mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
anafananisha Mungu na mpuuzi anayemuita allahUkimtaja Mungu andika kwa herufi kubwa labda kama una maanisha Mungu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anafananisha Mungu na mpuuzi anayemuita allahUkimtaja Mungu andika kwa herufi kubwa labda kama una maanisha Mungu wako
Ahaha Mungu ana majina mengi ila anapotajwa lazima atajwe kwa heshima kubwa sanaanafananisha Mungu na mpuuzi anayemuita allah
hoja huna bwege wewe.ukiristo nibiashara nahoja tunazo kizazi wewebwege nani sasa kama sio wewe[emoji23][emoji23]
wewe sheikh kisomo cha 40 huwezi faidika sababu sio sheikh wa saudia ulipo mji unaouita mtakatifu,endelea kuchomwa jua,acha masheikh wa macca wenye hotel wale maisha na serikali ya saudia iendelee kukuza uchumi,wewe endelea kunuka mdomo hapo msikitini[emoji23][emoji23][emoji23]
jibuni swali hilo acheni chenga chengaUkimtaja Mungu andika kwa herufi kubwa labda kama una maanisha Mungu wako
Unakosea mkuu shida ninyi hamkuwekeza zaidi dini yenu haijawa shape kujitolea kwa moyo muna umimi sana ndio maana mpaka leo ukienda baadhi ya misikiti mikeka imechanika lakini hamuwezi kurekebisha kwasababu tu mnategeana fulani afanye au mpaka msikiti utaangaze mchangohoja huna bwege wewe.ukiristo nibiashara nahoja tunazo kizazi wewe
nawewe si uifanye sasa kuliko hiyo ya kuuza mwili unayoifanya[emoji23][emoji23].hoja huna bwege wewe.ukiristo nibiashara nahoja tunazo kizazi wewe
hawa ndio viazi kwa hela hawakawii kurogana,angalia yalitotokea mwanza juzi ishu ni maslahi tu pale[emoji23][emoji23]Unakosea mkuu shida ninyi hamkuwekeza zaidi dini yenu haijawa shape kujitolea kwa moyo muna umimi sana ndio maana mpaka leo ukienda baadhi ya misikiti mikeka imechanika lakini hamuwezi kurekebisha kwasababu tu mnategeana fulani afanye au mpaka msikiti utaangaze mchango
sawa ilaukiristo ni biashara mkuu.Unakosea mkuu shida ninyi hamkuwekeza zaidi dini yenu haijawa shape kujitolea kwa moyo muna umimi sana ndio maana mpaka leo ukienda baadhi ya misikiti mikeka imechanika lakini hamuwezi kurekebisha kwasababu tu mnategeana fulani afanye au mpaka msikiti utaangaze mchango
Sio biashara mzee wekeza kwa watu niny hamjafundishwa kutoa ndio maana mkisikia sadaka imefika milion 5 kwa misa moja mnapagawa ninyi mmeshazoea kuoa 50 mia miambilisawa ilaukiristo ni biashara mkuu.
Kipa imara ni Aishi manula tuSalaam!
Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.
Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.
Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.
Kidogo nisahau kuuliza hili swali?
Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
Ahaha shida hawajafunzwa kujua humuhimu wa sadaka mtu mfukoni ana 5700 anaenda toa 200 msikitinhawa ndio viazi kwa hela hawakawii kurogana,angalia yalitotokea mwanza juzi ishu ni maslahi tu pale[emoji23][emoji23]
uislamu sio biashara mkuu.tukishajenga mskiti ukawa namaji tukamlipa ustadh wetu wakufundisha watoto hatuna mengine.nawewe si uifanye sasa kuliko hiyo ya kuuza mwili unayoifanya[emoji23][emoji23].
kama mwamposa ameingiza milioni 900 kwa usiku mmoja pesa ambayo hata bakwata hawaijui kwanini nawewe usimuige kama ni rahisi tu!!!
Pombe ata mudi alikunywauislamu sio biashara mkuu.tukishajenga mskiti ukawa namaji tukamlipa ustadh wetu wakufundisha watoto hatuna mengine.
zaidi muumini akiwa nasadaka yake anatoa kama hana basi.
mashehe nimarufuku kutegemea sadaka ama zaka ama mchango wowote lazima wafanye kazi kujiingizia kipato
Sasa nyie maramufuge miparako kanisani mara mufuge misista kanisani ujinga ganihuu mnafanya?☹️☹️
hio misista namiparoko ikikaa vikaovyao kanisani midayasaamoja inakunywa nabia humohumo daaah☹️pombe kwenu si h.aram?
uislamu sio biashara mkuu.tukishajenga mskiti ukawa namaji tukamlipa ustadh wetu wakufundisha watoto hatuna mengine.
zaidi muumini akiwa nasadaka yake anatoa kama hana basi.
mashehe nimarufuku kutegemea sadaka ama zaka ama mchango wowote lazima wafanye kazi kujiingizia kipato
Sasa nyie maramufuge miparako kanisani mara mufuge misista kanisani ujinga ganihuu mnafanya?[emoji3525][emoji3525]
hio misista namiparoko ikikaa vikaovyao kanisani midayasaamoja inakunywa nabia humohumo daaah[emoji3525]pombe kwenu si h.aram?
ukimsikia mazinge analalamika waislam wagumu usione mjinga,haw watu ni mkono wa birika sana.Ahaha shida hawajafunzwa kujua humuhimu wa sadaka mtu mfukoni ana 5700 anaenda toa 200 msikitin
Af wanasubiri mabikira 70 wametunziwa waoukimsikia mazinge analalamika waislam wagumu usione mjinga,haw watu ni mkono wa birika sana.
atajulia wapi huyu!!Pombe ata mudi alikunywa