Cheif prophet SUGUYE anashika nafasi ya ngapi baada ya geodavieGeoDavie sio kwamba anajiita tu nabii bali anajiita nabii mkuu. In short yeye ni boss wa manabii wote... Sasa hapo changa karata kichwani kwako mkuu.
USilolijua ni sawa na usiku wa gizaHuwa najiuliza sana.... Inakuwaje mtu yupo liquid kiasi hiki.... Maisha mazuri, shida ndogo ndogo kama zetu hana... Then unapata depression mpaka kujidhuru kiasi hiki.... Huwa sipati majibu kwa haraka.... Naombeni kusaidiwa hapa...
Huwa najiuliza sana.... Inakuwaje mtu yupo liquid kiasi hiki.... Maisha mazuri, shida ndogo ndogo kama zetu hana... Then unapata depression mpaka kujidhuru kiasi hiki.... Huwa sipati majibu kwa haraka.... Naombeni kusaidiwa hapa...
Kuhusu kuvaa harudii sio kweli umetupanga hapo?Sio mtu wa show off na kwao zilkuwepo pia ni mtu ambae kibongo bongo ni miongoni mwa watu smart na wanajua kuvaa nguo harudii
Jamaa alikuwa mnyamwezi sana.
HumjuiAnaonyesha mtulivu unlike his father
HahaKwani mtu akijiua hafi?
Daah so sadKifo cha mwanae wanasema wajuba babu mtu kahusika mambo yetu yale.
Nisher amejiua.
Kumbe alikuwa anajua sanaBen pol jikubali
G Nako ft Ben pol -mama yeyoo
Bei ya mkaa weusi
Sio moto mtoto alafu andika herufi ndogo kubwa unafokaRIP MOTO WA MCHUNGAJI
We mama shika jembe ukalime.Shida ni nn wakati kwao kuna mahela?na sie masikini tufanyeje sasa
Imani ameilindaMwendo ameumaliza!
Muda mwingine unaweza ukazaliwa kwenye familia yenye uwezo lakini hao hao wazazi wako ndo wakawa chanzo cha wewe kupata depression hata hizo pesa hutaona umuhimu wake wala hutakumbuka kama umezaliwa kwenye wealth familyHuwa najiuliza sana.... Inakuwaje mtu yupo liquid kiasi hiki.... Maisha mazuri, shida ndogo ndogo kama zetu hana... Then unapata depression mpaka kujidhuru kiasi hiki.... Huwa sipati majibu kwa haraka.... Naombeni kusaidiwa hapa...
Kwa tajiri hata kubadili gari akiichokq inamleta strees.Huwa najiuliza sana.... Inakuwaje mtu yupo liquid kiasi hiki.... Maisha mazuri, shida ndogo ndogo kama zetu hana... Then unapata depression mpaka kujidhuru kiasi hiki.... Huwa sipati majibu kwa haraka.... Naombeni kusaidiwa hapa...