Dini zinamilikiwa na Wazungu au Waafrika?

Dini zinamilikiwa na Wazungu au Waafrika?

Waadventista wa Sabato wanamuamini Yesu lakini hawaamini tarehe ya kuzaliwa kwake (25 Disemba) japo wao nao hawana tarehe halisi (mbadala ya hiyo). Pia wanapromote siku ya ibada (Sabato) ambayo Biblia hiyo hiyo inasema hatuko chini ya Torati, kwao usipoishika Torati ya Sabato basi hutoziona Mbingu.

Wakatoliki wanamfanya/wanampromote Bikira Maria kama nafsi ya pili ya Mungu na kwamba Mungu ana nafsi nne (Baba, Maria, Yesu, Roho Mtakatifu)

Lutheran Chapel ya Harvard University US, chuo maarufu duniani kwa vipanga, kama Wakatoliki, nao wanaamini nafsi nne za Mungu (Baba, Mama, Mwana, Roho Mtakatifu), kwamba hakuna Mwana na Baba bila Mama, japo hawasemi Mama wanayemmaanisha ni Maria ua la, aidha, hawatuambii Mungu alioa lini? Binti wa nani? Ndoa ya Mungu ilifungwa Kanisa lipi? Na Mchungaji yupi?

Hivi sasa kuna versions za Biblia 25 na zinaendelea kuongezwa zingine, Wakatoliki wame-expand Biblia kwa kuongeza vitabu vipya. Kuna hatari siku za mbeleni tukawa na vitabu labda vinaitwa Injili ya Papa Mtakatifu, au Waraka wa Bikira Maria kwa Watu Weusi au Injili ya Malkia Elizabeth Mtakatifu (kwa Waanglikana).

Ni mapambano kama unavyosema japo siyo ya Msalaba bali ya falsafa za kiimani.

TUMEVURUGWA AFRIKA! DUNIA IMEVURUGWA!
Alafu kujuwa ukweli wa madai ya Karl Marx kwamba dini ni kilevi cha kusaidia kutawala watu wanyonge ebu ona hii:-

1. Malkia Elizabeth ni Mkuu wa Ufalme wa Uingereza na Kiongozi wa Anglikan duniani (japo hana taaluma ya Theologia)

2. Papa ni Mkuu wa nchi ya Vatican na Kiongozi wa Roman Catholic duniani.

3. Aga Khan (Aga Khan siyo jina ni cheo/title kama ambavyo Farao pia ni cheo/title) ni Kiongozi wa Ismailia (ambayo ndiyo diaspora inayoongoza duniani kwa idadi kubwa, wanawezatengeneza nchi maana ndiyo wameshika biashara kubwa kubwa pia huko duniani)

Tukirudi kwenye namba 1 na 2 hapo juu, ni kwamba ili wafanikiwe kutawala kama anavyosema Marx, waliwaandikia watu kwenye Biblia namna ya kuwaheshimu ili wadumu kwenye nyadhifa zao, soma ile Scripture ya Rumi.13:1-7 “Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.

Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala anapinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu, kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumuogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.

Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na upanga bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. Kwahiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

Kwa sababu hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. Walipeni wote haki zao, Mtu wa kodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mlipe ushuru, astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, mheshimu.

Sasa viongozi wa Afrika ambao ni copy paste (wasiotumia initiatives zao wanatumia hii Rumi.13:1-7 kama Implied Article of the Constitution) ili nao waendelee kutawala bila bughudha kama hao namba 1 na 2.

AFRIKA TUMENASA.

Asomaye na afahamu.
 
Mbona hushangai kuwa TOYOTA ni mjapani.
SCANIA Mzungu.
Howo Mchina.
FAO Mchina.
Boing Mzungu.
Macedez Benz Mzungu
FIAT Mzungu.
Suzuki Mjapani.
Honda Mjapani.
Hyundai Mkorea.
Bajaj Mhindi .
TATA Mhindi.
AK-47 MRUSI.
UZI GUN MUISRAEL.
G3 Mjerumani.
Colget Mzungu.
Phoenix Mchina / Mmarekani.
Nokia Mzungu.
Samsung Mkorea.
Tecno Mchina.
apple Mmarekeni
N.k .n.k .nk..

Mifumo ya Dola,ni wao .
Mifumo ya Mahakama ni wao.
Mifumo ya bunge ni ya kwao.

Mishino ya nguo ya kwao.
Mifumo ya tiba na Elimu ya tiba ni ya kwao.

Nafaka tunazokula na matunda asilimia kubwa ni ya kwao.

Michezo kama soka na Kareti ni ya kwao.


Kwa hiyo sishangai kama hata dini zao zikichukua nafasi ya dini dhaifu za mababu zetu zilizoshindwa kuzuia utumwa na Ukolini na kuacha Mali zetu ziporwe.
Dini zilizotufundisha woga na kuwalamba miguu watawala. Dini zilizoshindwa kukataa Machifu wetu waongo , wabinafsi ,wenye tamaa mbaya, wezi na wanafiki waliouza nchi zetu Kwa wakoloni Kwa kupewa Bunduki na vitambaa vya nguo za kaniki na shanga za wake zao.

Kabla ya kulaumu dini za Wageni tulaumu kwanza za kwetu na waliokua wanaziongoza.
Dini dhaifu huleta matokeo dhaifu ya Kiimani na mwisho wake ni Kwenda motoni.
Ishu kubwa sio tamaduni na miungu ya wakoloni. Bali ni nini tunachukua na nini tunakiacha toka kwa wakoloni.

Ushoga na miungu yao ni sehemu ya tamaduni zao na si lazima tuvifate.

Sisi tunapaswa kuchagua yale yalio na mantiki na faida kwetu.

Miungu yao na ushoga sio vitu vya lazima kwetu.
 
Mbona hushangai kuwa TOYOTA ni mjapani.
SCANIA Mzungu.
Howo Mchina.
FAO Mchina.
Boing Mzungu.
Macedez Benz Mzungu
FIAT Mzungu.
Suzuki Mjapani.
Honda Mjapani.
Hyundai Mkorea.
Bajaj Mhindi .
TATA Mhindi.
AK-47 MRUSI.
UZI GUN MUISRAEL.
G3 Mjerumani.
Colget Mzungu.
Phoenix Mchina / Mmarekani.
Nokia Mzungu.
Samsung Mkorea.
Tecno Mchina.
apple Mmarekeni
N.k .n.k .nk..

Mifumo ya Dola,ni wao .
Mifumo ya Mahakama ni wao.
Mifumo ya bunge ni ya kwao.

Mishino ya nguo ya kwao.
Mifumo ya tiba na Elimu ya tiba ni ya kwao.

Nafaka tunazokula na matunda asilimia kubwa ni ya kwao.

Michezo kama soka na Kareti ni ya kwao.


Kwa hiyo sishangai kama hata dini zao zikichukua nafasi ya dini dhaifu za mababu zetu zilizoshindwa kuzuia utumwa na Ukolini na kuacha Mali zetu ziporwe.
Dini zilizotufundisha woga na kuwalamba miguu watawala. Dini zilizoshindwa kukataa Machifu wetu waongo , wabinafsi ,wenye tamaa mbaya, wezi na wanafiki waliouza nchi zetu Kwa wakoloni Kwa kupewa Bunduki na vitambaa vya nguo za kaniki na shanga za wake zao.

Kabla ya kulaumu dini za Wageni tulaumu kwanza za kwetu na waliokua wanaziongoza.
Dini dhaifu huleta matokeo dhaifu ya Kiimani na mwisho wake ni Kwenda motoni.
Maskini hujaribiwa na njaa, Tajiri hujaribiwa na starehe, Kiongozi wa Dini hujaribiwa na wanawake.
 
Alafu kujuwa ukweli wa madai ya Karl Marx kwamba dini ni kilevi cha kusaidia kutawala watu wanyonge ebu ona hii:-

1. Malkia Elizabeth ni Mkuu wa Ufalme na Kiongozi wa Anglikan duniani (japo hana taaluma ya Theologia)

2. Papa ni Mkuu wa nchi ya Vatican na Kiongozi wa Roman Catholic duniani.

3. Aga Khan (Aga Khan siyo jina ni cheo/title kama ambavyo Farao pia ni cheo/title) ni Kiongozi wa Ismailia (ambayo ndiyo diaspora inayoongoza duniani kwa idadi kubwa, wanawezatengeneza nchi maana ndiyo wameshika biashara kubwa kubwa pia huko duniani)

Tukirudi kwenye namba 1 na 2 hapo juu, ni kwamba ili wafanikiwe kutawala kama anavyosema Marx, waliwaandikia watu kwenye Biblia namna ya kuwaheshimu ili wadumu kwenye nyadhifa zao, soma ile Scripture ya Rumi.13:1-7 “Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala anapinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu, kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumuogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na upanga bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. Kwahiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri. Kwa sababu hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. Walipeni wote haki zao, Mtu wa kodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mlipe ushuru, astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, mheshimu.

Sasa viongozi wa Afrika ambao ni copy paste (wasiotumia initiatives zao wanatumia hii Rumi.13:1-7 kama Implied Article of the Constitution) ili nao waendelee kutawala bila bughudha kama hao namba 1 na 2.

AFRIKA TUMENASA.

Asomaye na afahamu.
Mifumo mibovu ya imani walizotengeneza zimefanya vijana wa Ulaya na Americas (ambao ndiyo Kanisa la kesho) kukimbia Makanisa ambayo sasa yamekuwa ni madanguro, bar, kumbi za starehe nk, kama vijana wao wameona kupotea na kuamua kujinasua, sisi Afrika tunasubiri nini?

1645625047535.png


Jengo la ibada (Kanisa) lililobadilishwa matumizi kuwa bar. Taswira kwa hisani ya google.
 
Asili yetu wa Africa ,sio hizi dini za wazungu, Dini za mababu zetu wa zamani ndo asili yetu na dini zetu, Hizo Anglican nakadhalika niza wazungu sasa mwafrica anawezaje kupewa top postn kwani dini yake!!?
Kitu walichoamini watu watu wengine kwa hiari yao katika kipindi ndio unaita asili yetu?
 
Asili haimaanishi uhiari, asili ni chimbuko la watu katika miaka mingi kwenye vizazi vyao. Asili yetu inahusisha tamaduni zetu. Tamaduni zetu hazina kuabudu miungu ya wakoloni, haya ni mambo ya tamaduni za wakoloni na wala sio asili yetu.

Naunga mkono kua asili yetu si miungu ya wakoloni, hii ni sehemu ya tamaduni za wakoloni sisi wetuambukiza tu walivyokuwa wanatutawala.
Kitu walichoamini watu watu wengine kwa hiari yao katika kipindi ndio unaita asili yetu?

Asili yetu wa Africa ,sio hizi dini za wazungu, Dini za mababu zetu wa zamani ndo asili yetu na dini zetu, Hizo Anglican nakadhalika niza wazungu sasa mwafrica anawezaje kupewa top postn kwani dini yake!!?
 
Asili haimaanishi uhiari, asili ni chimbuko la watu katika miaka mingi kwenye vizazi vyao. Asili yetu inahusisha tamaduni zetu. Tamaduni zetu hazina kuabudu miungu ya wakoloni, haya ni mambo ya tamaduni za wakoloni na wala sio asili yetu.
Naunga mkono kua asili yetu si miungu ya wakoloni, hii ni sehemu ya tamaduni za wakoloni sisi wetuambukiza tu walivyokuwa wanatutawala.
Hivi Afrika inaweza kupeleka dini zao za asili Ulaya, Americas, Uhindini na Uarabuni zikapokelewa na kuabudiwa? Kama haiwezekani sababu ni nini? Na kama inawezekana sababu ni nini pia? Kama haiwezekani je, Afrika iendelee kukumbatia dini za Mzungu, Mwarabu, Mhindi na Mu-Asia?
 
Hivi Afrika inaweza kupeleka dini zao za asili Ulaya, Americas, Uhindini na Uarabuni zikapokelewa na kuabudiwa? Kama haiwezekani sababu ni nini? Na kama inawezekana sababu ni nini pia? Kama haiwezekani je, Afrika iendelee kukumbatia dini za Mzungu, Mwarabu, Mhindi na Mu-Asia?
Ni hapo sasa.
Tunapokea kila kitu kwenye tamaduni za watu wengine bila kuchuja.
 
Asili haimaanishi uhiari, asili ni chimbuko la watu katika miaka mingi kwenye vizazi vyao. Asili yetu inahusisha tamaduni zetu. Tamaduni zetu hazina kuabudu miungu ya wakoloni, haya ni mambo ya tamaduni za wakoloni na wala sio asili yetu.
Naunga mkono kua asili yetu si miungu ya wakoloni, hii ni sehemu ya tamaduni za wakoloni sisi wetuambukiza tu walivyokuwa wanatutawala.
Mkuu wewe ni atheist hauamini miungu hiyo unayosema ni asili yetu, kwa maana haukuangalia kuwa ni asili yetu kuamini hiyo miungu ya mababu zetu ambayo ni asili yako.

Kama ilivyo kwamba hatuwezi kufuata mambo yote hata kama ni asili yetu hivyo mengine tutayafuata na mengine tutayawacha.
 
Mkuu wewe ni atheist hauamini miungu hiyo unayosema ni asili yetu, kwa maana haukuangalia kuwa ni asili yetu kuamini hiyo miungu ya mababu zetu ambayo ni asili yako.
Haimaanishi sasa kwakua mimi ni agnostic, basi nipokee tamaduni zote za wakoloni.

Ila kama itanbidi kuchagua, basi ntafavour vya kwetu.

Tamaduni za wakoloni zisizo na mantiki nizikumbatie za nini?
 
Alafu kujuwa ukweli wa madai ya Karl Marx kwamba dini ni kilevi cha kusaidia kutawala watu wanyonge ebu ona hii:-

1. Malkia Elizabeth ni Mkuu wa Ufalme wa Uingereza na Kiongozi wa Anglikan duniani (japo hana taaluma ya Theologia)

2. Papa ni Mkuu wa nchi ya Vatican na Kiongozi wa Roman Catholic duniani.

3. Aga Khan (Aga Khan siyo jina ni cheo/title kama ambavyo Farao pia ni cheo/title) ni Kiongozi wa Ismailia (ambayo ndiyo diaspora inayoongoza duniani kwa idadi kubwa, wanawezatengeneza nchi maana ndiyo wameshika biashara kubwa kubwa pia huko duniani)

Tukirudi kwenye namba 1 na 2 hapo juu, ni kwamba ili wafanikiwe kutawala kama anavyosema Marx, waliwaandikia watu kwenye Biblia namna ya kuwaheshimu ili wadumu kwenye nyadhifa zao, soma ile Scripture ya Rumi.13:1-7 “Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala anapinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu, kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumuogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na upanga bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. Kwahiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri. Kwa sababu hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. Walipeni wote haki zao, Mtu wa kodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mlipe ushuru, astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, mheshimu.

Sasa viongozi wa Afrika ambao ni copy paste (wasiotumia initiatives zao wanatumia hii Rumi.13:1-7 kama Implied Article of the Constitution) ili nao waendelee kutawala bila bughudha kama hao namba 1 na 2.

AFRIKA TUMENASA.

Asomaye na afahamu.
Hivi Afrika haiwezi kuji-BREXIT toka kwenye dini hizi za kigeni?

Madhara ni nini kama ikiji-BREXIT?

Mbona UK imeondoka EU?

Mbona USSR imebomoka na kurudia asili zao za jamhuri za kisoshalisti za wakulima wa kisovieti?
 
Hivi Afrika inaweza kupeleka dini zao za asili Ulaya, Americas, Uhindini na Uarabuni zikapokelewa na kuabudiwa? Kama haiwezekani sababu ni nini? Na kama inawezekana sababu ni nini pia? Kama haiwezekani je, Afrika iendelee kukumbatia dini za Mzungu, Mwarabu, Mhindi na Mu-Asia?
Dini dhaifu haiwezi kuingia kwenye dini yenye nguvu .

Dini zetu zilikua dhaifu zikazaa watu dhaifu kiroho. Watu wasio na maarifa. Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa.
 
Dini dhaifu haiwezi kuingia kwenye dini yenye nguvu .
Dini zetu zilikua dhaifu zikazaa watu dhaifu kiroho. Watu wasio na maarifa. Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa.
Dini za wakoloni zilikua nzuri mno ndio maana wakazunguka dunia nzima wakiua watu, wakiiba na kuwaambukiza dini. Dini zenye nguvu zilizoenea kwa kuua wengine.
 
Haimaanishi sasa kwakua mimi ni agnostic, basi nipokee tamaduni zote za wakoloni.
Ila kama itanbidi kuchagua, basi ntafavour vya kwetu.
Tamaduni za wakoloni zisizo na mantiki nizikumbatie za nini?
Na pia mkuu hatuwezi kufuata mambo yote ya mababu zetu kwa kigezo cha asili yetu, sasa sijui kwanini iwe shida kwa wengine imani tofauti na ile waliyoamini mababu zetu ambayo mnasema ni asili yetu? Yapo ambayo tunafuata asili yetu ila sio yote kwa sababu mwisho wa siku la muhimu ni kile unachoona kina mantiki ndio maana kuna mila na tamaduni zengine leo hii tunazipiga vita kwa maana hazikuwa sahihi.

Na ndio maana hata wewe ukawa agnostic hukuona sahihi kuamini miungu ambayo ni asili yako basi pia ni sawa na tunaoamini Mungu tofauti na kuacha kuamini miungu ambayo ni asili yetu.
 
Ni hapo sasa.
Tunapokea kila kitu kwenye tamaduni za watu wengine bila kuchuja.

Nadhani tunaweza kubaki na dini hizi za kikoloni ila tuzifanyie maboresho ku-suit mazingira na matakwa ya Afrika na pia tujitenge nao Wazungu, Waarabu na Wahindi wa ughaibuni nikimaanisha kwamba Afrika ijiondoe kujifungamanisha na makao makuu ya dini hizi zilizoko huko Ulaya, Americas na Uarabuni, yaani African versions za dini hizi za mkoloni makao yake makuu ya dunia yawe hapa hapa Afrika. Can this save any purpose?
 
Na pia mkuu hatuwezi kufuata mambo yote ya mababu zetu kwa kigezo cha asili yetu, sasa sijui kwanini iwe shida kwa wengine imani tofauti na ile waliyoamini mababu zetu ambayo mnasema ni asili yetu? Yapo ambayo tunafuata asili yetu ila sio yote kwa sababu mwisho wa siku la muhimu ni kile unachoona kina mantiki ndio maana kuna mila na tamaduni zengine leo hii tunazipiga vita kwa maana hazikuwa sahihi.
Dini zao zimetuletea ushoga ambao haukuwahi kuwa utaas na Uarabuni.maduni wa Mwafrika.

Nadhani tunaweza kubaki na dini hizi za kikoloni ila tuzifanyie maboresho ku-suit mazingira na matakwa ya Afrika na pia tujitenge nao Wazungu, Waarabu na Wahindi wa ughaibuni nikimaanisha kwamba Afrika ijiondoe kujifungamanisha na makao makuu ya dini hizi zilizoko huko Ulaya, Americas na Uarabuni, yaani African versions za dini hizi za mkoloni makao yake makuu ya dunia yawe hapa hapa Afrika. Can this save any purpose?
Shida unakuta asilimia kubwa ya wakristo wanatoa sadaka zinazotembea kwenye majimbo hadi zinafika Rome italia au Uingereza.

Waislamu wote wanaenda kuhiji Saud Arabia na kabla ya covid 19 pandemic, Saudi Arabia ilikua inaingiza zaidi ya USD Bilioni 12 kila mwaka kutokana na hija.

Waafrika watafanya vitu kwa mantiki kama wakiacha kunufaisha Italy, Uingereza na Saudi Arabia kifedha.

Kwenye hili upo sahihi kabisa mr. Majwala.
 
Shida unakuta asilimia kubwa ya wakristo wanatoa sadaka zinazotembea kwenye majimbo hadi zinafika Rome italia au Uingereza.
Waislamu wote wanaenda kuhiji Saud Arabia na kabla ya covid 19 pandemic, Saudi Arabia ilikua inaingiza zaidi ya USD Bilioni 12 kila mwaka kutokana na hija.
Waafrika watafanya vitu kwa mantiki kama wakiacha kunufaisha Italy, Uingereza na Saudi Arabia kifedha.
Kwenye hili upo sahihi kabisa mr. Majwala.
Sasa mkuu mfano hilo la kwenda kuhiji huko Saudia wewe ulitaka iweje yani kwamba Saudia ndio wameweka hiyo ibada ili waingize hela au kwamba ilitakiwa gharama zote wabebe nchi ya Saudia? Hebu fafanua
 
Ishu kubwa sio tamaduni na miungu ya wakoloni. Bali ni nini tunachukua na nini tunakiacha toka kwa wakoloni.
Ushoga na miungu yao ni sehemu ya tamaduni zao na si lazima tuvifate.
Sisi tunapaswa kuchagua yale yalio na mantiki na faida kwetu.
Miungu yao na ushoga sio vitu vya lazima kwetu.
Ushoga ulikuwepo kila mahali Duniani .
Ni wapunbavu TU ndio wanaaminisha watu kwa manufaa yao kuwa Ushoga haukuwepo Afrika. Wakati tukiwa watoto tulikua tunasikia kuwa Fulani anapigwa nyuma. Na ilikua ni kijijini kabisa. Hata mitandao haikuwepo. Kule Musoma Kuna Mila za Mwanamke kuoa Mwanamke Mwenzake. Unaonaje kama Mila hizo zingetumika na kutangazwa Duniani?

Dunia nzima Ina vitu vinavyowakumba watu Kwa sababu ya wakuongezeka uovu na sio Mila wala tamaduni. Kila tamaduni zina walevi ,wazinzi, wauaji n.k. Tofauti ni namna jamii inavyoshughulikia uovu huo . Afrika zipo Mila nzuri na mbaya na kila mahali zipo nzuri na mbaya.

Tamaa za watu sio Mila ni hulka na tabia za watu. Maendeleo tunaiga kutoka Kwa wengine na matokeo yake watu wanajifunza mambo maovu. Mfano watoto wanaozaliwa DSM huwezi kuwafananisha na wale wa kule ukerewe. Jamii zetu Kwa Sasa zinateswa na rushwa na ubadhirifu wa Mali za umma.

Kukosa usawa na haki Kwa wote . Haya hayahitaji dini za watu Bali ni utashi na uzalendo na kuweka Sheria Kali. Tamaa za watu hazihusiani na dini za uzungu wa uhindi Wala uarabu ni jamii yenyewe. Tamaa inawafanya watu kuwa chawa na chawa wengi wanaliwa.
 
Dini dhaifu haiwezi kuingia kwenye dini yenye nguvu .
Dini zetu zilikua dhaifu zikazaa watu dhaifu kiroho. Watu wasio na maarifa. Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa.
Ila nadhani dini zetu zinaweza kuthubutu kwa sababu tayari huko ughaibuni kuna ombwe la kuabudu miungu yao na kwamba nyumba za ibada zinauzwa kama njugu kuwa vituo vya kamari, bar, madanguro, kumbi za muziki wa dunia nk

1645629881467.png

1645630057047.png

Taswira zote kwa hisani ya google.
 
Back
Top Bottom