Uchaguzi 2020 Diplomasia ya Uchumi kumbeba Magufuli Uchaguzi wa Urais Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Diplomasia ya Uchumi kumbeba Magufuli Uchaguzi wa Urais Oktoba 2020

Katika kuishi kwangu mtaani nimejifunza mambo mengi sana, dereva wa Lori akiwa barabarani hamjali dereva wa daladala, na dereva wa daladala hamjali bodaboda, na bodaboda hamjali wa baiskeli. Kuna kipindi nimepanda gari la Sumbawanga likaovateki basi lingine bila kumjali muendesha pikipiki, naye akaishia korongoni na dereva wa basi akawa anacheka.
Tatizo ni kwamba ukatiri huwa tunauona kwa wengine, inawezekana kuna majirani zako unawatendea mambo mabaya lakini kwa kuwa anayetendewa si wewe ubaya ule kwako hauonekani. Magufuli ametoka miongoni mwetu, kama utayaona mabaya kwake basi anaweza akawa kioo kwako ili wewe ubadirike. Basi jaribu kujifunza hata mema yanayotendwa na wengine. Jumapili njema.
Hivi wewe Mwandambo ni Mwandambo wa eneo la watokaoMwandambo wote ambako hawajawahi kuwa na fikra za kinafiki kabsaa. Ambao ni wasomi waliokombolewa kifikra au ni wa kutoka nchi ya kusadikika?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
John Pombe Joseph Magufuli the zealout son of Africa and Tanzania.

John Pombe Joseph Magufuli the charismatic,patriotic and Prosper President the Nation Happens to have.

We Wish Him Exquisite Healthy, generosity and tranquility aaamen aaaaaamen.

Viva CCM
Siempre Siempre CCM
Hasta la Victoria CCM
Aluuta Tanzania.

Kijana Muuza Al Kasus,
Tandale Kwa Mtogole.
 
Simpigii kura Magufuli, ni mbinafsi, mbabe, mbishi na mtu asiyeheshimu haki za wengine.
Your vote change nothing you know that huh!, Watanzania wengine watampa and he will lead you once again and again, got it 😆.
 
Mtu alijificha kwa wiki kadhaa na kuwaacha wananchi wake wapambane na hali zao mpaka alipojiridhisha kuwa hali si ya hatari na bado hamuoni? Watanzania mmelogwa si utani.
 
John Pombe Joseph Magufuli the zealout son of Africa and Tanzania.

John Pombe Joseph Magufuli the charismatic,patriotic and Prosper President the Nation Happens to have.

We Wish Him Exquisite Healthy, generosity and tranquility aaamen aaaaaamen.

Viva CCM
Siempre Siempre CCM
Hasta la Victoria CCM
Aluuta Tanzania.

Kijana Muuza Al Kasus,
Tandale Kwa Mtogole.
It looks like you killed everything broh!, Viva Magufuli, Viva ccm😃.
 
Kafanya nini na kimeifaidisha nini Tanzania kwenye hiyo Diplomasia ya uchumi???

Yaani saivi marafiki zetu wamekuwa wafu Zimbabwe na Burundi ndo unasema amefanikiwa kwenye diplomasia ya uchumi???? Burundi na Zimbabwe wanaongeza nini kwenye Uchumi wa Tanzania kilaza wewe????

Ungeniambia amehamasisha uwekezaji wa Bandari ya Bagamoyo ambapo Tanzania ndo tungekuwa Gateway kiuchumi kwa Central and East Africa hapo ningekuelewa.
Mchina kashindwana nae kaamua kwenda Lamu na anatengeneza Bandari na economic Zone kule nyie mnaendelea tu na propaganda zenu hapa

Kiufupi Magufuli kaua diplomasia ya uchumi na hakuna lolote alilofanya zaidi ya kujiweka karibu na wafu Zimbabwe na Burundi
Msomi
 
Mtu alijificha kwa wiki kadhaa na kuwaacha wananchi wake wapambane na hali zao mpaka alipojiridhisha kuwa hali si ya hatari na bado hamuoni? Watanzania mmelogwa si utani.
We ulitaka aingie mtaani au aje akae kwako!?, Where is your point here!?

Hell no!, this is absolutely nonsense 😡. Wapinzani mnateseka sana😁.
 
Ndugu zangu,

Ukiacha jinsi alivyosimamia rasilimali kwa maslahi ya Watanzania namna alivyolikabili janga la COVID-19 hususani dhidi ya sera dhidi ya WHO na baadhi ya mataifa mengine.

Tukija visa na mikasa ya majirani hususani Kenya, JPM ameonesha msimamo usioyumba, hakika ramani ya Tanzania imeng'aa. Hata wafuasi wa CHADEMA waliopo kwenye Jukwaa la Kenya wamebaki midomo wazi wasipate la kubwabwaja.

Itoshe tu kusema Tanzania inahitaji Amiri jeshi Mkuu mwenye hulka ya JPM ili kutuvusha kwenye diplomasia ya uchumi.

Tunamuhitaji Magufuli tena!
Unafaidika nini na hizo rasilimanì wewe kama wewe
 
Ndugu zangu,

Ukiacha jinsi alivyosimamia rasilimali kwa maslahi ya Watanzania namna alivyolikabili janga la COVID-19 hususani dhidi ya sera dhidi ya WHO na baadhi ya mataifa mengine.

Tukija visa na mikasa ya majirani hususani Kenya, JPM ameonesha msimamo usioyumba, hakika ramani ya Tanzania imeng'aa. Hata wafuasi wa CHADEMA waliopo kwenye Jukwaa la Kenya wamebaki midomo wazi wasipate la kubwabwaja.

Itoshe tu kusema Tanzania inahitaji Amiri jeshi Mkuu mwenye hulka ya JPM ili kutuvusha kwenye diplomasia ya uchumi.

Tunamuhitaji Magufuli tena!
Seconded
P
 
humu jf mtanange mkali ni kati ya membe na lissu. Huko nje wapo wababe wa vita.
Uhuru haupewi bali unaupigania.
 
Wewe na nani mnamuhitaji huyo Magufuli wako? Usije sema Watanzania maana kuna Watanzania hatumuhitaji.

Upo sawa na ndio maana tunafanya uchaguzi, nyie wachache mtamkataa sisi wengi tuamchagua,
Kisha nyie wachache mtaamua kwenda na sissi au kuumia tena moyoni miaka tano.
 
Back
Top Bottom