Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
We nae unadeka sana. Sasa mwanamke anakusumbua vipi kichwa chako hadi unakosa direction kiasi hiki?
Haya ndio matokeo ya kuwajaza watoto wa kiume ujinga vichwani halafu wanakutana na vitu tofauti.
Unakuta mzazi especially akina mama,anamwambia mtoto wake wa kiume, "Mwanamke hapigwi" "usije ukamfokea mtoto wa watu ongea nae kwa upole","mpende mkeo kuliko chochote kama unavyonipenda","mwanamke anapewa pesa usije ukamnyima pesa" na upuuzi mwengineo.
Hii inawajenga vijana wa kiume na mentality ya upunda au ukondoo kiasi kwamba wanashindwa muwajibisha mwanamke kwa uovu wake pale anapofanya.
Mwanamke anatoka nje ya ndoa ukija uliza eti sababu ulikuwa hautengi muda wa kukaa na mimi nikawa mpweke sana. Hapo mtu alikuwa nje kupambana na maisha ili kuleta pesa ndani ya familia.
So ni kaina fulani ka uzembe wa kifikra kakujitakia. Unajifunga kwa fikra zako mwenyewe. Kwa Kila mwanamke anaeondoka kuna wanawake 1000 zaidi wa kuja kuwa nao katika ngazi ya kata unayoishi hapo hatujaenda ngazi ya wilaya, mkoa, na taifa na Dunia.
Why sasa ukae ukisumbuana na mtu ambaye ukiuliza anakupa kiasi gani kwa mwezi zaidi ya bills unakuta ni zero. Mimi ninakuwa na mawazo sana gari yangu ikiwa inahitajika kufanyiwa service kuliko mwanamke akiwa analazimisha kupewa pesa kwa kauli zao zile "nataka unihudumie" kama mgonjwa au mzee asiyejiweza. Ufala tu.
Acha kupoteza muda na kujiweka tegemezi na mwanamke m'moja, mradi wewe hauna changamoto basi, tafuta mwingine life isonge.
Haya ndio matokeo ya kuwajaza watoto wa kiume ujinga vichwani halafu wanakutana na vitu tofauti.
Unakuta mzazi especially akina mama,anamwambia mtoto wake wa kiume, "Mwanamke hapigwi" "usije ukamfokea mtoto wa watu ongea nae kwa upole","mpende mkeo kuliko chochote kama unavyonipenda","mwanamke anapewa pesa usije ukamnyima pesa" na upuuzi mwengineo.
Hii inawajenga vijana wa kiume na mentality ya upunda au ukondoo kiasi kwamba wanashindwa muwajibisha mwanamke kwa uovu wake pale anapofanya.
Mwanamke anatoka nje ya ndoa ukija uliza eti sababu ulikuwa hautengi muda wa kukaa na mimi nikawa mpweke sana. Hapo mtu alikuwa nje kupambana na maisha ili kuleta pesa ndani ya familia.
So ni kaina fulani ka uzembe wa kifikra kakujitakia. Unajifunga kwa fikra zako mwenyewe. Kwa Kila mwanamke anaeondoka kuna wanawake 1000 zaidi wa kuja kuwa nao katika ngazi ya kata unayoishi hapo hatujaenda ngazi ya wilaya, mkoa, na taifa na Dunia.
Why sasa ukae ukisumbuana na mtu ambaye ukiuliza anakupa kiasi gani kwa mwezi zaidi ya bills unakuta ni zero. Mimi ninakuwa na mawazo sana gari yangu ikiwa inahitajika kufanyiwa service kuliko mwanamke akiwa analazimisha kupewa pesa kwa kauli zao zile "nataka unihudumie" kama mgonjwa au mzee asiyejiweza. Ufala tu.
Acha kupoteza muda na kujiweka tegemezi na mwanamke m'moja, mradi wewe hauna changamoto basi, tafuta mwingine life isonge.