Dini zinamilikiwa na Wazungu au Waafrika?

Dini zinamilikiwa na Wazungu au Waafrika?

Kwanza ukiristu haukuanza ulaya, Yesu hakuwa mzungu alikuwa mwarabu yaani alitoka mashariki ya kati na maeneo yake ya kujidai yalikuwa uarabuni yaani Misri, Irani, Iraki, Jordani, Palestina na Israeli.

Uisilamu ulianzia mashariki ya kati hukohuko ulikoanzia ukirisitu, kinacho tuchanganya sisi ni majina bila kuyachambua vizuri, majina ya dini zote mbili ni ya kiarabu ila yametafsiriwa kwenye lugha nyingine, majina watumiayo wakiristu wa nchi zilizotawaliwa na mwingereza yanatamkwa tifauti kwenye nchi zilizitawaliwa na mfaransa au mspaniola,

Sasa haya majina tunayoyatumia ndiyo yanatufanya tudhani kuwa ukirisitu ulianzia Landani au Parisi, hapana, hakuna dini iliyoanzia ulaya au marekani, tusichanganye na madhehebu tukadhani ni dini.
Sawa haijalishi... tuseme ukristo umetokea uarabuni au Asia..haya tuambie mwafrika anaweza kuwa mkuu wa hizo dini za uarabuni? Unaacha point ya msingi unajadili mambo ya kijinga
 
Juma na salehe hatuwapendi wile na Charle wakati tunafanana rangi ya ngozi mpaka nywele duu salale.
-Afande sele dini-
 
Yesu siyo muarabu ni Myahudi. Uislamu ni agano la kale la Biblia. Uislamu ulianzishwa na mapadre watano wa kikatoliki walioasi kanisa katoliki miaka 500 baada ya Kristo.
Acha uongo... Ibrahim alikuwa mwarabu wa Mesopotamia (Iraqi) kutokea eneo linaitwa Ur...Na kuhusu uislamu wewe ni muongo. Thibitisha.
 
hauoni Corona ilianzia wapi?
mafuriko,matetemeko ya ardhi vimbunga hausikii huko China?
Kwahiyo Congo wamelaaniwa na Ebola.

Na nchi zote kusini mwa Jangwa la Sahara zimelaaniwa na UKIMWI.

Tanzania imelaaniwa na malaria na umaskini?
 
Ndio inawezekana pia.ili liwe fundisho na ukumbusho kuwa mungu yupo
Kwahiyo Congo wamelaaniwa na Ebola.
Na nchi zote kusini mwa Jangwa la Sahara zimelaaniwa na UKIMWI.
Tanzania imelaaniwa na malaria na umaskini?
 
Simulizi za wazee wetu : Waasisi wa madhehebu ya Ma- Shia nchini Tanzania

(NZIMA)-SIMULIZI YA MAREHEMU SHEIKH ABDALLAH SEIF (1939 -2020) - HISTORIA YETU part 1









KIU YA ILMU, SHEIKH ABDALLAH SEIF ILIMPELEKEA KUSOMA KWA MIAKA 11 MFULILIZO KATIKA NCHI ZA IRAQ, LEBANON NA IRAN (1968-1979)



Sheikh Abdallah Seif Linganaweka anatujuza kuwa Wenyeji wa Lindi jina Lao la asili ni Wakudewe kwa sasa almaaruf wanafahamika kama waMachinga wa pwani ya Lindi.



Babu yake Babu Abdallah Seif alikuwa mfalme Mlinganaweka AleiwaLunga mwenye watumwa baada ya kuwazidi wanyonge majirani kuja kuwatumikisha kujaza vyakula. Mfalme Alei(Ali)waLunga.. wa Lindi. Baada ya kuja mkoloni Muingereza nchini Tanganyika, aliua ufalme na kubakiza uchifu. Sehemu za pwani ziliathirika kwanza kwa kupoteza ufalme mapema kabla ya watu wa bara.. Pwani wakabakia na usheikh na uchifu... usiokuwa na nguvu kama falme za asili za maeneo yao Lindi / Kilwa kabla ya kuja ukoloni...



Sheikh MbogaBure mjuzi wa lugha ya Kiarabu, dini pia mmoja wa waanzilishi wa madhehebu ya Shia Tanzania amuunganisha Mzee Abdallah Seif kupata scholarship kwenda Baghdad, Iraq mwaka 1968 kusoma zaidi dini...



Kijana Abdallah Seif mwaka 1968 alipokwenda Kijijini ashutumiwa kupotea kwa kuukumbatia u-Shia mojawapo ya madhehebu ya dini ya KiIslamu, wakati wengine wote ni Sunni. Lakini babu yake msomi wa dini madhehebu wa Sunni anayetambulika Lindi na Kilwa hakuwa anatoa shutma zozote alikuwa msikivu na kumtia moyo Abdallah Seif asome zaidi na ili kuifahamu dini vizuri zaidi.



Kilichomsukuma Sheikh Abdallah Seif kuvutiwa na u-Shia ni namna masheikh wa ki-Shia walivyokuwa wazi (tabligh) kukaribisha maswali tofauti na madhehebu mengine ya KiIslam ambapo kijana hakuruhusiwa kuhoji na pia kuuliza maswali ilikuwa inachukuliwa ni utovu wa nidhamu kwa waalimu au masheikh wake.



Safari ya Sheikh Abdallah Seif wenzie vijana wakiwemo kina Sheikh Isihaka Pingili kwenda Iraq kwa meli iliwachukua mwezi mzima kupitia bandari mbalimbali za Zanzibar, Tanga, Mogadishu, Bahrain na kuishia Basra nchini Iraq na kutua katika chuo cha Hawza mji wa Najaf Iraq



Ujio wao Basra, Iraq ulileta tafrani kwa mwenyeji wao Mpakistani mfanyabiashara mkubwa nchini Iraq enzi hizo na kupelekea Saadam Hussein kumshutumu mfanyabiashara huyo tajwa kuleta majasusi wa kiAfrika ikumbukwe ndiyo kwanza Saddam Hussein na chama chake cha Baath walikuwa wanajaribu kushika hatamu za kuongoza nchi baada ya mapinduzi nchini Iraq. Mpakistani huyo alinyongwa mwaka 1969 pamoja na wafadhili wengine kama kuna Bakri Sadr waliowezesha ujio wa vijana wa kiAfrika
kuingia Iraq kwa dhumuni la kusoma dini.



Kutokana na hilo ikabidi Sheikh Abdallah Seif, Sheikh Isihaka Pingili na vijana wengine wa kiAfrika waondoke Iraq mwaka 1970 kwenda Lebanon kwenda kuendelea na azma yao ya kusoma dini.



Sheikh Abdallah Seif wakakaa Lebanon kuanzia mwaka 1970 mpaka 1978 ambapo mara nyingine masomo ya dini yakaingia changamoto baada ya vita baina ya Wapaletina waliokuwa kambi za ukimbizi Lebanon na waLebanon wenye nchi na kuzua vita vya wenyewe kwa wenyewe.



Mwaka 1978 Ikabidi Sheikh Abdallah Seif na wenzie wahamie nchi ya jirani ya Iran kwenda katika mji wa Qom city kuendelea na masomo yao ya dini. Iran ilikuwa imetulia nchi ya amani chini ya utawala wa mfalme (Shah) Mohammed Reza Pahlavi Historic Personalities of Iran: Mohammad Reza Shah Pahlavi miaka 7 waliakaa Iran wakiendelea kusomeshwa.



Wakati wa likizo Iran wengine wenda Ufaransa kuchuma zabibu mashambani au kufanya kazi sehemu za utalii wa ndani wa Iran au kuchukua mabusati ya kushona ya Iran yanayosifika Uarabuni kote kwenda kuyauza ktk nchi mbalimbali za Arabuni ndivyo mwanafunzi kama Sheikh Abdallah Seif na wenzie vijana walivyojiongezea fedha za kujikimu na kupeleka kiasi cha pesa nyumbani Tanzania.



Hatimaye mwaka 1980 baada ya ukisoma kwa miaka 11 nje ya Tanzania ,walitunikiwa shahada ya baccalauréat ya masomo ya dini na kurejea Tanzania. Kwa miaka hiyo 11 ughaibuni pia waliweza kusoma elimu ya secular kiwango cha sekondari kwa njia ya posta masomo ya nchi ya Uingereza kwa msaada mkubwa wa swahiba wa kiongozi wa kijeshi wa Nigeria Jenerali Yakubu Gowon. Swahiba huyo alikuwa mfanyabishara wa vituo vya mafuta na makazi yake Uingereza.



Mahojiano haya yanakuja kwa hisani kubwa ya Ammar Dachi yaliyemshawishi Mzee Abdallah Seif kufunguka historia ya mapito yake, ukoo , ilmu na utafiti wa mafuta 1955 na pia ujio wa madhehebu ya Shia nchini Tanzania


HISTORIA YA ABDALLAH SEIF (1939 -2020) Part - 2







Sheikh Alhaj Sheikh Abdallah Seif Linganaweka mzaliwa na mwenyeji wa kijiji cha Mnan’gole sehemu za Dimba mkoa Lindi Tanzania anaendelea kusimulia kazi kubwa aliyofanya ya kujitolea ya kueneza dini.



Sheikh Abdallah Seif anasisitiza umuhimu wa ilmu na elimu kwa wanazuoni wote wa KiIslamu.



Anasema ili sheikh awe mwanazuoni aliyekamilika kufundisha chuoni lazima kusoma ilmu ya dini kwa angalau miaka 15.



Anakumbuka alivyokuwa mjini Qom Iran akisoma chuoni alionana na wazee wa miaka 70 wakijiendeleza na kuwaambia wao vijana kuwa inahitajika miaka 35 ili kuielewa dini nje ndani kwa ufasaha. Wazee hao walicheka waliposikia vijana Sheikh Abdallah Seif, Sheikh Isihaka Pingili na vijana wengine toka Afrika wakisema wanataka kusoma dini kwa miaka 5 mpaka 10 tu ilihali wametoka Afrika na kuwaambia bila kupepesa macho kuwa ili wawe wabobevu wafikirie miaka angalau 15 ya ilmu ya dini ngazi ya chuo.



Hivyo akiwa amepikika kwa elimu tosha ya kidini baada ya kufanya kazi kwa takriban miaka 11 nchini Tanzania, mwaka 1990 sheikh Abdallah Seifu alikwenda Nampula jimbo la Cabo Delgado nchini Mozambique kufanya kazi ya dini.



Kisha sheikh Abdallah Seif alishuka mpaka mji mkuu wa Maputo Mozambique na alisaidia kufungua taasisi rasmi inayotambulika na serikali na kupewa leseni iliyosajiliwa Maputo Mozambique kwa ajili ya taasisi ya Shia Ithna-Asheri Muzdalifah . Sheikh Abdallah Seif anazungumza lugha za Kiswahili, Kiarabu, Kiingereza na Kireno.

Source : Asadiqmedia

Sasa hii inatusaidia nini? Maana kwanza huyu sio mkuu wa mashia duniani...pili hii ni dini ya waarabu tu
 
Kumbe umaskini wa Haiti hauhusiani na kukataa dini za wakoloni.

Kumbe ata kusini mwa jangwa la Sahara watu wana sali mno na wanapatwa na magonjwa vilevile.

Hivyo uache kuhusianisha kutosali kwa Mungu wako na kupata majanga.
Ndio inawezekana pia.ili liwe fundisho na ukumbusho kuwa mungu yupo
 
Cardinal John Njue
Cardinal John Njue
POPE

Pope accepts resignation of Kenyan Cardinal John Njue​

Pope Francis has accepted the resignation of Cardinal John Njue, who has served as Archbishop of Nairobi since 2007.

By Vatican News staff reporter
Pope Francis has accepted the resignation of Cardinal John Njue from the pastoral governance of the Metropolitan Archdiocese of Nairobi, Kenya, the Holy See Press Office announced on Monday.
Cardinal Njue, who was born in Kiriari, Embu District, Kenya, in 1944, has served as Archbishop of Nairobi since 2007.

Biography of Cardinal John Njue​

Cardinal John Njue, Metropolitan Archbishop emeritus of Nairobi (Kenya), was born in 1944 at Kiriari, Embu District, Kenya. He was ordained a priest by Pope Paul VI on 6 January 1973. He holds a doctorate in philosophy from the Pontifical Urbaniana University and a doctorate in theology from the Pontifical Lateran University.
In 1974 he was appointed philosophy professor and dean of students at St. Augustine Senior Seminary, Mabanga in Bungoma, of which he was also rector from 1978 to 1982.
In 1982, he was appointed to Chuka Parish as its first African parish priest. He then served as rector of St. Joseph’s Philosophicum Seminary in Nairobi until his appointment on 9 June 1986 as the first Bishop of Embu. He was ordained bishop on 20 September of that year and then coadjutor Archbishop of Nyeri on 23 January 2002. From 2005-2006, he was Apostolic Administrator of the Vicariate of Isiolo. He was also Apostolic Administrator of the diocese of Murang’a (2006-2009).
On 6 October 2007 he was appointed Archbishop of Nairobi.
He has been chairman of various commissions, such as the Episcopal commission for major seminaries in Kenya and the Kenya Episcopal Conference’s Justice and Peace Commission.
From 2006 to 2015 he was president of the Kenya Episcopal Conference.
He participated in the III Extraordinary General Assembly of the Synod of Bishops (October 2014) on The Pastoral Challenges of the Family in the Context of Evangelization and in the XIV Ordinary General Assembly on The Vocation and Mission of the Family in the Church and Contemporary World (October 2015).
He participated in the conclave of March 2013, which elected Pope Francis.
Created and proclaimed Cardinal by Benedict XVI in the consistory of 24 November 2007, of the Title of Preziosissimo Sangue di Nostro Signore Gesù Cristo (Most Precious Blood of Our Lord Jesus Christ
Sasa hii inatusaidia nini...huyu ni Cardinal tu..sio Papa. Papa ni mzungu
 
Za wazungu...

Hakuna madhara yoyote tukirudi kwenye zama zetu sababu mambo yataendelea kama kawaida...
Eti Malkia wa Uingereza ni Mkuu wa dini ya Anglikan wakati taaluma yake siyo Theologia.

Imam wa Nizari Ismailia Wa-Shia ambaye ni Imam wa 49 Prince Shah Karim al-Husseini ambaye ndiye Aga Khan IV ni Mkuu wa dini ya Ismailia wakati taaluma yake siyo dini/Theologia.
 
Ni hivi, wazungu wana akili sana na huwa wana mipango ya muda mrefu.

Kipindi wanakuja Afrika kueneza dini walitumia gharama sana. Kwa mfano, waumini walikuwa wanapewa zawadi makanisani. Pia, huko mashuleni (seminari) walikuwa wanasoma bure, na motisha kibao.

Hali hii ya misaada katika makanisa (hasa Roman Catholic) kutoka Ulaya ilienda mpaka miaka ya 2000.

Kibao kimegeuka kwa sasa. Viongozi wa kanisa (Vatican) wamekuja na kauli mbiu kwamba, Watanzania tunatakiwa tujitegemee katika kuendesha makanisa yetu. Kinachofanyika kwa sasa ni michango kwa kwenda mbele, na sehemu ya Sadaka inapelekwa huko Vatican kwa Papa.

Je, huo haukuwa uwekezaji? kwamba Vatican wanaanza kula faida waliyowekeza miaka hiyo?
 
Sasa hii inatusaidia nini...huyu ni Cardinal tu..sio Papa. Papa ni mzungu

Umeona tunaongea lugha moja kuwa mswahili kuwa Papa / Pope ni ngumu kuna nguvu nyuma ya pazia zenye mamlaka kuu za maamuzi. Mfano Cardinal John Njue mswahili mwenzetu amesoma sana na kuwa 'mbobezi' kwa kiwango cha mgeni wa elimu ya dini lakini hawezi kufikia wenyewe waanzilishi wa imani ktk ngazi ya juu duniani.

Sisi tunaweza kuchagua dini za kuja tukasoma sana mabuku yakajipanga juu ya mabuku mengine na kujaza maktaba kwa ma journals, kuhubiri sana ktk nyumba za imani, YouTube , kujifunza lugha za kale za imani hizo n.k lakini inapokuja uongozi utaishia kuwa cardinal wa jimbo au nchi na ngumu sana kupata cheo cha pope.

Ni hivyo hivyo kwa dini zingine za kuja Afrika hata tuvishwe vilemba vingapi vya kutunikiwa umahiri lakini mwisho wa siku tutaishia maeneo madogo ya kuaminiwa na siyo nafasi ya juu ya kimataifa ktk uongozi wowote wa dini za mapokeo za kuja toka ugenini.

Sababu kuna siri kubwa walionayo waanzilishi asilia wa imani hizi za kuja kwetu kwa kutumia vyombo zinazosafiri kupitia bahari. Na vitu hivyo vya siri kubwa usipopewa nafasi ya kuvijua basi aghalabu ni ngumu sana kupewa uongozi wa juu kabisa kidunia ktk imani husika ngeni ambayo haikuasisiwa Afrika.



The Vatican Secret Archives includes state papers, correspondence, account books, and many other documents that the church has accrued over the centuries. Under the orders of Pope Paul V, the Secret Archive was separated from the Vatican Library in the 17th century.1 Mar 2021
https://www.identiv.com › 2021/03/01

The World's Most Secure Buildings: The Vatican Secret Archives


Source : https://www.identiv.com/community/2...secure-buildings-the-vatican-secret-archives/
 
Wasomi wakubwa wa kiarabu kutokuwa waarabu is that a compliment or an insult kwa hao wasomi?

Ndo maana tunasema dini ni tamaduni za watu kama ilivyo tamaduni za wahehe, wakinga nk. Wengine wote mnaacha tamaduni zenu kufuata tamaduni ya hao waliowaletea dini.
Usiwe una jibu hoja kama hujaielewa. Ulichoandika ni matokeo ya kutoelewa nilichokiandika.
 
Eti Malkia wa Uingereza ni Mkuu wa dini ya Anglikan wakati taaluma yake siyo Theologia.

Imam wa Nizari Ismailia Wa-Shia ambaye ni Imam wa 49 Prince Shah Karim al-Husseini ambaye ndiye Aga Khan IV ni Mkuu wa dini ya Ismailia wakati taaluma yake siyo dini/Theologia.
Kibaya sasa imetengenezwa chuki na matabaka baina ya hizo dini za wazungu...

Hawa mambo yao haya wanajiona sahihi...
Hawa mambo yao haya wanajiona sahihi...

Wakikukutana ni mapambano badala ya amani...
 
Wewe unaposikia nabii Issa unadhani ni nani?

Raha ya dini uzijue zote usiishie kwenye ukafir.
Kweli shetani ni baba wa uongo,yaani baadae miaka 600 kupita mkamuita nabii Issa na kuzaliwa chini ya mtende si tena zizini?lengo ni kumuweka mohd awe juu sio?
 
5:51 - Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Niliposoma tu hii Aya ndani ya Quran ndipo nikatambua kuwa Dini zimeletwa Kwa ajili ya kutugawanya sisi watu weusi Leo watu weusi tunaitana makafiri Mwislamu anamwona mkristo ni mchafu, kafiri, mshirikina huku mkristo anamwona mwenzake pia hafai hii ni ujinga mkubwa Yesu anawaita watu wasikuwa wayahudi mbwa na kama utasoma biblia Kwa makini Agano la kale wale wanyama ambao Wana waisrael walikatazwa kula kama ngamia,mbwa, nguruwe ni mfano wa mataifa


Sasa angalia maneno ya mtume Muhamad dhidi ya watu weusi


Kwanza tunafanana na mashetani.


Ishaq:243 "I heard the Apostle say: 'Whoever wants to see Satan should look at Nabtal!' He was a black man with long flowing hair, inflamed eyes, and dark ruddy cheeks, , Allah sent down concerning him: 'To those who annoy the Prophet there is a painful doom." [9:61] "Gabriel came to Muhammad and said, 'If a black man comes to you his heart is more gross than a donkey's.'"


Narrated Anas bin Malik: Allah's Apostle said, "You should listen to and obey, your ruler even if he was an Ethiopian (black) slave whose head looks like a raisin."
Sahih Bukhari 9:89:256

Qur'an 39:60
And on the day of resurrection you shall see those who lied against Allah; their faces shall be blackened. Is there not in hell an abode for the proud?

Muhamad alimiliki watumwa weusi na kuwauza

It was narrated by jabir said

A slave came and pledged to the Prophet to emigrate, and the Prophet did not realize that he was a slave. Then his master came looking for him. The Prophet said: 'Sell him to me,' and he bought him for two black slaves. Then he did not accept the pledge from anyone until he asked: 'Is he a slave?"'

Sunan an nasa i 4184

Alafu mtu anakwambia uislamu ni Dini ya watu weusi au Ukristo Mimi nimezaliwa kwenye familia ya kikristo saivi na miaka 21 nilishaachana na huu ujinga wa Dini za waarabu na madhehebu ya wazungu
 
Kweli shetani ni baba wa uongo,yaani baadae miaka 600 kupita mkamuita nabii Issa na kuzaliwa chini ya mtende si tena zizini?lengo ni kumuweka mohd awe juu sio?
Sasa nimeijua rangi yako halisi, kwakuwa JF si sehemu sahihi ya unachokitaka nakuacha ukae hivyohivyo na unachokusudia kukianzisha.
 
Yaani ni uduwanzi uliopita kikomo.

Ujinga usio mwisho.

Ukimuona mlokole anavyomshobokea yesu, utadhani alikuwa mpigania uhuru wa kiafrika.

Na ukiona mwarabu mweusi anapepea na kanzu nyeupe na makobazi utadhani ni vazi la taifa.
Ww jamaa[emoji1787][emoji1787]nimecheka sana
 
Back
Top Bottom