Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Maswali magumu kuhusu ubaguzi katika Dini duniani:-
1. Mwafrika anawezakuwa Papa?
2. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Anglican duniani?
3. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Lutheran duniani?
4. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Suni duniani?
5. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Shia duniani?
6. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Ibadi duniani?
7. Mwafrika anaweza kuwa Mkuu wa Ismailia duniani?
8. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Kokni Muslim duniani?
9. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Mennonite duniani?
10. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa SDA duniani?
11. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Budha duniani?
Je, dini hizi zinamilikiwa na Wazungu, Waarabu, Wahindi, Waasia (Budha) au Waafrika?
Je, dini hizi za Mzungu, Mwarabu, Mhindi na Mu-asia zilishushwa toka Mbinguni au zilianzishwa hapa hapa duniani?
Je, Waafrika hatukuwa na dizi zetu? Zilienda wapi?
Je, kuna madhara gani Waafrika tukirejea dini zetu na kuwaachia Wazungu, Waarabu, Wahindi, Waasia (Budha) za kwao wanazotubagua nazo?
Aidha, kwenye Soccer pia sina hakika kama Rais wa FIFA anawezakuwa Mwafrika.
Tujadili mada tupate maarifa.
Mkuu wa Ufalme wa Uingereza na Mkuu wa Dhehebu la Kianglikana duniani.
Mkuu wa nchi ya Vatican na Mkuu wa Dhehebu la Kikatoliki duniani.
Mkuu wa Jumuiya (Diaspora) kubwa iliyosambaa duniani ya Wana-Ismailia na Mkuu wa Dhehebu la Ismailia duniani.
Taswira zote kwa hisani ya google.
1. Mwafrika anawezakuwa Papa?
2. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Anglican duniani?
3. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Lutheran duniani?
4. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Suni duniani?
5. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Shia duniani?
6. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Ibadi duniani?
7. Mwafrika anaweza kuwa Mkuu wa Ismailia duniani?
8. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Kokni Muslim duniani?
9. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Mennonite duniani?
10. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa SDA duniani?
11. Mwafrika anawezakuwa Mkuu wa Budha duniani?
Je, dini hizi zinamilikiwa na Wazungu, Waarabu, Wahindi, Waasia (Budha) au Waafrika?
Je, dini hizi za Mzungu, Mwarabu, Mhindi na Mu-asia zilishushwa toka Mbinguni au zilianzishwa hapa hapa duniani?
Je, Waafrika hatukuwa na dizi zetu? Zilienda wapi?
Je, kuna madhara gani Waafrika tukirejea dini zetu na kuwaachia Wazungu, Waarabu, Wahindi, Waasia (Budha) za kwao wanazotubagua nazo?
Aidha, kwenye Soccer pia sina hakika kama Rais wa FIFA anawezakuwa Mwafrika.
Tujadili mada tupate maarifa.
Mkuu wa Ufalme wa Uingereza na Mkuu wa Dhehebu la Kianglikana duniani.
Mkuu wa nchi ya Vatican na Mkuu wa Dhehebu la Kikatoliki duniani.
Mkuu wa Jumuiya (Diaspora) kubwa iliyosambaa duniani ya Wana-Ismailia na Mkuu wa Dhehebu la Ismailia duniani.
Taswira zote kwa hisani ya google.