Uchaguzi 2020 Diplomasia ya Uchumi kumbeba Magufuli Uchaguzi wa Urais Oktoba 2020

Twende na Lissu
 
Lissu ndiye kipenzi cha mamilioni ya watanzania
 
Kupata vyote kwa wakati mmoja haiwezekani
 
Magufuli kuondoka ni ndoto ya mchana ukiwa macho
 
Sina uhakika kama unajua nini maana Diplomasia ya uchumi na namna inavyotekelezwa!.
 
Ameua EAC iliyoasisiwa na Mwalimu na kufufuliwa na Mkapa na Kikwete hafai kabisa.
 
Sina uhakika kama unajua nini maana Diplomasia ya uchumi na namna inavyotekelezwa!.
nimekatisha maelezo yangu, sababu najua Jamii forums ya sasa imejaa watu wenye tabia ya tweeter. kama wewe hapo ndo umeishamaliza.
 
Magufuli kuondoka ni ndoto ya mchana ukiwa macho
kwa mabavu, lakini kwamba wananchi wanataka nini. kiongozi wa namna gani, kwa maana ya kwamba anayebeba vision ambayo wananchi tuko tayari kushirikiana nae, sio magufuri.
 
Ameua EAC iliyoasisiwa na Mwalimu na kufufuliwa na Mkapa na Kikwete hafai kabisa.
Hana uwezo wa kuhimili ideologies za hata marafiki zake anawezaje kuhimili hoja za washirika au wapinzani wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…