa na malipo tusingetengeneza nuclear bombs kujilinda. Tungeomba tu adui akafa, tusingeteseka kwa ukimwi, njaa,ukame na majanga mengine. Maneno ya dini ni ya kibinadamu na hayana lolote zaidi ya psychological mind set.
U have nailed it. Dini ni tamaduni fulani ya watu wa upande fulani, kwa kuwa walikuwa na nguvu zaidi ya weak societies kama zetu waliamua kutulazimisha kuyaamini mawazo yao na ukipinga kuchinjwa au kukaangwa ka ndafu ilikua ni fahari.

Mf logic ya Quraan eti kutelemshwa kutoka mbinguni ni uongo mweupe kabisa! Mbingu iko wapi? mawinguni? Dunia ni duara, vp walio chini ya duara?

Jamii za babu zetu za kule Kalenga Iringa kama zingekua na nguvu kama ya Mzungu au Mwarabu, asilimia kubwa ya watu tungekua tunaabudu mirumba na mapango!
 
mkuu unapinga na kujijibu mwenyewe! Science ni endelevu, kuna vitu ambavyo tuliaminishwa na dini ambavyo science imevijibu kwa proofs za kutosha mf Jua kuzama kwenye tope, au ile ya dunia ni kama meza/flat, so majibu ya tulitoka wapi yanaendelea kufanyiwa tafiti na kuna uhakika majibu yatapatikana in future.

Issue ya kuwaheshimu wazaz hata wasio na dini wanawaheshimu, lkn kuna wenye dini ambao nao hawawaheshimu wazazi. Dini ni mfumo wa maisha tu, sema kuna exaggerations ambazo ndo tunazijadili hapa kuwa ni fake!
Duh yani sayansi imekuja kujibu kwamba jua halizami kwenye tope?
 
U have nailed it. Dini ni tamaduni fulani ya watu wa upande fulani, kwa kuwa walikuwa na nguvu zaidi ya weak societies kama zetu waliamua kutulazimisha kuyaamini mawazo yao na ukipinga kuchinjwa au kukaangwa ka ndafu ilikua ni fahari.

Mf logic ya Quraan eti kutelemshwa kutoka mbinguni ni uongo mweupe kabisa! Mbingu iko wapi? mawinguni? Dunia ni duara, vp walio chini ya duara?

Jamii za babu zetu za kule Kalenga Iringa kama zingekua na nguvu kama ya Mzungu au Mwarabu, asilimia kubwa ya watu tungekua tunaabudu mirumba na mapango!
Kuna wakati huwa nawaza hivi mawazo kama hayo yako yapo hata kwa jamii zengine huko ambazo nazo zinafuata hizi dini kubwa au mawazo hayo huwa tunayo sie waafrika tu? Yani ni kama sisi waafrika tu ndio tunafuata dini ama imani tunazosema za kizungu na waarabu ila jamii zengine zote kila jamii ina dini yao.
 
Inaelekea Hujasoma Vitabu vya Comic..
Kuna vitabu vya Hadithi vina Story nyingi kuliko Hata Biblia..
Vinaitwa Story Bible ni vikubwa balaa
Sijashindanisha vitabu ila nimeuliza tu kwanini tujaze mambo mengi sana kwenye hivyo vitabu lengo lilikuwa ni nini? Kuna baadhi ya mambo humo sidhani hata kama waumini wa enzi hizo walikuwa wakielewa lakini yapo humo, je unadhani sababu ni nini?

Binafsi huwa najiuliza sana hilo.
 
Sijashindanisha vitabu ila nimeuliza tu kwanini tujaze mambo mengi sana kwenye hivyo vitabu lengo lilikuwa ni nini? Kuna baadhi ya mambo humo sidhani hata kama waumini wa enzi hizo walikuwa wakielewa lakini yapo humo, je unadhani sababu ni nini?

Binafsi huwa najiuliza sana hilo.
Vitabu vilikuwa Vingi sio hivyo tu 😅
Walipunguza..
 
Back
Top Bottom