Dini na madhehebu yana wamiliki wake, sio mungu. RC wamiliki wako Italia, Anglican wako UK, Lutheran wako Ujerumani, SDA wako USA, Shia na Suni wako Uarabuni, Budha wako India, Shinto wako Japan, nk.
Viongozi wa hizo dini popote walipo Duniani lazima wa report ama kuchaguliwa na kua endorsed na hao viongozi wao kutoka makao makuu.
Sisi huku Afrika kazi ni kupokea tu hizi dini, kupumbaza watu na kuwafanya waendelee kua masikini kwa kuwatoza michango isiyo na kichwa wala miguu kwa jina la zaka, sadaka na michango mingine, kiasi kidogo kinabakia hapa kikubwa wanapelekewa wamiliki wa kanisa huko walipo.
Nawapongeza hawa kina Kakobe, Gwajima, Mwamposa wao kuanzisha makanisa yao na wao kua wamiliki na kula hizo hela. Watu mnachanganye hela Tanzania anapelekewa papa italia kula? Wakila kina Mwamposa maneno ila anazokula Papa hazisemwi.