Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Akili zao ndogo.Si hao wenye kuacha shughuli zao na kupigania haki za mashoga kiasi kwamba wako radhi kunyima nchi misaada kisa et shoga kupewa uhuru. Ujue wazungu wakati mwengine wanakosa vitu vya msingi vya kufanya au sijui ndio kufikiria kwenyewe huko anakokusifia mleta mada?
Huu uongo umeutoa wapiKwa kumsaidia kidogo asome hii [emoji116]View attachment 2870153
Katika maana hii uliyoitoa, wewe imani yako ipo wapi hapo?Dini ni Imani katika Mungu au miungu!
Sayansi haikubali miujiza, hivyo ukimkubali Mungu wa miujiza umepingana na sayansi.
Sayansi ni nini kwanza? Tuanzie kwenye definition ili tujue tuko pamoja.Sayansi inakubali ukiolewa mwanamume unaweza kuzaa ??
kwani uliiona wapi sayansi hata uamini kwenye sayansiSayansi ni nini kwanza? Tuanzie kwenye definition ili tujue tuko pamoja.
kwani uliiona wapi sayansi hata uamini kwenye sayansi
Tuambie wewe sayansi ni nini ?? kwani wewe una akili , uliiona wapi ??Sayansi ni nini? Hujajibu swali.
Kama kuona ni muhimu hivyo, wewe ulimuona wapi Mungu hata uamini kwenye Mungu?
Tuambie wewe sayansi ni nini ?? kwani wewe una akili , uliiona wapi ??
akili yako uliiona wapi , kama unayo ??Unaporusharusha hilo neno sayansi, unamaanisha nini? Jibu swali. Mimi ndiye nimeanza kukuuliza wewe.
Ikiwa.
1. Kitu kinaweza kuonekana kipo, na kikawa hakipo - Mirage jangwani.
2. Kitu kinaweza kuonekana kipo, na kikawa kipo - unavyojiona kwenye kioo.
3. Kitu kinaweza kuwa hakionekani, lakini kipo - Mimi hunioni, lakini nipo.
4. Kitu kinaweza kuwa hakionekani, na hakipo - Pembetatu ambayo ni duara katika Euclidean geometry.
Kwa nini habari nzima ya kuonekana iwe muhimu?
Kwa nini habari ya kuonekana iwe muhimu ikiwa kuonekana au kutoonekana haku prove lolote kwenye swali la kitu kipo au hakipo?
Unajua kusoma kwa ufahamu? Au umekwama?akili yako uliiona wapi , kama unayo ??
Unajua kusoma kwa ufahamu? Au umekwama?
Ikiwa.
1. Kitu kinaweza kuonekana kipo, na kikawa hakipo - Mirage jangwani.
2. Kitu kinaweza kuonekana kipo, na kikawa kipo - unavyojiona kwenye kioo.
3. Kitu kinaweza kuwa hakionekani, lakini kipo - Mimi hunioni, lakini nipo.
4. Kitu kinaweza kuwa hakionekani, na hakipo - Pembetatu ambayo ni duara katika Euclidean geometry.
Kwa nini habari nzima ya kuonekana iwe muhimu?
Kwa nini habari ya kuonekana iwe muhimu ikiwa kuonekana au kutoonekana haku prove lolote kwenye swali la kitu kipo au hakipo?
Ni wazi hujui kusoma kwa ufahamu.Ndiko uliko ulikoiana akili yako huko ??
Ni wazi hujui kusoma kwa ufahamu.
Una utapiamlo wa mawazo.
Na mimi sina muda wa kujibizana na watu wa aina yako.
Una uwezo mkubwa wa kupost kuliko kuchambua mambo.Unajaza ujinga tu hapa. Na mimi sitaki kuwa mtu ninaye ku enable kujaza ujinga hapa.
Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
You have lost the privilege to engage me directly.
Mngekuwa mnatoa mifano hai ina maana sasa hivi hakuna hata mtu mmoja mwenye kuongea na Mungu?Mimi binafsi nimekuelewa sana mkuu and yu make sens,,, unajua kuna watu wanaamini sana kusu dini mpaka awakumbuki Mungu tena,
binafsi mimi pia siamini dini yoyote ila naamini Mungu yupo. na huwenda aya mabaya mengi mazuri machache ni huenda Mungu ametuacha maana atujui kuongea nae tena
jambo lakujiuliza sana ni hili.....!!
kwanini kabla ya kuibuka kwa utawala wakirumi (roman empire) watu walikua wanaongea na Mungu vizuri na walikua very sencitive kiasi kwamba binadam alikua anauweo wakuitambua hatari au chuki kwa kuangaliana tu na adui yake
ukweli ni kwamba roman empire imeleta giza sana kwenye akili za wanadamu wengi ila roman empire ndio chanzo cha kuibuka kwa mkanganyiko wa dini na kusababisha kutokea kwa madhehebu mengi ambayo ayajui nini maana ya Mungu.
Mngekuwa mnatoa mifano hai ina maana sasa hivi hakuna hata mtu mmoja mwenye kuongea na Mungu?
Hauna jibu la kunipa, unapaniki unatukana, halafu unaniuliza, means bado unataka mjadala na mie.Pumbavu, Kila kitu unaleta ubishi, Maswali yako ni dhahiri umekaa kiubishani tu...
Sina jibu la kukupa tena bakia na huo ubishi wako.
Nkuulize swali labda, Adamu na hawa waliumbwa kwa lengo la kuijaza Dunia kwa akili zako siku zote ulidhani biblia inamaanisha wangeijaza how ?
Mkuu nyoka hata kama anauma, haimaanishi kuwa hana faida.Si hao wenye kuacha shughuli zao na kupigania haki za mashoga kiasi kwamba wako radhi kunyima nchi misaada kisa et shoga kupewa uhuru. Ujue wazungu wakati mwengine wanakosa vitu vya msingi vya kufanya au sijui ndio kufikiria kwenyewe huko anakokusifia mleta mada?