mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kuachana kwa maagizo ni Sababu ya sisi wenyewe binadamu.
Kama hakuna mungu mmoja.
Wewe umeumbwa na mungu yupi?
Kama hakuna mungu mmoja.
Wewe umeumbwa na mungu yupi?
Hakuna Mungu mmoja. Dini ziko nyingi sana ambazo maagizi zilizo nayo kutoka kwa huyo Mungu yanaachana kabisa