Dini ni moja ya kitu cha "KIPUUZI" kupata kuletwa

Kuna namna tunatakiwa kureview hiki kitu kilichopewa jina la dini maana…
 
Hapana,tatizo kuna nyakati nimepitia tangu mdogo huyu Yesu kanipigania sana.....hiyo bas tu ni vile watu wanauana huko Israel napalestine sababu ya dini😭😭😭😭
Hawauwani sababu ya dini na Wala hawapiganii dini.
 
Nope ?

Kama wana- Dini hizo wakifuata maandiko yao vitabu vyao vya ku-turn the other cheek, uvumilivu na upendo Dini itakuwa ingredient ya Amani..., Aliyesema ni an Opium of the Birth hakukosea.., ila cha maana jamii nzima isiwe wana-dini baadhi tu sababu kila mtu akiwa indoctrinated kutakuwa hakuna maendeleo (sababu hakuna kuhoji yaani mtu anazaliwa tayari ana jawabu)...

By the way kama mtu anafurahia na anachoamini na ndio hicho kinampa purpose ya kuishi; who are we to say otherwise....

To each their Own...
 
Nilidhani unazungumzia UKRISTO kama ni DINI upo sahihi lakini kama hautojali unaweza kupunguza ukali wa maneno[emoji120]
 
Mbaya zaidi aliyeleta dini akasema hakuna mtume mwingine tena zaidi ya Yesu na Mohamed, akijitokeza mwingine ni wauongo. Yaani ni wao tu milele. Yaani Mungu ameishiwa uwezo wa kuumba na kuleta tena mitume wengine duniani. Mungu amezeeka? amekuwa punguani? amechoka sana? au amepatwa na nini hadi mitume iwe hiyohiyo milele na anaesema wasije wengine ni hawahawa wanaofaidika na mitume walioko sasa.
 
Kabisa kwa kukuletea wewe ili wakuibie then wakuambie ukipigwa kofi geuza shavu jingne upigwe tena.
Dini hazikuanzia ulaya Wala uarabuni wao waliozipokea kwao waliibiwa nini.
Kofi means usirudishe ubaya kwa ubaya hii hata African filosofia imekuwepo hata kabla ya dini.
 
Mungu yupo ila Hana dini , dini ni biashara za watu
 
Dini ni mfumo Bora na wa haki wa maisha wenye kumpendeza mwanadamu na Mungu.
Zingine hizo ni tafsiri za chuki
 
wahi maramoj kwa dakitari wa meno, ubongo wako umeyumba mno kushoto. Wahi ukimaliza kula tu kimbia mojakwamoja ukalazwe
 
Hapana,tatizo kuna nyakati nimepitia tangu mdogo huyu Yesu kanipigania sana.....hiyo bas tu ni vile watu wanauana huko Israel napalestine sababu ya dini😭😭😭😭
Palestina na Israel haziuani sababu ya dini , nyakati ngumu kwenye maisha zipo ili kuleta maana ya maisha , kuhisi ni yesu kakupigania sio vibaya , ila sitegemei ukakanyage wese kwa posa boy🤗
 
Mbona ulaya na uarabuni hawana huo udumavu.
Itakuaje wakati hizo ni tamaduni zao na mifumo yao tangu zamani, uarabuni sio kote wapo vizuri kuna sehemu Syria 🇸🇾 na Oman wana maisha duni tz tunasingiziwa
 
Dini hazikuanzia ulaya Wala uarabuni wao waliozipokea kwao waliibiwa nini.
Kofi means usirudishe ubaya kwa ubaya hii hata African filosofia imekuwepo hata kabla ya dini.
Walizipokea kutokea wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…