UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Swali langu umelielewa?Vitabu vilikuwa Vingi sio hivyo tu π
Walipunguza..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali langu umelielewa?Vitabu vilikuwa Vingi sio hivyo tu π
Walipunguza..
Yeah nimekuelewa But nimejibu tofauti ni kama nimeadd sentens in yo QNSwali langu umelielewa?
Sasa ndio nimeuliza lengo lilikuwa ni lipi yani hao waliyokaa na kujaza aina yote ya hayo mawazo ilikuwa ni nini? Si wingi tu wa yaliyomo kwenye hivyo vitabu bali na aina ya mambo yaliyomo humo.Yeah nimekuelewa But nimejibu tofauti ni kama nimeadd sentens in yo QN
Sio hio TU, sayansi imejibu jua halikusimama ili Sabato isifikeDuh yani sayansi imekuja kujibu kwamba jua halizami kwenye tope?
Wana SEMA yesu alipewa kitabu cha injili,Sijashindanisha vitabu ila nimeuliza tu kwanini tujaze mambo mengi sana kwenye hivyo vitabu lengo lilikuwa ni nini? Kuna baadhi ya mambo humo sidhani hata kama waumini wa enzi hizo walikuwa wakielewa lakini yapo humo, je unadhani sababu ni nini?
Binafsi huwa najiuliza sana hilo.
Sayansi imejibu vp kuhusiana na jua kuzama kwenye matope hebu elezea japo kidogo.Sio hio TU, sayansi imejibu jua halikusimama ili Sabato isifike
Kwani aliyesema jua huwa linazama kwenye matope ni nani? mbona hakuna mafundisho hayo.Sio hio TU, sayansi imejibu jua halikusimama ili Sabato isifike
Nimeuliza swali katika mtazamo wa kwamba hivyo vitabu vimeandikwa tu na watu kama mawazo yao. Ndio nachouliza ni kwamba hao watu walikusudia nini kuandika aina ya mambo waliyoyaandika humo na kiasi hiko? Kulikuwa na haja gani ya kujisumbua kuandika vitu vyote hivyo?Wana SEMA yesu alipewa kitabu cha injili,
Je Bible ni injili. Ile ya yesu?
Je yesu alikuwa anajua kusoma na kuandika ?.
Yesu mpaka anafariki na kupaaa mbinguni alikuwa tayar ameshaikamilisha injili aliyo pewa,
Yani kuiandika,?
Je mnawaamini watu walio andika Bible na kilicho ndani ya Bible?
Biblia ingeelezea kila kitu, Ungepata tabu hata kuibeba...πππ π π€ππ€π π’πππππ§π ππ’πππππ§π ππππππ π¦πππ πππππ¦π π΅πππππ βππππ’ππππππ. πΌππππππππ€π π€πππ π΄πππ ππ πΈπ£π π€ππππ§ππ ππ‘ππ‘π ππππ¦πππππ€π ππ πΎππππ!
Biblia inasema Kaini alikua mtoto wa Kwanza wa Adam na Eva, na baada ya kumuua nduguye Abel, alikimbilia nchi ya Nodi na akaoa huko, Je alimuona nani na alizaliwa na nani wkt Adam n Eva walikua na watoto wawili tu?
Usiweke mawazo yako, weka kilichoandikwa!
Kwa hiyo Biblia haijakamilika?Biblia ingeelezea kila kitu, Ungepata tabu hata kuibeba...
Jitahidi uwe unasoma vitabu vya marejeo,, Nenda maktaba ya kanisa lako kaombe vitabu vinavyohusu maisha ya wengi waliotajwa kwenye biblia.
Adam na hawa walikua na watoto wengi sio hao wawili.
Kama unadhani nmeongeza maneno unaweza ukaingia google pia.
Adam na Eva walikua na watoto wengi,Kwa hiyo Biblia haijakamilika?
Vitabu vya marejeo vya nn wkt Biblia inajitosheleza?
Kwa kumsaidia kidogo asome hii [emoji116]Adam na Eva walikua na watoto wengi,
Kuhusu hilo umeshanielewa ? Maana naona umeanza kuruka ruka.
Wenzetu wakina nani ?Wenzetu wanaojua kufikiri huko kwao makanisa wameyageuza kuwa sehemu za starehe. Wanaokariri ndio wanaoshinda kanisani kukesha na kuomba.
π·ππ π πππππ π πππππππππ π π πππ? πππππππππ π’πππ ππ πππ ππ πππ ππππππππππ’ ππππ?Adam na Eva walikua na watoto wengi,
Kuhusu hilo umeshanielewa ? Maana naona umeanza kuruka ruka.
Pumbavu, Kila kitu unaleta ubishi, Maswali yako ni dhahiri umekaa kiubishani tu...π·ππ π πππππ π πππππππππ π π πππ? πππππππππ π’πππ ππ πππ ππ πππ ππππππππππ’ ππππ?
Sasa hapo kuna mahusiano gani na kufikiri? Ila wabongo mnafurahisha sana, kama sisi huku ndio tungekuwa tunageuza makanisa kuwa majengo ya starehe basi mngesema waafrika tunapenda starehe kuliko kazi kama ambavyo mnasema waafrika tunapenda ngono kuliko kazi.Wenzetu wanaojua kufikiri huko kwao makanisa wameyageuza kuwa sehemu za starehe. Wanaokariri ndio wanaoshinda kanisani kukesha na kuomba.
Si hao wenye kuacha shughuli zao na kupigania haki za mashoga kiasi kwamba wako radhi kunyima nchi misaada kisa et shoga kupewa uhuru. Ujue wazungu wakati mwengine wanakosa vitu vya msingi vya kufanya au sijui ndio kufikiria kwenyewe huko anakokusifia mleta mada?Wenzetu wakina nani ?