Dini ya Ukristo inasifika kwa upendo lakini kwa nini wanachuki dhidi ya Uislam ya chini kwa chini?

Dini ya Ukristo inasifika kwa upendo lakini kwa nini wanachuki dhidi ya Uislam ya chini kwa chini?

NI KWELI DINI YA KIKRISTO INASISITIZA UPENDO NA KWAKWELI MKRISTO NZURI ANAPIMWA KWA MAMBO MENGI UKIWA NI PAMOJA NA UPENDO. LAKINI PAMOJA NA HAYO YOTE UKRISTO HAUJAONDOA SABABU YA KUJILINDA NA HIVYO LAZIMA UJILINDE DHIDI YA ADUI WA ROHO NA ADUI WA MWILI. MATUKIO MENGI TUNAYOSIKIA YANATOKANA NAWASIO WAKRISTO KITENGENEZA HAKI ZINAZOINGILIA HAKI NA UHURU WA MKRISTO SUALA AMBALO KWAKWELI NI MTU MNYONGE SANA ANAWEZA KUVUMILIA.
 
Nchi zote za kiarabu kuna makanisa kasoro saudis,wakati wa mtume yalikuwepo sielewi kwa nini saudia hawaruhusu
Saudia hawaruhusu kwa sababu ya ubaguzi wa kidini.
Ukitoa Egypt na Syria na Lebanon na Morroco.Nchi nyingine wanaruhusu kanisa moja moja au mawili nchi nzima au wanawanyima kabisa sehemu ya kuabudia
Mfano mzuri Pakistani.
NB: Lakini pia kuna nchi waislamu wanabaguliwa ila hawanyimwi sehemu za kuabudia
 
Hao ni Simba na Yanga alafu uislam unahusishwa sanaa na ukatili pamoja na ugaidi
 
Mnajua kujistukia sana daah. Hakuna mkristo aliyewahi kuua mtu kisa sio mfuasi wa dini yake.
Wapo wakristo wachache lakini kidogo sana kusikia hizi habari tofauti na upande wa pili
Screenshot_20231120_133510_Chrome.jpg
 
Hapa nipo kkoo na ustaadhi anasalisha kiarabu na sio kimatumbi .Na jina lake ni la kiarabu pia
Ni ngumu sana kuutenganisha Uislam na Uarabu japo wenyewe waislam wanasema hakuna mahusiano lakini tamaduni nyingi za mashariki ya kati especially katika jamii ya kiarabu zipo kwenye Uislam
 
Nina demu mmoja, anatokea familia Ile ya wakatoliki wakarismatiki. Sasa alikuwa akienda kwenye semina zile za vijana anarudi kabadilika kabisa, anasema nyie waislamu mkifa Huwa mnakatwa utumbo unachanganyiwa kwenye chakula Cha msibani na blah blah nyingine kibaooo.

Kwao walipojua anadate na mzee WA mnyazimungu dogo akawa anapigwa biti, anapelekwa mpka Kwa baba ake wa kiroho, analishwa sumu za kutosha mpaka ana kublock, mungu saidia baada ya siku 3 anasahau yote anakutafuta Tena.

Aiseh mwanzoni nilikuwa navutiwa sana na ukatoliki, nilikuwa naona wapole, waelewa, wasomi, hawapendi fujo, ila baada ya kuskia mafundisho Yale maana mengine alikuwa anarekodi Kwa Simu Kwa Siri, nikaona kumbe hizi dini zote lengo ni Moja tu, kutufarakanisha tu.

Mungu Hana dini, tenda wema Kwa watu wa dini zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saudia hawaruhusu kwa sababu ya ubaguzi wa kidini.
Ukitoa Egypt na Syria na Lebanon na Morroco.Nchi nyingine wanaruhusu kanisa moja moja au mawili nchi nzima au wanawanyima kabisa sehemu ya kuabudia
Mfano mzuri Pakistani.
NB: Lakini pia kuna nchi waislamu wanabaguliwa ila hawanyimwi sehemu za kuabudia
Pakistan wakiristo kibao tu,Sasa wewe mpo wawili unataka muwe na makanisa mia!!?..muweke CD makelele ya kukesha
 
Mara nyingi dini ya Ukristo inatangazwa kama dini ya amani na upendo na wafuasi/waamini wake wamekuwa wakitambuliwa hivyo.

Ukiondoa kwamba dini ya Uislam ikitambuliwa kama dini isiyo na amani na upendo na wafuasi wake wakitambuliwa hivyo na sehemu kubwa ya dunia.

Lakini kuna kitu nazidi kukigundua miongoni mwa wafuasi wa dini ya Ukristo nayo ni chuki ya chini kwa chini dhidi ya Uislam.

Ni kwa nini wakristo wanachuki ya chini kwa chini na Uislam tofauti na jinsi wanavyo jitambulisha ?

Je, ni kitu gani kinasababisha chuki hiyo ?
Yaani now sio siri kwamba ukristo una chuki na uislamu maana hata huko makanisani wanawasema sana waislamu kitu nisichopenda maana wanajenga kizazi ambacho kitakua na chuki za kidini. Siku moja alikuja kanisani jamaa mmoja akataka kubatizwa ila aliongea mambo mpka nikawa natafakari je kulikua na ulazima wa kusema yote hayo na je yana ukweli ndani yake maana aliponda sana dini yake ya uislamu alipotoka. Na mchungaji nae akakazia huku akiwa kazima kipaza sauti ili ujue unafki uliopo kwanini aseme vibaya na azime kipaza sauti
 
Umeishi nchi zote za kiarabu,Pakistan,Iran, Israel..habyarmana ni anko wako,we ni uchi
Mkuu hakuna watu tunaotembea kama waandishi huru wa habari,nikikutajia nchi nilizotembelea dunia hii tutajaza kitabu
NB:"We ni uchi"" neno wanalotumia mafukara wa fikira na fursa wakidhani ni tusi 🤣🤣🤣"""
 
Wakristo hawajitoi mhanga
Hawaii hata wapagani
Waislamu wanauana Suni na shia
 
Back
Top Bottom