Dini zinamilikiwa na Wazungu au Waafrika?

Dini zinamilikiwa na Wazungu au Waafrika?

"WHY DID GOD HAS RULES FOR SLAVERY?" HUYU NI MUNGU WA AINA GANI?

Who was enforcing the rules
slave masters = enforcer
TUWE MAKINI TUNAPOSOMA BIBLE it's a dangerous book " TRUER WORDS ARE RARELY SPOKEN"
 
Tangu nilipoelewa kuwa dini yangu hainishikii bango, fimbo, mjeledi, panga, mshale, kisu, bunduki, bomu wala sheria yoyote kuwa kumwabudu Mungu(Yawe, Yesu na Roho Mtakatifu) yani siyo lazima bali ni hiyari na nilianza kuona matokeo baada ya hapo, kamwe sitaki kuelewa dini ililetwa na nani, kwa faida ya nani, wala nani ana ulazima wa kuwa Mkuu Kiongozi Mkuu katika hiyo dini na dhehebu ninaloabudu.

Jinsi ilivyo kidunia yani kuzaliwa karibu na bahari, mto, ziwa siyo sababu ya kujua kupiga mbizi, ndivyo jinsi ufalme wa Mungu utavyomilikiwa na watakatifu wake.

JINSI UFALME WA MBINGUNI UNAVYOFANANA:

MATHAYO 13:44-50.

"[44]Tena ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyositirika katika shamba; ambayo mtu alipoiona, aliificha; na kwa furaha yake akaenda akauza alivyo navyo vyote, akalinunua shamba lile.
[45]Tena ufalme wa mbinguni umefanana na mfanya biashara, mwenye kutafuta lulu nzuri;
[46]naye alipoona lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza alivyo navyo vyote, akainunua.
[47]Tena ufalme wa mbinguni umefanana na juya, lililotupwa baharini, likakusanya samaki wa kila namna;
[48]hata lilipojaa, walilivuta pwani; wakaketi, wakakusanya walio wema vyomboni, bali walio wabaya wakawatupa.
[49]Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia; malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki,
[50]na kuwatupa katika tanuru ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno."

Basi kupanga ni kuchagua, ikiwa unataka kumwabudu Mungu mpaka Kiongozi wa hiyo dini awe Mwafrika kazi kwako, ila ukiwa unataka nuru halisi ya wokovu kuhusu Mungu muumba mbingu na nchi, hayo mengine hayahusiani kabisa.

Ndiyomaana wawezaona Israel iliyotangulia kupata nuru ya kumjua Mungu halisi, bado wapo wasiotaka kumsikia hata huyo Mungu na wanampinga kwa nguvu zote sababu ya utukutu wao tu, ni sawa na jinsi sheria za kidunia zinavyokataza watu wasiue, wasiibe lakini kila siku watu huendelea kujihusisha na huo uhalifu, halikadhalika ndivyo ilvyo katika kumcha Mungu imekuwa tatizo kwa baadhi yetu sisi Binadamu.

Yesu yupo, tumeshuhudia kazi zake na tunazidi kuzishuhudia anavyojitangaza utukufu wake, na lazima injili ienee duniani kote na kila goti litapigwa mbele zake Mungu kukiri na kuamini hakika Mungu anastahili kuabudiwa duniani na mbinguni kote.
Hio hio bibilia unayoitumia unajua imeandikwa na nani😂 unamjua king james wewe.
Hi dunia inasiri nzito sana afu nyingi sana ,nikuambie tu ukwi the only way u can see God is through pinel only.
Nina machache kati mengi ninayojua kuhusu hi dunia ukiyajua utabaki dilema tu
 
Hio hio bibilia unayoitumia unajua imeandikwa na nani😂 unamjua king james wewe.
Hi dunia inasiri nzito sana afu nyingi sana ,nikuambie tu ukwi the only way u can see God is through pinel only.
Nina machache kati mengi ninayojua kuhusu hi dunia ukiyajua utabaki dilema tu
NGOJA NIMPE HINT kidogo about king JAMES
  1. He was very intelligent (he prophesied about union of the present united kingdom uk) he is a reason we got uk today
  2. he was gay
  3. he killed his own mother
  4. he owned slaves
  5. he worked with WILLIAM SHAKESPARE(It's rumored shakespare made some final touches on KJVB) Thus why kuna drama nyingi naishia hapa.
  6. He was obsessed with witchcraft and demonology (aliwaandikia na kitabu kabisa kipo google unaweza kisoma)
 
Yesu ni black
Nani kasema kaka.
wakat hata kuprove kuwa yesu aliwahi ku exist hakuna aliyewahi fanya hilo kwa ushahidi uliokamilika.

tatizo waafrika tupo tunachukulia bible serious sana.
ni kitabu kizuri na chenye mafundisho mengi tu, but si maneno ya mungu yale.
 
Bible was written in the esoteric code of the mystery schools.

why do we have our minds back?

unahitaji kuwa na open mindset kujifunza yale yaliyonje ya uelewa wako

kuna watu tupo na kaulewa kakudecode mengi tu ambayo mchungaji wako anayajua nakuyaficha kwako thus why they take years to master bible deception to deceive black gods and goddesses.

UNAHITAJI NINI NA NINI KABLA YAKUISOMA BIBLE NAKUIELEWA?
THE SAME KABLA YAKUINGIA COLLEGE KUNA chekechea kuna sekondari na mengine mengi ili ukifika chuo uelew.
  • HISTORY
  • PSCHOLOGY
  • ASTROLOGY etc...
 
Back
Top Bottom