TANZIA Director Nisher afariki dunia

Kumbe hata manabii wanaofufua watu kwa miujiza ya maombi nao wanafiwa?[emoji848][emoji24]
Kuna yule aliyemfufua mamaake hatuwezi kumuomba akamfufua na huyu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Muddy na watoto wake walipaa mbinguni?Nabii Elisha katika kitabu cha wafalme kwenye biblia alimfufua mtoto wa mwanamke mjane lakini mwisho wa siku na yeye alifariki hapo pia unasemaje?
 
Rip
 
Tutegemee huko ni kula, kunywa na kusaza hakuna haja ya kubeba kamera na traipodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…