Dini ya Ukristo inasifika kwa upendo lakini kwa nini wanachuki dhidi ya Uislam ya chini kwa chini?

Dini ya Ukristo inasifika kwa upendo lakini kwa nini wanachuki dhidi ya Uislam ya chini kwa chini?

Mara nyingi dini ya Ukristo inatangazwa kama dini ya amani na upendo na wafuasi/waamini wake wamekuwa wakitambuliwa hivyo.

Ukiondoa kwamba dini ya Uislam ikitambuliwa kama dini isiyo na amani na upendo na wafuasi wake wakitambuliwa hivyo na sehemu kubwa ya dunia.

Lakini kuna kitu nazidi kukigundua miongoni mwa wafuasi wa dini ya Ukristo nayo ni chuki ya chini kwa chini dhidi ya Uislam.

Ni kwa nini wakristo wanachuki ya chini kwa chini na Uislam tofauti na jinsi wanavyo jitambulisha ?

Je, ni kitu gani kinasababisha chuki hiyo ?
Uislamu ndio wenye chuki... wakristo wanarepply tu
 
Muslims are hated in Myanmar by Buddhists.
Muslims are hated in China due to their terror activities.Muslims are hated by Hindus in India.Muslims are hated by Christians in Africa.Biggest problem? - Muslims are hated by other muslims. They(Shia and Sunni) kill each other to prove who is better muslim.They cause trouble wherever they go. They try to impose their ideology of the 7th century that modern humans don’t like.
 
Mara nyingi dini ya Ukristo inatangazwa kama dini ya amani na upendo na wafuasi/waamini wake wamekuwa wakitambuliwa hivyo.

Ukiondoa kwamba dini ya Uislam ikitambuliwa kama dini isiyo na amani na upendo na wafuasi wake wakitambuliwa hivyo na sehemu kubwa ya dunia.

Lakini kuna kitu nazidi kukigundua miongoni mwa wafuasi wa dini ya Ukristo nayo ni chuki ya chini kwa chini dhidi ya Uislam.

Ni kwa nini wakristo wanachuki ya chini kwa chini na Uislam tofauti na jinsi wanavyo jitambulisha ?

Je, ni kitu gani kinasababisha chuki hiyo ?
Kweli ndo hujitoa mhanga kuwalipua wenzao dunia nzima.
 
Kwanza niondoe katika hilo kundi "mlilokuwa" mimi sio mtu wa mrengo huo unaofikiri wewe.

Turudi kwenye ukristo hivyo unakubali dini ya Ukristo haina upendo wowote zaidi ya chuki ya chini kwa chini ?

Wakristo ni watu waliojaa upendo sana. Hawabagui, hawalipi visasi, na ndivyo Biblia inavyofundisha. Tazama tu hata katika utoaji huduma za kijamii. Mathalani; zipo shule nyingi zimejengwa na makanisa na watoto wa Dini zote hupokelewa kupata elimu bora bila ubaguzi.

Maisha na mafundisho ya kikristo ndo msingi mkubwa wa Amani tuliyonayo duniani. Nakumbuka Gwajima alikua akiwakaribisha Masheikh kanisani kwake. Mwamposa pia hufanya hivyo na huwawekea mikono kuwaombea bila kujali imani zao. Nikifa na kuzaliwa tena, nitachagua kua MKRISTO milele na milele.
 
Mbeya ukivaa kanzu ukapita mitaa fulani unaonekana kama jini vile, ila huku kwetu pwani mpaka vituo vya daladala kwa mswafa shusha...
Umekariri vibaya, au watu wa Mbeya ndiyo wamekariri vibaya. Uislam sio kanzu, uislam ni Imani pengine iite dini. Kanzu ni aina ya vazi tu, linalovaliwa sana kule mashariki ya kati. Japo wengi wanadhani kuwa kanzu ni vazi la kiislam, lakini si kweli. Yeyote anaweza vaa kanzu, kibagharashia, kitunga au kikoi. Asalam aleikum.
 
Umekariri vibaya, au watu wa Mbeya ndiyo wamekariri vibaya. Uislam sio kanzu, uislam ni Imani pengine iite dini. Kanzu ni aina ya vazi tu, linalovaliwa sana kule mashariki ya kati. Japo wengi wanadhani kuwa kanzu ni vazi la kiislam, lakini si kweli. Yeyote anaweza vaa kanzu, kibagharashia, kitunga au kikoi. Asalam aleikum.
Sasa hapo aliyekariri vibaya mie au watu wa mbeya,, mi nafahamu kama kanzu ni vazi tu ila mbeya ukivaa kanzu ukapita mitaa fulani unaonekana kama jini vile tena muislam
 
Kwenye mikutano ya injili kwenye ukristo sijawahi kuona wakiunanga uislamu, Ila kwenye mihadhara yenu nmeona mara nyingi

Mtu anaacha kabisa kusifia macho mazuri ya mabikra wa peponi anaanza kusiliba Yesu sio Mungu[emoji16][emoji16].

Wewe Yesu anakuhusu nini wakati una Issah!!!
 
Historia yote ya Ukristo unaifahamu toka Ulaya mpaka ikakufikia wewe huku Afrika tena toka kwa mababu zako mpaka wewe ?
Reforms zilishadanyika na Hiyo imebaki kuwa historia ya kale tu, reforms zinahitajika pia upande wa pili na hapo ndipo kuna mkwamo.
 
Nimesoma kanisani mambo ambayo wakristo wanafundishwa kwanza kuwaita waislamu majini na pili kuwaita magaidi.

Naongea hapa ukweli mimi binafsi nimekumbana na chuki za wazi na sehemu ya kufanya kazi wala sikutegmea kama kuna udini...Ilikuwa hivi pale kazini nawahi sana na jamaa mmoja wote tulikuwa watu wa ibada ,siku moja katika kikao cha mwaka cha wafanyakazi walipoangalia maudhurio ya kuwahi kupitia biometric walikuta wengi wanachelewa basi ni mmi na jamaa mmoja ndio tulikuwa na maudhurio mazuri ila kuna siku naweza kuchelewa kama dk hata 20.

Jamaa mmoja mgalatia akasema "Hao ni Waislamu kwani hujui wanaamka asubuhi mapema kwenda kuabudu Mungu " na kuna maneno walitamka ya chuki...
Mpaka nilipanic binafsi palikuwa na mgogoro mpaka kwa HR tulifka.


Hao jamaa wanaogop waislamu na chuki zao wanapandikizwa tangu watoto ,sisi waislamu hatuna chuki ila tunaongea ukweli ukifanya jambo tunakuambia hii ni dhambi basi wao wanasema eti tuna hukumu watu ...Sisi tunafikisha ujumbe kama ulivyo .


Siwezi kueleza mengi maana kuna code nitafichua ila nimekumbumana na mambo ya hovyo hao jamaa wana chuki hata wawe kumi wewe ukiwa pekeako wanaanza kukudiss .
Kanisa lipi?
 
Reforms zilishadanyika na Hiyo imebaki kuwa historia ya kale tu, reforms zinahitajika pia upande wa pili na hapo ndipo kuna mkwamo.
Inahitajika elimu kubwa kwa waislam waliowengi kuna baadhi ya mambo wanapaswa kuyaacha kama sio kuya puuza.

Naona kuna baadhi ya mambo MBS anajaribu kuya kupunguza makali ila sifikiri kama majority ya waislam wapo upande wake ?

Extremist ni kitu kibaya wao kama wao wanapaswa kupambana na hiki kitu kwanza na pia religion supremacy wanapaswa kupambana nayo dini yao wasiijengee class tofauti na dini nyengine lazima mitifuano itokee.
 
Ni kweli chuki ipo sana tu.
Ila pia nchi nyingi za kikristo zimepokea waislam na kuruhusi watamalaki na imani zao tu kitu ambacho huko kwa wengine hakiwezekani.
Sema umeongea ukweli deep down likija syala la imani ndio hivyo.
Mimi mkristo ila rafk zangu wengi waislamu nadhani kati ya rafiki 10 bas nane watakuwa Waislam
Bro Mm ni muislamu nimependa umeongea ukweli ,kuna kitu kwa upande wa Kristo hakiko sawa wanapandikizwa chuki dhidi ya waislamu wkt waislamu hatupandikizwi chuki hizo lkn huo ni mpango wa mayahudi .Wakristo wanawakubali mayahudi kuliko waislamu wkt mayahudi hawawakubali wakristo na hata waislamu.
 
Somalia hakuna Kanisa hata moja.
Ukionekana unatumia nyumba flani kufanyia ibada za Kikristo wanaichoma moto hiyo nyumba yako.
Na wanaosali hapo wakifumaniwa ni wa kuchinjwa tu
 
Back
Top Bottom