Self defence ya kuwavizia watu na mambo yao?Maana kuna siku muhammad alituma watu wakavamie Caravan ya waQuraysh na ilikuwa mwezi mtakatifu...Wale watu wakavamia Caravan wakaua watu wakachukua mateka pamoja na ngamia na mali wakaenda kumpa mtume 1/5 ya mali walizopata(Hii ilikuwa kabla ya amri kuwa kila mali za vitani mtume apewe 1/5).
Wale mateka wakacriticize hicho kitendo kuwa wamevamiwa mwezi mtukufu wakati hairuhusiwi,,Na wale wafuasi wa Muhamad wakawa very Sad kuwa wamekosea.
Then Allah the wise,sublime and all knowing akashusha Verse Quran 2:217
inayosema
kwamba kuua mwezi mtukufu ni dhambi sawa lakini kukataza watu kwenda kuswali mecca(kipindi hiki wale waQuraysh walimfukuza Muhammad na waislam Mecca)Ni dhambi kubwa zaidi kwa Allah kuliko kuua.
Kwahiyo wale mujahids(wauaji) wakafurahi sana kusikia hivo tena wakamfuata Muhammad wakamuomba kitendo walichofanya kihesabiwe kama Jihad ili wapate zawadi Akhera...
Allah akashusha Verse;
"Verily, those who have believed, and those who have emigrated (for Allah's religion) and have striven hard in the way of Allah, all these hope for Allah's mercy. And Allah is Oft-Forgiving, Most Merciful)"
Kwahiyo wale jamaa wakafurahi sana wamehesabiwa kama Mujahid na mabikra wameshaanza kuandaliwa.
Sio Maneno yangu....ibn ishaq anakuambia.
They said, "O Messenger of Allah! We wish that this incident be considered a battle for us, so that we gain the rewards of the Mujahidin.'' Then, Allah revealed:
إِنَّ الَّذِينَ ءَامَنُواْ وَالَّذِينَ هَاجَرُواْ وَجَـهَدُواْ فِي سَبِيلِ اللَّهِ أُوْلـئِكَ يَرْجُونَ رَحْمَةَ اللَّهِ وَاللَّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
(Verily, those who have believed, and those who have emigrated (for Allah's religion) and have striven hard in the way of Allah, all these hope for Allah's mercy. And Allah is Oft-Forgiving, Most Merciful.)
Other References:Tafsir ibn Kathir(Quran 2:217)
Read Ibn Kathir (Abridged) for Ayah 217 of Surah Al-Baqarah
quran.com