Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Nani aliye copy &paste huyo?,.. Maana for the first time aliyekua anawasomea watu wake Aya za kitabu hicho ushaambiwa He was Illiterate...

Mtu asiyejua kusoma anawezaje kucopy kitu asichokijua?

Au unamaanisha alicopy kwa namna gani..?

Ndiyo maana naona odds za kwamba kimekua copied au ni mtu tu amejitungia ni 0.00%
🚮🚮
 
Enhe umekuja ninapotaka.

Sasa Hizo "facts with principles" ebu nipe elimu bac, na mm nataka niwe kama wewe, nataka na mm nisiamini kwamba mungu yupo, nisaidie mwanang.
Sijasema Mungu hayupo n I didn't say I'm an atheist...ukiamini Mungu yupo sawa..buh just because sijui lyf imeanzaje doesn't mean niamini story yoyote iliyotungwa kuexplain it.. evolution doesn't explain it well pia lakini it's based on facts n evidence through biology, archaeology n other fields..evidences ranges kwenye mambo ya genetics, breeding, fossil record, mutations, pia kwenye miili ya some organisms Kuna features that show evolutionary proofs kama in whales hata in humans.. etc..asa it's up to u kufuatilia utaelewa coz ni vigumu yes na haviexplain atheism mungu anaweza akawa ameset the process in motion lakini kusema u don't believe it kisa unaamini story ya sumerian creation myths iliyoigwa na Judaism na kupachikwa na Christianity n Islam as god's word is not a smart idea
 
33adf75106b448f4a03669a2018e2e8b.jpg
 
Ukizungumzia dini Vs Sayansi utajichanganya sana. Lakini ukizungumzia kile wanachoamini wanadini yaani mandiko matakatifu Vs Sayansi hapo hoja yako ntaanza kuilewa imeegemea kwenye msimamo upi.

Na kwa kusema hivyo, kama wanasayansi wangetenga muda wa kusoma maandiko matakatifu na kufanya tafiti kuhusiana na origin of the universe, umbo la dunia, nini kinaishikilia dunia, water circle na mengine mengi, wasingetumia muda kufanya tafiti zao maana kwa zaidi ya miaka 3000 kufikia sasa mambo yalikuwa yameandikwa kwenye Biblia.

Na kujua kwamba Mungu yupo it's simple hata kupitia Sayansi yenyewe. Wanasayansi walijuaje na kuamini kuwa kuna upepo, baridi na joto vitu ambavyo havionekani na kuandika kwenye vitabu vyao kukiwa na vipimo? Nani anajua umbo au rangi la vitu hivyo vitatu? Bila shaka ni through its actions and results ndio tunaamini kuwa vipo. Ukiamini kwamba hivyo vitu vipo hata kama havionekani lakini matendo na matokeo yake yanadhihirisha kuwa vipo basi huwezi beza uwepo wa Mungu na nguvu zake pamoja na maandiko matakatifu. Matendo ya Mungu yanaonekana wazi.
 
Kwenye ulivyovisema ukweli ni 0.001% umeongea kama kauli za kijiweni na sio uhalisia ulivyo kwenye kitabu husika.
😂😂😂Sawa...dini yenu naijua..huwezi kukubali so yaishe. Ila fuatilia dini yako Ina uhuni mwingi
 
Ukizungumzia dini Vs Sayansi utajichanganya sana. Lakini ukizungumzia kile wanachoamini wanadini yaani mandiko matakatifu Vs Sayansi hapo hoja yako ntaanza kuilewa imeegemea kwenye msimamo upi.

Na kwa kusema hivyo, kama wanasayansi wangetenga muda wa kusoma maandiko matakatifu na kufanya tafiti kuhusiana na origin of the universe, umbo la dunia, nini kinaishikilia dunia, water circle na mengine mengi, wasingetumia muda kufanya tafiti zao maana kwa zaidi ya miaka 3000 kufikia sasa mambo yalikuwa yameandikwa kwenye Biblia.

Na kujua kwamba Mungu yupo it's simple hata kupitia Sayansi yenyewe. Wanasayansi walijuaje na kuamini kuwa kuna upepo, baridi na joto vitu ambavyo havionekani na kuandika kwenye vitabu vyao kukiwa na vipimo? Nani anajua umbo au rangi la vitu hivyo vitatu? Bila shaka ni through its actions and results ndio tunaamini kuwa vipo. Ukiamini kwamba hivyo vitu vipo hata kama havionekani lakini matendo na matokeo yake yanadhihirisha kuwa vipo basi huwezi beza uwepo wa Mungu na nguvu zake pamoja na maandiko matakatifu. Matendo ya Mungu yanaonekana wazi.
😂😂😂Hivi bado mnatumia mfano wa upepo Kama watoto wa primary. Upepo
1. Can be felt, ndo maana Kuna upepo mkali, wa joto, baridi, wenye moist etc
2. Upepo una mass hence unaweza kupimika hence mtungo wa gas una uzito mwingi mwanzoni wa matumizi kuliko mwishoni
3. Upepo una volume, hence unaweza kuhifadhiwa kwenye kitu .
4. Upepo can be observed..Kama ukiblow kwenye maji u can see waves na pia bubbles
Asa tuje kwenye Mungu...wat is the observable evidence of God..ukisema cjui miti cjui mvua tunarudi kulekule kwamba it doesn't prove theism..unabidi utuelezee tunajuaje Mungu wako wa kiarabu au wa kiyahudi ndo anahusika na the so called observation maana hata wahindi wagiriki walisema miungu Yao imeumba kila kitu na inafanya kila kitu ulimwenguni kiende..so how do u distinguish wat god does n wat happens naturally n how do we know which god or gods ndo wapo in charge na ndo waumbaji..
Nijibu kwa hoja sio makasiriko matusi au Vitisho
Twende kazi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi bado mnatumia mfano wa upepo Kama watoto wa primary. Upepo
1. Can be felt, ndo maana Kuna upepo mkali, wa joto, baridi, wenye moist etc
2. Upepo una mass hence unaweza kupimika hence mtungo wa gas una uzito mwingi mwanzoni wa matumizi kuliko mwishoni
3. Upepo una volume, hence unaweza kuhifadhiwa kwenye kitu .
4. Upepo can be observed..Kama ukiblow kwenye maji u can see waves na pia bubbles
Asa tuje kwenye Mungu...wat is the observable evidence of God..ukisema cjui miti cjui mvua tunarudi kulekule kwamba it doesn't prove theism..unabidi utuelezee tunajuaje Mungu wako wa kiarabu au wa kiyahudi ndo anahusika na the so called observation maana hata wahindi wagiriki walisema miungu Yao imeumba kila kitu na inafanya kila kitu ulimwenguni kiende..so how do u distinguish wat god does n wat happens naturally n how do we know which god or gods ndo wapo in charge na ndo waumbaji..
Nijibu kwa hoja sio makasiriko matusi au Vitisho
Twende kazi
Unaweza kuniambia mwanzo wa binadamu?
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Kuna nabii moja kila usiku anajifanya yuko hewani live kumbe anachofanya ni kurudia recorded show ya jana na juzi halafu anasema nipigie simu sasa hivi namba yangu ni hii.....
 
Back
Top Bottom