Diploma za siku hizi za ajabu sana

Diploma za siku hizi za ajabu sana

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Unakuta mtu ana D zake mbili. Anaenda chuo, labda cha kilimo au afya. Anapiga mwaka mmoja Anapewa certificate. Hapo anaweza kwenda kuajiriwa nk. Lakini akiongeza mmoja anakuwa na Diploma. Sasa hii diploma inakuwaje?

Maana kawaida syllabus ya diploma na certificate huwa tofauti kabisa. Kuanzia msingi wake na mambo wanayosoma.

Mtu anayesoma diploma na akaishia mwaka mmoja hawezi kupewa certificate. Hizi ni course tofauti kabisa. Ni sawa na chuo ukiishia mwaka wa pili eti upewe diploma.

Au mwenye diploma akienda chuo asome mwaka mmoja apewe digrii. Hizi diploma ni za kuzalisha watu wasio na weledi. Tuziangalie.
 
Mkuu kuna diploma ya afya mwaka mmoja tutajie chuo tusake fursa maana nimeacha kwenda chuo cha sheria IJA baada ya kujua hadi diploma miaka 3 na mimi nafamilia na kibiashara changu kinanihitaji sana
 
Unakuta mtu ana D zake mbili. Anaenda chuo, labda cha kilimo au afya. Anapiga mwaka mmoja Anapewa certificate. Hapo anaweza kwenda kuajiriwa nk. Lakini akiongeza mmoja anakuwa na Diploma. Sasa hii diploma inakuwaje? Maana kawaida syllabus ya diploma na certificate huwa tofauti kabisa. Kuanzia msingi wake na mambo wanayosoma. Mtu anayesoma diploma na akaishia mwaka mmoja hawezi kupewa certificate. Hizi ni course tofauti kabisa. Ni sawa na chuo ukiishia mwaka wa pili eti upewe diploma. Au mwenye diploma akienda chuo asome mwaka mmoja apewe digrii. Hizi diploma ni za kuzalisha watu wasio na weledi. Tuziangalie
Nijuavyo mfumo upo hivi

1.certificate 3 years (level I to III)

2.dipmoma three years (level IV to VI)

3.Bacholor degree ni three years kwa aliyetoka diploma ( level VII one ,level VII two na level VIII)

sijajua kwa course nyingine ila hizo hapo ni kwa wale wa engineering
 
makampuni nyingi sana kenya, wanapenda sana watu waliyo itimu diploma, na hasa kwa sekta ya uhandisi kamavile civil engineering, electrical engineering na mechanical engineering.

maana wao wameiva kila kitu, kuanzia theory hadi practicals, pia wao hawana kiburi, mshahara wowote watauchukua tu, na wao hapana bagua section yoyote ya kazi.

kwa upande mwingine, watu wa degree ni theory tu ndo wao wanajua. wako na kiburi na wana dictate mshahara wao ni hela ngapi. na hawawezi fanya kazi ingine yoyote pasipo ile alisomea ama kuandikwa..🤔 watu wa degree wao..
 
ACHA UONGO WA AIBU...
Shida yako ni nini haswa kama hujui kitu basi uliza uelimishwe.. ukisikia kuwavua nguo NACTE ndo Huku.. hyo taasisi ndo imepewa jukumu na Serikali kusimamia elimu ngazi cheti na diploma, kwahyo unatuaminishia kuwa NACTE hawajielewi..!!!
 
Kuna chuo kimoja Cha kilimo mbeya mbalizi nimesahau jina alienda kusoma gf wangu alikua na D mbili yaani alikua kilaza sijapata kuona now ana diploma,. Kahonga k mpaka ameajiriwa halmashauri
wivu tu
 
Basic certificate (NTA level 4), 1 year

Technician certificate(NTA level 5), 1 year

Diploma (NTA level 6), 1 year

Jumla 3 years.

Huenda kuna kitu ulikuwa unahitaji kukijua sema umeandika kwa hasira, labda baada ya kugundua gf wako alikuwa anagawa nyapu tu.
 
Basic certificate (NTA level 4), 1 year

Technician certificate(NTA level 5), 1 year

Diploma (NTA level 6), 1 year

Jumla 3 years.

Huenda kuna kitu ulikuwa unahitaji kukijua sema umeandika kwa hasira, labda baada ya kugundua gf wako alikuwa anagawa nyapu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyapu
 
Nawe ukiitwa msomi mtaani kwenu ni aibu sana kwa taifa kuongeza wasomi vilaza tunaita

Unashindwa kutofautisha ngazi za NTA level. Kwenye elimu ? Kwani miaka ya kikoloni certificates mlikuwa mnasoma miaka mingapi?

(zile akina full certificate, high diploma, advance degree) ?
 
Basic certificate (NTA level 4), 1 year

Technician certificate(NTA level 5), 1 year

Diploma (NTA level 6), 1 year

Jumla 3 years.

Huenda kuna kitu ulikuwa unahitaji kukijua sema umeandika kwa hasira, labda baada ya kugundua gf wako alikuwa anagawa nyapu tu.
[emoji419]
 
Unakuta mtu ana D zake mbili. Anaenda chuo, labda cha kilimo au afya. Anapiga mwaka mmoja Anapewa certificate. Hapo anaweza kwenda kuajiriwa nk. Lakini akiongeza mmoja anakuwa na Diploma. Sasa hii diploma inakuwaje?

Maana kawaida syllabus ya diploma na certificate huwa tofauti kabisa. Kuanzia msingi wake na mambo wanayosoma.

Mtu anayesoma diploma na akaishia mwaka mmoja hawezi kupewa certificate. Hizi ni course tofauti kabisa. Ni sawa na chuo ukiishia mwaka wa pili eti upewe diploma.

Au mwenye diploma akienda chuo asome mwaka mmoja apewe digrii. Hizi diploma ni za kuzalisha watu wasio na weledi. Tuziangalie.
Na ndio type ya vilaza ambao serikali ina prioritize , kiufupi bongo haitaki brainy individuals mlishabiwa na mwigulu WA chemba
 
makampuni nyingi sana kenya, wanapenda sana watu waliyo itimu diploma, na hasa kwa sekta ya uhandisi kamavile civil engineering, electrical engineering na mechanical engineering.

maana wao wameiva kila kitu, kuanzia theory hadi practicals, pia wao hawana kiburi, mshahara wowote watauchukua tu, na wao hapana bagua section yoyote ya kazi.

kwa upande mwingine, watu wa degree ni theory tu ndo wao wanajua. wako na kiburi na wana dictate mshahara wao ni hela ngapi. na hawawezi fanya kazi ingine yoyote pasipo ile alisomea ama kuandikwa..[emoji848] watu wa degree wao..
Muongo wewe
 
Back
Top Bottom