Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Yeah nimekuelewa But nimejibu tofauti ni kama nimeadd sentens in yo QN
Sasa ndio nimeuliza lengo lilikuwa ni lipi yani hao waliyokaa na kujaza aina yote ya hayo mawazo ilikuwa ni nini? Si wingi tu wa yaliyomo kwenye hivyo vitabu bali na aina ya mambo yaliyomo humo.
 
Sijashindanisha vitabu ila nimeuliza tu kwanini tujaze mambo mengi sana kwenye hivyo vitabu lengo lilikuwa ni nini? Kuna baadhi ya mambo humo sidhani hata kama waumini wa enzi hizo walikuwa wakielewa lakini yapo humo, je unadhani sababu ni nini?

Binafsi huwa najiuliza sana hilo.
Wana SEMA yesu alipewa kitabu cha injili,
Je Bible ni injili. Ile ya yesu?

Je yesu alikuwa anajua kusoma na kuandika ?.

Yesu mpaka anafariki na kupaaa mbinguni alikuwa tayar ameshaikamilisha injili aliyo pewa,
Yani kuiandika,?

Je mnawaamini watu walio andika Bible na kilicho ndani ya Bible?
 
N
Wana SEMA yesu alipewa kitabu cha injili,
Je Bible ni injili. Ile ya yesu?

Je yesu alikuwa anajua kusoma na kuandika ?.

Yesu mpaka anafariki na kupaaa mbinguni alikuwa tayar ameshaikamilisha injili aliyo pewa,
Yani kuiandika,?

Je mnawaamini watu walio andika Bible na kilicho ndani ya Bible?
Nimeuliza swali katika mtazamo wa kwamba hivyo vitabu vimeandikwa tu na watu kama mawazo yao. Ndio nachouliza ni kwamba hao watu walikusudia nini kuandika aina ya mambo waliyoyaandika humo na kiasi hiko? Kulikuwa na haja gani ya kujisumbua kuandika vitu vyote hivyo?
 
π‘†π‘Žπ‘ π‘Ž 𝑀𝑒𝑀𝑒 π‘’π‘›π‘Žπ‘Žπ‘›π‘§π‘Ž π‘˜π‘’π‘œπ‘›π‘”π‘’π‘§π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘›π‘’π‘›π‘œ π‘¦π‘Žπ‘˜π‘œ π‘Žπ‘šπ‘π‘Žπ‘¦π‘œ π΅π‘–π‘π‘™π‘–π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘–π‘˜π‘’π‘Žπ‘›π‘‘π‘–π‘˜π‘Ž. πΌπ‘šπ‘’π‘Žπ‘›π‘‘π‘–π‘˜π‘€π‘Ž π‘€π‘Žπ‘π‘– π΄π‘‘π‘Žπ‘š π‘›π‘Ž πΈπ‘£π‘Ž π‘€π‘Žπ‘™π‘–π‘§π‘Žπ‘Ž π‘šπ‘‘π‘œπ‘‘π‘œ π‘Žπ‘™π‘–π‘¦π‘’π‘œπ‘™π‘’π‘€π‘Ž π‘›π‘Ž πΎπ‘Žπ‘–π‘›π‘–!

Biblia inasema Kaini alikua mtoto wa Kwanza wa Adam na Eva, na baada ya kumuua nduguye Abel, alikimbilia nchi ya Nodi na akaoa huko, Je alimuona nani na alizaliwa na nani wkt Adam n Eva walikua na watoto wawili tu?

Usiweke mawazo yako, weka kilichoandikwa!
Biblia ingeelezea kila kitu, Ungepata tabu hata kuibeba...

Jitahidi uwe unasoma vitabu vya marejeo,, Nenda maktaba ya kanisa lako kaombe vitabu vinavyohusu maisha ya wengi waliotajwa kwenye biblia.

Adam na hawa walikua na watoto wengi sio hao wawili.

Kama unadhani nmeongeza maneno unaweza ukaingia google pia.
 
Biblia ingeelezea kila kitu, Ungepata tabu hata kuibeba...

Jitahidi uwe unasoma vitabu vya marejeo,, Nenda maktaba ya kanisa lako kaombe vitabu vinavyohusu maisha ya wengi waliotajwa kwenye biblia.

Adam na hawa walikua na watoto wengi sio hao wawili.

Kama unadhani nmeongeza maneno unaweza ukaingia google pia.
Kwa hiyo Biblia haijakamilika?

Vitabu vya marejeo vya nn wkt Biblia inajitosheleza?
 
Adam na Eva walikua na watoto wengi,

Kuhusu hilo umeshanielewa ? Maana naona umeanza kuruka ruka.
Kwa kumsaidia kidogo asome hii [emoji116]
Screenshot_20240112_215014_com.whatsapp.jpg
 
Mtoa mada, unaposema neno 'Dini' kwanza ungefafanua neno hilo unamaanisha nini. Yaani dini maana yake nini?
 
Wenzetu wanaojua kufikiri huko kwao makanisa wameyageuza kuwa sehemu za starehe. Wanaokariri ndio wanaoshinda kanisani kukesha na kuomba.
 
Adam na Eva walikua na watoto wengi,

Kuhusu hilo umeshanielewa ? Maana naona umeanza kuruka ruka.
π™·πšŠπš˜ 𝚠𝚊𝚝𝚘𝚝𝚘 πš πšŠπš–πšŽπšŠπš—πšπš’πš”πš πšŠ πš πšŠπš™πš’? πš›πšŽπšπšŽπš›πšŽπš—πšŒπšŽ πš’πšŠπš”πš˜ πš—πš’ πš’πš™πš’ πš—πšŠ πš’πš—πšŠ πš•πšŽπšπš’πšπš’πš–πšŠπšŒπš’ πšπšŠπš—πš’?
 
π™·πšŠπš˜ 𝚠𝚊𝚝𝚘𝚝𝚘 πš πšŠπš–πšŽπšŠπš—πšπš’πš”πš πšŠ πš πšŠπš™πš’? πš›πšŽπšπšŽπš›πšŽπš—πšŒπšŽ πš’πšŠπš”πš˜ πš—πš’ πš’πš™πš’ πš—πšŠ πš’πš—πšŠ πš•πšŽπšπš’πšπš’πš–πšŠπšŒπš’ πšπšŠπš—πš’?
Pumbavu, Kila kitu unaleta ubishi, Maswali yako ni dhahiri umekaa kiubishani tu...

Sina jibu la kukupa tena bakia na huo ubishi wako.


Nkuulize swali labda, Adamu na hawa waliumbwa kwa lengo la kuijaza Dunia kwa akili zako siku zote ulidhani biblia inamaanisha wangeijaza how ?
 
Wenzetu wanaojua kufikiri huko kwao makanisa wameyageuza kuwa sehemu za starehe. Wanaokariri ndio wanaoshinda kanisani kukesha na kuomba.
Sasa hapo kuna mahusiano gani na kufikiri? Ila wabongo mnafurahisha sana, kama sisi huku ndio tungekuwa tunageuza makanisa kuwa majengo ya starehe basi mngesema waafrika tunapenda starehe kuliko kazi kama ambavyo mnasema waafrika tunapenda ngono kuliko kazi.
 
Wenzetu wakina nani ?
Si hao wenye kuacha shughuli zao na kupigania haki za mashoga kiasi kwamba wako radhi kunyima nchi misaada kisa et shoga kupewa uhuru. Ujue wazungu wakati mwengine wanakosa vitu vya msingi vya kufanya au sijui ndio kufikiria kwenyewe huko anakokusifia mleta mada?
 
Back
Top Bottom