Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kwanza kila binadamu huzaliwa Atheist mpaka pale unapo aminishwa kwamba kuna invisible creature beyond the sky anaitwa Mungu.I will soon declare to be an atheist!
Ndio haisambazwi hakuna mahali nimesema inasambazwa ila nimesema namna inavyo sambaa duniani kwa sasaAtheism haisambazwi ila pindi utapofungua akili yako wewe umo
Una ungunisha vitu viwili tofauti kuunda hitimisho potofu.Atheist ni mashoga nyuma ya pazia hapa ndio wanapata mwavuli wa kujificha
Unaweza kuelezea mbinu zenye kufanya atheism kusambaa?Namna ambavyo Atheism inasambaa ulimwenguni kwa sasa kadiri miaka inavyo songa katika njia ya amani inanipa faraja na kusema hii ndio njia ambayo dini ilipaswa kuitumia.
Huwezi kuta Atheists wanatumia nguvu kubwa kama vita, kuchinja watu, kulipua watu ili wasiamini kuwa kuna Mungu lakini haya matendo yasiyo ya kistaarabu yamefanywa sana na dini mbalimbali ili Mungu wao na mafundisho yao yaaaminiwe na kukubalika vizazi na vizazi.
Mafundisho ya vitisho vingi wamejaa katika usambazaji wa dini tofauti na njia ya amani haya matendo huwezi kuta Atheists wanafanya kulazimishwa watu .
Kuwa atheist imekuwa njia rahisi sana na inayo kubalika na kukua kwa kasi katika maeneo mbalimbali kwa sababu kinacho hitaji ni kuwa huru kufungua uwezo wako wa kiakili, elimu na kuwa huru kuhoji basi ni rahisi kuwa atheist hii ni tofauti na dini.
Dini zingetumia njia ya amani sidhani kama ingekuwa rahisi wao kujipatia wafuasi hawa wengi walio nao
Umesoma uzi mwanzo mpaka mwisho ?Unaweza kuelezea mbinu zenye kufanya atheism kusambaa?
Utamjuaje atheist ikiwa huwa tunaangalia jina la mtu kudhania dini yake sasa huyo atheist utamjuaje?Una ungunisha vitu viwili tofauti kuunda hitimisho potofu.
Hakuna uhusiano wowote wa ushoga na Atheists.
Kulingana na mafundisho yenu ya kidini je Sodoma na Gomora walikuwa Atheists hadi wakawa wanakulana?
Hujawahi kusikia habari za ushoga kwenye kanisa katoliki?
Mapadri wakilawiti watoto wadogo?
Misikiti kwenye madrasa masheikh wakilawiti watoto?
Sasa niletee uthibitisho wowote ule wa Atheists anayefanya mambo kama haya au hata habari yeyote ya Atheist kulawiti watoto.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nimesoma vizuri tu, labda niulize hivi ni kitu gani hufanya atheism isambae sana kipindi hiki?Umesoma uzi mwanzo mpaka mwisho ?
Oh 1-1 sasaUtakuta mchepuko wa mamaako ni atheist na sio shoga
Ungekuwa umesoma usingekuwa una uliza maswali hayaNimesoma vizuri tu, labda niulize hivi ni kitu gani hufanya atheism isambae sana kipindi hiki?
Najua unadhani uzi wako umejibu nilichokiuliza ila sivyo, umetaja tu kuwa vitu vyenye kuhitajika kwenye atheism ni kufungua akili na elimu vitu ambavyo vimekuwepo miaka yote ndio maana iweje sasa hivi ndio atheism isambae kwa wingi tofauti na zamani?Ungekuwa umesoma usingekuwa una uliza maswali haya
The funny thing about Christianity they tooth and nail recruit people to follow themNamna ambavyo Atheism inasambaa ulimwenguni kwa sasa kadiri miaka inavyo songa katika njia ya amani inanipa faraja na kusema hii ndio njia ambayo dini ilipaswa kuitumia.
Huwezi kuta Atheists wanatumia nguvu kubwa kama vita, kuchinja watu, kulipua watu ili wasiamini kuwa kuna Mungu lakini haya matendo yasiyo ya kistaarabu yamefanywa sana na dini mbalimbali ili Mungu wao na mafundisho yao yaaaminiwe na kukubalika vizazi na vizazi.
Mafundisho ya vitisho vingi wamejaa katika usambazaji wa dini tofauti na njia ya amani haya matendo huwezi kuta Atheists wanafanya kulazimishwa watu .
Kuwa atheist imekuwa njia rahisi sana na inayo kubalika na kukua kwa kasi katika maeneo mbalimbali kwa sababu kinacho hitaji ni kuwa huru kufungua uwezo wako wa kiakili, elimu na kuwa huru kuhoji basi ni rahisi kuwa atheist hii ni tofauti na dini.
Dini zingetumia njia ya amani sidhani kama ingekuwa rahisi wao kujipatia wafuasi hawa wengi walio nao
Kasome vizuri madesa Yako Atheist Kuna Nchi nyingi tu imesambazwa kwa Force na watu kuuliwa Refer, Urusi, China etc, Stalin kaua mamilioni ya watu kupambana na Dini.Namna ambavyo Atheism inasambaa ulimwenguni kwa sasa kadiri miaka inavyo songa katika njia ya amani inanipa faraja na kusema hii ndio njia ambayo dini ilipaswa kuitumia.
Huwezi kuta Atheists wanatumia nguvu kubwa kama vita, kuchinja watu, kulipua watu ili wasiamini kuwa kuna Mungu lakini haya matendo yasiyo ya kistaarabu yamefanywa sana na dini mbalimbali ili Mungu wao na mafundisho yao yaaaminiwe na kukubalika vizazi na vizazi.
Mafundisho ya vitisho vingi wamejaa katika usambazaji wa dini tofauti na njia ya amani haya matendo huwezi kuta Atheists wanafanya kulazimishwa watu .
Kuwa atheist imekuwa njia rahisi sana na inayo kubalika na kukua kwa kasi katika maeneo mbalimbali kwa sababu kinacho hitaji ni kuwa huru kufungua uwezo wako wa kiakili, elimu na kuwa huru kuhoji basi ni rahisi kuwa atheist hii ni tofauti na dini.
Dini zingetumia njia ya amani sidhani kama ingekuwa rahisi wao kujipatia wafuasi hawa wengi walio nao
Wenzio huchukulia kuwa atheist ni kuwa mtu uliyefungua akili, ni jambo kubwa sana kwao ni level ya juu ya mtu mwenye uelewa mkubwa.Atheists are those who don't believe in God. How possible? It means no first cause at all!! There must be "A Supreme being ". Myself I don't believe in Christianity or Muslim but I'm not an Atheist.
Umetumia hasira, jitulize tafakari upya.Atheist ni mashoga nyuma ya pazia hapa ndio wanapata mwavuli wa kujificha
Mkristo ni Nani Tuanzie hapoUna ungunisha vitu viwili tofauti kuunda hitimisho potofu.
Hakuna uhusiano wowote wa ushoga na Atheists.
Kulingana na mafundisho yenu ya kidini je Sodoma na Gomora walikuwa Atheists hadi wakawa wanakulana?
Hujawahi kusikia habari za ushoga kwenye kanisa katoliki?
Mapadri wakilawiti watoto wadogo?
Misikiti kwenye madrasa masheikh wakilawiti watoto?
Sasa niletee uthibitisho wowote ule wa Atheists anayefanya mambo kama haya au hata habari yeyote ya Atheist kulawiti watoto.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji817]Kwanza kila binadamu huzaliwa Atheist mpaka pale unapo aminishwa kwamba kuna invisible creature beyond the sky anaitwa Mungu.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wwe ni mpagani kwa mujibu wa hizo dini mbili.Atheists are those who don't believe in God. How possible? It means no first cause at all!! There must be "A Supreme being ". Myself I don't believe in Christianity or Muslim but I'm not an Atheist.
Wewe leta hiyo historia ya watu kulazimishwa kuwa Atheists Urusi na China au unachanganya utekelezaji wa ukomunisti kisiasaKasome vizuri madesa Yako Atheist Kuna Nchi nyingi tu imesambazwa kwa Force na watu kuuliwa Refer, Urusi, China etc, Stalin kaua mamilioni ya watu kupambana na Dini.
Sasa kama umesoma mbona unauliza maswali ya ajabuNajua unadhani uzi wako umejibu nilichokiuliza ila sivyo, umetaja tu kuwa vitu vyenye kuhitajika kwenye atheism ni kufungua akili na elimu vitu ambavyo vimekuwepo miaka yote ndio maana iweje sasa hivi ndio atheism isambae kwa wingi tofauti na zamani?