TANZIA Director Nisher afariki dunia

Uzi uishie hapa.
 
GeoDavie sio kwamba anajiita tu nabii bali anajiita nabii mkuu. In short yeye ni boss wa manabii wote... Sasa hapo changa karata kichwani kwako mkuu.
 
Dah!...Rip...
 
Kumbe hata manabii wanaofufua watu kwa miujiza ya maombi nao wanafiwa?[emoji848][emoji24]
Kuna yule aliyemfufua mamaake hatuwezi kumuomba akamfufua na huyu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani miaka ile yupo Yesu ilitokea misiba miwili tu peke yake kipindi chote? Wa lazaro ja yule mtoto? Ilikuwepo mingi. Ila hakuwa akipita kufufua maiti.
 
Mtoto wa kike? Mumewe? Huyo binti?

Mkuu eleza vizuri mbona unachanganya Madesa... Maelezo yako hayaeleweki.
 
Duh Rest In Peace. Najisikia kajiua kwa kujichoma na kisu
Doohhh!.. sina maana mbaya ila vitu kama hiv nikishakutanaga navyo tu ndio vinanifanyaga narud kwa sir God nduki. Sasa ni nini hiki kama sio shetani tu kamzingua mshkaji kwa kui trick akil yake ajiue??? Dah!. Sema leo Leejay49 umejificha sana au ndio yale mazonge yamrud tena mpaka ku post huwez? 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…