Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Nakubaliana nawe kuwa DINI zipo kwa lengo la kudhibiti uwezo wa watu wa kufikiri.

Mungu hana na hajaleta dini. Dini ni zao la ulaghai.

Mimi ninamuamini Mungu katika Utatu wake Mtakatifu
Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote, hiyo ni haki yako ya kikatiba na kibinadamu.

Na hata mimi nisiyeamini uwepo wa Mungu, mtu akitaka kukuingilia kwenye imani yako, nitatetea haki yako ya kuamini unavyotaka.

Imani ni jambo la mtu binafsi. Halipaswi kuingiliwa, na hata kulijadili hapa JF sioni mantiki yake.

Lakini, tukiondoka kwenye imani tu (ambako unaruhusiwa kuamini chochote, cha ukweli au uongo), tukajikita katika facts zinazoweza kuthibitishwa, mpqka sasa hakuna aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Ukibisha hili, naomba uthibitishe Mungu yupo.
 
Ukiwa mwongo ujue namna ya kuwa na kumbukumbu. China hawana dini..? Nachojua china wana dini yao.

Halafu pia kuna wana sayansi km albert eistein walikua na imani kubwa saana kwa Mungu.

Soo hata sayansi inategemea imani ili kuwa na nia ya kutafuta chanzo mpaka hitimisho.

Dini ni ya watu wenye akili sema vichaa ndio hawana dini
Mkuu hujamsoma kabisa Albeirt Einstein. Alipoteza muda wake mwingi kutaka kuprove kutokuwepo kwa Mungu, muda ambao kwa IQ yake angeweza kufanya vumbuzi nyingi sana. Baada ya kushindwa kabisa alikuja na hii quote

"Albert Einstein himself stated "I'm not an atheist, and I don't think I can call myself a pantheist... I believe in Spinoza's God who reveals himself in the orderly harmony of what exists, not in a God who concerns himself with fates and actions of human beings".
Chanzo: Religious and philosophical views of Albert Einstein - Wikipedia.
 
Mkuu hujamsoma kabisa Albeirt Einstein. Alipoteza muda wake mwingi kutaka kuprove kutokuwepo kwa Mungu, muda ambao kwa IQ yake angeweza kufanya vumbuzi nyingi sana. Baada ya kushindwa kabisa alikuja na hii quote

"Albert Einstein himself stated "I'm not an atheist, and I don't think I can call myself a pantheist... I believe in Spinoza's God who reveals himself in the orderly harmony of what exists, not in a God who concerns himself with fates and actions of human beings".
Chanzo: Religious and philosophical views of Albert Einstein - Wikipedia.
Sawa kila mtu na imani yake basi
 
Wewe ni mkristo au muislamu kwanza nataka kujua
Kwakweli izi dini nimezikuta na kibaya nimezaliwa kwenye dini ya kiislam lakini nina malezi ya kikristo hivyo hata mimi nilipo jielewa nikawa na wakati mgumu uliopelekea kuwa Mpagani nina miaka mingi siudhulii kwenye ibada za pamoja lakini huwa nasali kwa lugha yangu ya kiswahili nikimuomba mungu huku nikifata taratibu kadhaa ambazo naamini ni sahihi kwangu kama kutoa sadaka nk.
 
Huwezi ukamlinganisha MUNGU na sayansi ni utovu wa kutokufikiri.

MUNGU yupo kabla ya sayansi na ndiyi maana hadi leo sayansi ina mabadiliko au mwendelezo lakini UUMBAJI hauna mabadiliko au mwendelezo.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Ni kweli siwezi kumlinganisha Mungu na sayansi, kwa sababu Mungu hayupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Mkuu hujamsoma kabisa Albeirt Einstein. Alipoteza muda wake mwingi kutaka kuprove kutokuwepo kwa Mungu, muda ambao kwa IQ yake angeweza kufanya vumbuzi nyingi sana. Baada ya kushindwa kabisa alikuja na hii quote

"Albert Einstein himself stated "I'm not an atheist, and I don't think I can call myself a pantheist... I believe in Spinoza's God who reveals himself in the orderly harmony of what exists, not in a God who concerns himself with fates and actions of human beings".
Chanzo: Religious and philosophical views of Albert Einstein - Wikipedia.
Hata Albert Einstein akisema Mungu yupo, hilo halithibitishi Mungu yupo.

Kwa sababu Albert Einstein alikosea, na kukubali kuwa alikosea.
 
Bado hujajibu swali hili.

Unajuaje Mungu kasema, na si kwamba watu tu wameandika Mungu kasema?
Ni watu wanaosema ila watu wacha mungu na watakatifu njia ya kujua kuwa ni kweli au uongo ni wewe kutii neno maana mungu huyo kasema hatakuja na kukaa kwako...wewe utamjua kwa sababu anakaa ndani yako ...
 
Ni watu wanaosema ila watu wacha mungu na watakatifu njia ya kujua kuwa ni kweli au uongo ni wewe kutii neno maana mungu huyo kasema hatakuja na kukaa kwako...wewe utamjua kwa sababu anakaa ndani yako ...
Bado hujajibu swali hili.

Unajuaje Mungu kasema, na si kwamba watu tu wameandika Mungu kasema?

Unajuaje hapa ni mtu tu kaandika, anasingizia Mungu, na hapa ni Mungu kaandika kupitia watu?

Unajuaje Mungu yupo? Unathibitishaje hilo?
 
Bado hujajibu swali hili.

Unajuaje Mungu kasema, na si kwamba watu tu wameandika Mungu kasema?

Unajuaje hapa ni mtu tu kaandika, anasingizia Mungu, na hapa ni Mungu kaandika kupitia watu?

Unajuaje Mungu yupo? Unathibitishaje hilo?
Na wewe jibu swali unajuaje kuwa si mungu kasema bali ni watu tu wamesema ....maana ilo swali lako linakinyume chake
 
Ni watu wanaosema ila watu wacha mungu na watakatifu njia ya kujua kuwa ni kweli au uongo ni wewe kutii neno maana mungu huyo kasema hatakuja na kukaa kwako...wewe utamjua kwa sababu anakaa ndani yako ...
Mbona kila mtu anamjua tofauti asa...au kila mtu ana Mungu wake ndani
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Asante
 
Maisha ni mfumo wa kuendelea kwa viumbehai kufanya mambo kama kula, kufanya metaboli, kutoa uchafu, kupumua, kusogea, kukua, kuzaana na kuzijibu stimuli za kutoka nje.

Unapotumia neno "lengo" unatoa picha kwamba kuna kitu maalum kimelengwa kwa sisi kuwapo, huu ni mtizamo wa kidini, kwamba, kuna muumbaji, muumbaji ana lengo, na katuweka hapa duniani kutimiza lengo.

Ama pia unaweza kuwa ni mtizamo wa kwamba kuna special design, mambo yamepangwa, sasa unatafuta kujua mpango umepanga kwenda wapi?

Ukiondoka kwenye habari za dini/ special design, ambako mimi sipo, hakuna lengo maalum la sisi kuwapo hapa.

Evolution is driven by random mutations. There is no special direction it is taking, other than natural selection.

Baiolojia inaweza kufanya mambo fulani yawe kama malengo. Kwa mfano, kuzaana ni kitu ambacho kibaiolojia kimekuwa kama lengo. Ubongo ma mwili wako umefanywa kibai9lojia kupenda kufanya mambo ambayo yatahakikisha tutaendelea kuzaana. Unapenda kula, unapenda kufanya mapenzi, unasikia maumivu ukiunguzwa na moto, na inevitably ukiishi sana kwa kula na kufanya mapenzi, na kuepuka kuunguzwa na moto, chances are, utapata mtoto na kizazi kitaendelea.

So, hapo utaona mazingira yetu yametuwekea malengo ya kiasili kama hayo ya kuzaana, lakini huwezi kisema kwamba lengo la sisi kuwapo ni kuzaana, kwa sababu kuna watu wengi wanaishi vizuri tu bila kuzaana na wame adopt watoto, au wanaishi bila watoto.

Maisha hayana lengo, hii habari ya lengo ni habari ya kidini.

Ila, hilo halikuzuii wewe binafsi kiyapa lengo maisha yako. Kwa mfano, mtu anayezaliwa katika nchi inayotawaliwa kidhalimu au kikoloni, akayapa maisha yake lengo la kuikomboa nchi yake ijitawale, akapigania hilo mpaka kulifanikisha, anakuwa kaishi maisha yenye maana sana kwa watu wengi sana. Mtu aliyeona jamii yake haina madaktari wa kutosha, inasumbuliwa na mambo ya afya, akasoma ili kuongeza madaktari, akafanya lengo la maisha yake ni kupunguza matatizo ya afya, akafanikiwa sana kwenye hilo, anakuwa kayapa maisha yake maana kubwa sana.Tunao hawa wengi sana.

Hivyo, maisha hayana lengo, wewe mtu unayeishi ndiye unayapa maisha yako lengo.

Maisha ni kama gari. Wewe ni dereva. Gari halina pahali linapokwenda. Wewe dereva ndiye una safari, una sehemu unataka kwenda, wewe ndiye unaamua gari liende wapi, au hata kusema hutaki safari, unataka kupumzika tu.

Ndiyo maana hata hiyo evolution iliyokuwa inaenda kwa random mutation na natural.selection, siku hizi watu wanaiingilia kwa gene editing/ CRISPR, tunaenda kwenye cybernetic organism na artificial intelligence.

Tunaamua baiolojia yetu iweje, maisha yetu yaweje.

Tunayapa maana na malengo tunayotaka maisha yetu, hatuulizi lengo la maisha ni nini.
Umeelezea vizuri hivi with logic afu Kuna lijitu litabisha
 
Back
Top Bottom