Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Sayansi hadi leo imeshindwa kutengeneza ama kuhuisha uhai wa kiumbe chochote kile.

Hadi leo bado hawajajua ni nguvu gani ilitengeneza universe, na bado hawajui kama ni sisi tu ndiyo tunaishi hapa ulimwenguni ama kuna ulimwengu mwingine.

Kifupi sayansi imefikia 3% tu ya ukweli wa siri za uumbaji wote.

Kama NASA wenyewe wanadiriki kusema kuna source ya creation ya mambo yote haya je wewe ni nani.
That doesn't prove anything...kwa sababu mi naweza Tunga dini na nikasema Mungu wangu anaitwa Bob ndo kaumba kila kitu na ndo ananguvu na ujuzi na upendo..just coz hujui nani kaumba ulimwengu doesn't mean utamuabudu Bob kama Mungu wako
 
Kibwengo how proccess inaweza kufanyika pasipo energy? Ina maana hata maana ya energy is the capacity of doing work ujui [emoji117][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
ujui-hujui
 
Sayansi hadi leo imeshindwa kutengeneza ama kuhuisha uhai wa kiumbe chochote kile.

Hadi leo bado hawajajua ni nguvu gani ilitengeneza universe, na bado hawajui kama ni sisi tu ndiyo tunaishi hapa ulimwenguni ama kuna ulimwengu mwingine.

Kifupi sayansi imefikia 3% tu ya ukweli wa siri za uumbaji wote.

Kama NASA wenyewe wanadiriki kusema kuna source ya creation ya mambo yote haya je wewe ni nani.
weka hiyo Source ya NASA tuhakiki...
 
Jibu maswali hayo.

Una uliza swali na hujajibu swali.

Hujibu unavyo ulizwa unajibu usivyo ulizwa.

Naku uliza hivi [emoji116]

Kama dunia ilitokea, Huko ilikotokea kulitoka wapi?
Sina jibu, Hivyo siwezi kubuni buni kama ambavyo unafanya.
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Dini is simply a scam, ipo tu kwa ajili ya kutia watu hofu. We jiulize, mtu kama Mohammed anawezje kuwa Mtukufu au mtume wakati alikua ni mbakaji na muuwaji tu? Yaani it doesn't make any sense at all, eti Mungu atukataze sisi kuzini na kuua kisha amruhusu Mohammed kufanya yale aliyotukataza sie kuyafanya. Upuuzi mtupu.
 
Sina jibu, Hivyo siwezi kubuni buni kama ambavyo unafanya.
Hata Sayansi na Dini Zilibuni buni nadharia za kusema ulimwengu uliumbwa.

Hakuna Uthibitisho wowote ule wa kisayansi au kidini wa kuumbwa ulimwengu zote ni nadharia za kubuni buni tu.

Kama kunge kuwepo nadharia halisi ya chanzo cha ulimwengu tusingekuwa tuna nyuzi hizi za kuhoji hoji chanzo cha ulimwengu.
 
Hata Sayansi na Dini Zilibuni buni nadharia za kusema ulimwengu uliumbwa.

Hakuna Uthibitisho wowote ule wa kisayansi au kidini wa kuumbwa ulimwengu zote ni nadharia za kubuni buni tu.

Kama kunge kuwepo nadharia halisi ya chanzo cha ulimwengu tusingekuwa tuna nyuzi hizi za kuhoji hoji chanzo cha ulimwengu.
Unahoji huku tayari una jibu lako kuwa unachokihoji hakipo...Inamaanisha nini ?
 
Unahoji huku tayari una jibu lako kuwa unachokihoji hakipo...Inamaanisha nini ?
Namaanisha hivi...

Haiwezekani kuwepo vyanzo na nadharia nyingi zinazo elezea mwanzo wa Dunia moja tu...

Dunia ni moja, Lakini kuna nadharia nyingi za kisayansi na kidini zinazo elezea mwanzo wa dunia moja.

Huoni hapo hakuna chanzo halisi cha uhakika?

Dunia moja haiwezi kuwa na vyanzo vingi vya kuumbwa kwake.

Kama ni Mungu ange elezewa kwa namna moja kwenye Biblia na Quran jinsi alivyo umba dunia. Sio Biblia ieleze hiki, Quran ieleze kile.

Kwenye sayansi hivyo hivyo, Mara Bing bang theory iseme hivi, Evolution theory iseme vingine.

Automatically nadharia zote zina pingana zenyewe kwa zenyewe kwenye mirengo yote ya kidini na kisayansi.

Hakuna nadharia halisi kwenye sayansi na dini yenye uthibitisho kamili wa kuumbwa Dunia na isiyo na pingamizi kutoka kwenye nadharia nyingine.
 
Wamegundua nini?

Na wao walijisemea semea tu
ku believe in God?

Hawana uthibitisho wowote wa uwepo wa Mungu huyo zaidi ya maneno ya kusema sema tu.
Lakini si argument ilikuwa "intelligence"? Kwani ukikosa evidence ndiyo inakuwa hauko intelligent? Wewe mwenye huna uthibitisho wa unachoamini pia au unachojua. Ni mambo tu umekuwa ukayakuta yapo, likini wewe personally huna uthibitisho wowote.
 
Namaanisha hivi...

Haiwezekani kuwepo vyanzo na nadharia nyingi zinazo elezea mwanzo wa Dunia moja tu...

Dunia ni moja, Lakini kuna nadharia nyingi za kisayansi na kidini zinazo elezea mwanzo wa dunia moja.

Huoni hapo hakuna chanzo halisi cha uhakika?

Dunia moja haiwezi kuwa na vyanzo vingi vya kuumbwa kwake.

Kama ni Mungu ange elezewa kwa namna moja kwenye Biblia na Quran jinsi alivyo umba dunia. Sio Biblia ieleze hiki, Quran ieleze kile.

Kwenye sayansi hivyo hivyo, Mara Bing bang theory iseme hivi, Evolution theory iseme vingine.

Automatically nadharia zote zina pingana zenyewe kwa zenyewe kwenye mirengo yote ya kidini na kisayansi.

Hakuna nadharia halisi kwenye sayansi na dini yenye uthibitisho kamili wa kuumbwa Dunia na isiyo na pingamizi kutoka kwenye nadharia nyingine.
Science makes sense than Dini yoyote
 
Msingi wa dini unaujua ? Ukijua msingi wa dini basi ni rahisi kujua ngano na gugu ....msingi wa dini ndiyo kipimo cha kutambua neno la kweli la mungu na neno la uongo la shetani ...inaelekea wewe ujui kwanini yesu alijaribiwa mara 3 jangwani yake majaribu yalikuwa na lengo gani kutufundisha sisi kitu ...msingi wa dini ndiyo huu
1) HAKI (KUJUA MEMA NA MABAYA )kisha kutenda mema tu
2)KWELI
3)UHADILIFU
4)WEMA(UPENDO)
Msingi wa dini mkubwa mdani ya AFRIKA ni UNYONYAJI ndiyo maana wakoloni waliweza kuwanyonya Waafrika kwa kuwapandikiza UPIUZI wao i.e😀INI ZA KIZUNGU ambazo ni makampuni ya watu weupe waliyoyaanzisha ulaya na kuyaleta Afrika kama kitega uchumi ambapo fedha zote zilizokuwa zinakusanywa kutoka kwa WAAFRIKA walidanganywa kuwa zinakwenda MBINGUNI ambako ni ULAYA.

Habari ya YESU ndiyo na biblia ni tamthilia iliyotuka kuwahada Wafrika yesu akiwa MHUSIKA mkuu na hao wajinga wengine wakiwa WAHUSIKA WASAIDIZI hivyohivyo katika QURAN ambako MHUSIKA MKUU ni MOHAMED na WAHUSIKA WADOGO ni hao kina ISSA,n.k.

MAUDHUI ndani ya vitabu vyote viwili ni UJINGA(WAAFRIKA),WIZI,UNYONYAJI,BIASHARA,UKANDAMIZAJI,UPOTOSHAJI,n.k.

TUAMKE WAAFRIKA WAKATI NI HUU.
 
Kila mtu Hujaribiwa na Tama yake mwenyewe..
Soma Yakobo..
Na kingine mkuu inawezaje uchuje Mbu na Umeze Ngamia (Yesu pia aliwahi kuwambia hili)
Yaani uchukue baadhi ya mafundisho useme haya yako sawa (Kama hapo umetaja Kujaribiwa kwa yesu ambapo papo kwenye Vitabu hivyo vilivyopotolewa)
Kuna wakati inahitaji kujitoa akili ili kutetea...

Soma biblia Yeremia 8:8

"Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo."

soma biblia
Mathayo 23:24
[24]Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia...

Yesu kujaribiwa...nafikiri soma Refference hapa.chini

Yesu alijaribiwa na Tamaa yake mwenyewe baada ya kushinda siku 40 Bila kula skaona njaaa hiyo njaa ndo iliyomjaribu..

Mathayo 4:2-3

Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa. Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.

Ukisoma katika Yakobo utaunganisha Dot mwenyewe


Yakobo 1:13-16

Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu. Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti. Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike.


Sasa malizia na Hii

1 Yohana 2:16

Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.
Achana na vitabu vya hadithi hao woye sijui yakobo,yesu,n.k ktk biblia ni wahusika ktk kutimiza malengo ya wakoloni na kufikisha ujumbe tu hakuna cha mbinguni hapo
 
Msingi wa dini mkubwa mdani ya AFRIKA ni UNYONYAJI ndiyo maana wakoloni waliweza kuwanyonya Waafrika kwa kuwapandikiza UPIUZI wao i.e😀INI ZA KIZUNGU ambazo ni makampuni ya watu weupe waliyoyaanzisha ulaya na kuyaleta Afrika kama kitega uchumi ambapo fedha zote zilizokuwa zinakusanywa kutoka kwa WAAFRIKA walidanganywa kuwa zinakwenda MBINGUNI ambako ni ULAYA.

Habari ya YESU ndiyo na biblia ni tamthilia iliyotuka kuwahada Wafrika yesu akiwa MHUSIKA mkuu na hao wajinga wengine wakiwa WAHUSIKA WASAIDIZI hivyohivyo katika QURAN ambako MHUSIKA MKUU ni MOHAMED na WAHUSIKA WADOGO ni hao kina ISSA,n.k.

MAUDHUI ndani ya vitabu vyote viwili ni UJINGA(WAAFRIKA),WIZI,UNYONYAJI,BIASHARA,UKANDAMIZAJI,UPOTOSHAJI,n.k.

TUAMKE WAAFRIKA WAKATI NI HUU.
Labda dini potovu ....mfano ukristo unesema wazi amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu ...kwahiyo kusujudia wazungu au waarabu kama anavyo fanya samia ni laana tunatakiwa kujitegemea wenyewe
 
Do u trust in religion teachings?
Acha kujitoa ufahamu bwana na kutetea ujinga wako uliolishwa.

Hapo ameongelea makundi mawili "genious na low minded" sasa hao wakatikati unawatoa wapi bwana?

Kama idadi ni watu 100 katika kundi la WAAFRIKA halafu GENEOUS tuko 10 basi LOWMINDED ukiwemo wewe mko 90 kwisha,HILO KUNDI LA TATU UNALITOA WAPI?
2023_11_29_09.17.28_edit.jpg
 
Back
Top Bottom