Dini zingesambazwa kama ambavyo Atheism inasambaa sidhani kama zingekuwa na wafuasi wengi hivi

Dini zingesambazwa kama ambavyo Atheism inasambaa sidhani kama zingekuwa na wafuasi wengi hivi

Uliyoyaeleza kuhusu mtume ndio waislamu humu wameyakataa kuwa sio iwe kwa kutafsiri kinyume hadithi au hadithi dhaifu na ndio maana hata huyo jamaa mnabishana hapo.
Nimeeleza mengi kuhusu mtume je yapi kati ya hayo wameyakataa?

Kwasababu kama umefutailia utaona muislamu mwenzako akija na utetezi wa muislamu kutoka kwenye forums za nje akitetea hizo hadithi kwa madai kuwa kile kitendo hakikuwa na ishara ya ushoga.

Hayo ni maelezo ambayo ameonesha kuyakubali na kuamua kuyaleta hapa ili kuyatumia kama defense.

Ni maelezo ambayo hayapingi uhalali wa hiyo hadithi. Bali yanakanusha tafsiri za watu kuwa ni potofu juu ya kitendo cha mtume wenu kumnyonya ndimi mtoto wa kiume kuwa jambo hilo halina uhusiano wowote na ushoga.

So nakuuliza na wewe, msimamo wako ni upi?

Ni kwamba unakubali kuwa hiyo hadithi ni ya ukweli ila tu kuhusu stori ndio haikuwa na maana ambayo mimi naiwasilisha kama ushoga?

Au unapinga kuwa hiyo hadithi sio ya ukweli na wala haitambuliki kwenye Uislamu?

Na wakati huo unapojaribu ku declare msimamo wako, ukumbuke muislamu mwenzako kanionesha namna ya kupima hadithi katika grade

Na hizo hadithi zipo katika grade ya Hasan ambapo kwa mujibu wa chanzo chake kimefafanua kuwa Hasan ni hadithi ambazo zinapaswa kutumiwa kama ushahidi.
 
I count Religion but A childish toy,And hold there is no sin but Ignorance!
 
Na ndio binaadamu tulivyo, hicho unachotaka kutuambia wewe hapa ni kwamba wenye kujielewa ni watu perfect hawafanyi makosa hivyo hakuna haja ya jela.
Naendelea kukusikiliza ,unataka kusemaje👂
 
Mecca kabla ya Uislamu kulikuwa na wapagani.

Lakini leo hii Mecca ni 100% waislamu na wapagani ni 0.00%

Bado utarudia kuuliza waislamu hawakuwa wakiishi na wasio waislamu?
Sasa unataka kusema nini kwamba hapo Mecca wapagani wote waliuliwa na kubakia waislamu tupu ndio maana hakuna wapagani?
 
Sasa unataka kusema nini kwamba hapo Mecca wapagani wote waliuliwa na kubakia waislamu tupu ndio maana hakuna wapagani?
Muhammed aliweza kufanikiwa kushawishi watu 150 kusilimu katika miaka yote 13 aliyoishi hapo.

Hao 150 ndio waliofuata Uislamu kwa njia ya kidiplomasia

Maana yake wengi wao walilazimishwa kuukubali Uislamu na waliopinga waliuwawa.
 
Naendelea kukusikiliza ,unataka kusemaje👂
Nasema kwamba uwepo wa jela umesaidia watu kujizuia kufanya uhalifu kwa kuhofia kuishia jela, binaadamu tunatofautiana haiwezekani kila mtu kuwa kama ulivyo wewe ambaye una uwezo wa kuishi bila kufanya makosa kiasi cha kutoona umuhimu wa uwepo wa adhabu au jela.
 
Muhammed aliweza kufanikiwa kushawishi watu 150 kusilimu katika miaka yote 13 aliyoishi hapo.

Hao 150 ndio waliofuata Uislamu kwa njia ya kidiplomasia

Maana yake wengi wao walilazimishwa kuukubali Uislamu na waliopinga waliuwawa.
Sio kweli na ndio maana nakuuliza hili swali mara kwa mara kwamba wakati wa Mtume ambapo uislamu ndio unatawala huko hakukuwa na wasio waislamu ambao waliishi na waislamu?
 
Nimeeleza mengi kuhusu mtume je yapi kati ya hayo wameyakataa?

Kwasababu kama umefutailia utaona muislamu mwenzako akija na utetezi wa muislamu kutoka kwenye forums za nje akitetea hizo hadithi kwa madai kuwa kile kitendo hakikuwa na ishara ya ushoga.

Hayo ni maelezo ambayo ameonesha kuyakubali na kuamua kuyaleta hapa ili kuyatumia kama defense.

Ni maelezo ambayo hayapingi uhalali wa hiyo hadithi. Bali yanakanusha tafsiri za watu kuwa ni potofu juu ya kitendo cha mtume wenu kumnyonya ndimi mtoto wa kiume kuwa jambo hilo halina uhusiano wowote na ushoga.

So nakuuliza na wewe, msimamo wako ni upi?

Ni kwamba unakubali kuwa hiyo hadithi ni ya ukweli ila tu kuhusu stori ndio haikuwa na maana ambayo mimi naiwasilisha kama ushoga?

Au unapinga kuwa hiyo hadithi sio ya ukweli na wala haitambuliki kwenye Uislamu?

Na wakati huo unapojaribu ku declare msimamo wako, ukumbuke muislamu mwenzako kanionesha namna ya kupima hadithi katika grade

Na hizo hadithi zipo katika grade ya Hasan ambapo kwa mujibu wa chanzo chake kimefafanua kuwa Hasan ni hadithi ambazo zinapaswa kutumiwa kama ushahidi.
Mbona nimekwambia kwamba uliyoyaeleza kuhusu Mtume ndio yanapingwa kuanzia hayo ya Mtume kuwa na sijui boyfriend mara sijui kunyonya ulimi kwa mtazamo wa kutaka kuonyesha kama ushoga au kitendo cha kuashiria ngono.
 
Atheist ni mashoga nyuma ya pazia hapa ndio wanapata mwavuli wa kujificha
Mashoga yamejaa kwenye dini zenu na bahati nzuri yameanza kujianika yenyewe!
Screenshot_20240121_102339_Chrome.jpg
 
Sio kweli na ndio maana nakuuliza hili swali mara kwa mara kwamba wakati wa Mtume ambapo uislamu ndio unatawala huko hakukuwa na wasio waislamu ambao waliishi na waislamu?
Sijui huelewi wapi?

Hoja ni kwamba Uislamu umeenezwa kwa njia ya upanga.

Huo wakati unaosema kuwa uislamu umetawala kipindi cha mtume, hiyo ilikuwa ni baada ya Jihad ambayo ndio njia iliyotumika kusambaza Uislamu.

Soma mwenyewe hapa list ya mauaji aliyofanya mtume wenu

 
Mbona nimekwambia kwamba uliyoyaeleza kuhusu Mtume ndio yanapingwa kuanzia hayo ya Mtume kuwa na sijui boyfriend mara sijui kunyonya ulimi kwa mtazamo wa kutaka kuonyesha kama ushoga au kitendo cha kuashiria ngono.
Yanapingwa na nani?

Hivi huwa unasoma vizuri nacho andika kabla ya kujibu?
 
Kwahiyo atheist wao nao wana utaratibu wao namba ya kuishi na kuabudu? Je, huwa wanakutana wapi?
Kwani lazima kuabudu!? Atheist hawaamini katika nguvu za kusadikika zisizoonekana so hawana haja wala sababu ya kuabudu chochote.
 
Dini kama zingetumia nguvu africa zingetoka kama mkoloni ...Dini zilikuja na nasaha ni mpango wa Mungu kusambaa ...Watu wameacha tamaduni zao miaka sembuse dini miaka kibao wangeachana nazo.

Sasa kaangalie dini ipi inakuwa zaidi? Yaani wanadai zimeanzia mashariki ya kati ila mpaka America zimefika....je Wazungu ni dhaifu mpaka kuingia kweny dini[emoji28][emoji28]
Hao wazungu nani kakwambia wamezama kwenye hizo dini walizowaletea!? Ukienda nchi za Ulaya utastaajabu sana, wanaoingia makanisani ni wazee waliostaafu wasio na kazi ya kufanya, vijana hawana muda na hizo dini.
 
Wanaopinga uwepo wa Mungu muumba wa vyote vya ulimwenguni ni watu waliojikatia tamaa kwa sababu mbalimbali.
 
Kawaulize madogo WA form two watakuelezea, kama ulikimbia shule.
Kwahiyo vyote ulivyofundishwa huko Form two ni kweli 100%???!

Wewe akili yako unatumia kufanya nini,kama unaamini kila ulichofundishwa?

NB: Developing critical thinking skills is crucial for making independent decisions and understanding the world around you.
 
Sijui huelewi wapi?

Hoja ni kwamba Uislamu umeenezwa kwa njia ya upanga.

Huo wakati unaosema kuwa uislamu umetawala kipindi cha mtume, hiyo ilikuwa ni baada ya Jihad ambayo ndio njia iliyotumika kusambaza Uislamu.

Soma mwenyewe hapa list ya mauaji aliyofanya mtume wenu

Tunashindwa kuelewana kwa sababu kuna vitu unavichanganya, umetoka kusema huko Makka kabla ya uislamu kulikuwa na wapagani na sasa hakuna wapagani kuna waislamu watupu na kutaka kutuambia kwamba yamefanyika mauwaji ya kuwauwa wapagani wote na kubaki waislamu ndio maana nikasema katika cha utawala wa uislamu wasio waislamu walikuwepo na hawakuwa wakiuliwa kisa tu si waislamu.
 
Yanapingwa na nani?

Hivi huwa unasoma vizuri nacho andika kabla ya kujibu?
Huwa una uzito wa kuelewa sasa labda niseme hayo uliyosema kuhusu Mtume kama kuwa Mtume kuwa boyfriend ndio ambayo si ya kweli waislamu wanayapinga humu.
 
Umeona maelezo yako ya saizi yanataja ulimi.

Kwanza hapa nataka tujue, je bado unaendelea na msimamo wako ule ule kusema hizo ni hadithi za uongo?

Au ni hadithi za ukweli ila lile tukio halikuwa na intention za sex?

Kwasababu kupitia hizi nukuu za muislamu mwenzako ambaye anajaribu kutetea zile hadithi haoneshi kupinga authentication ya hadithi bali anapinga jinsi hadithi ilivyokuwa wrong portrayed.

Kwa hiyo msimamo wako ni upi?
Hapo kuna namna tofauti ya Hadith zinavyosimiliwa na wapokezi tofauti, na hii inatokana na memory na sifa nyengine. Ukisoma juu vizuri utagundua Kuna Hadith nyengine hazijataja kabisa ni Kwa namna Gani mtume aliongea Kwa na huyo mjukuu wake.

Pili nilisema Hadith ya uongo ni ile ambayo ulisema mtume alijiwa na mtu, then akiwa uchi akamkiss na kumkumbatia. Ile Hadith status yake ni dhaifu na haitumiki katika kutoa hukumu za kiislamu. Hii Hadith nyengine ni Hassan, unaweza ikawa imeripotiwa tofauti na tukio jinsi lilivyotokea kutokana na weakness za narrators.

All in all, Kuna rituals ambazo wewe mtu unaetoka katika tamaduni za kiswahili unaweza hisi ni tata, Kwa mfano kugusanisha pua kama njia ya kusalimiana. Huwezi sema ni vitendo vya kishoga, ni utamaduni wao.
 
Back
Top Bottom