Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Jamaa kafa au kajiua ,hizi habari zinakanganya
Kwani mtu akijiua hafi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kafa au kajiua ,hizi habari zinakanganya
HahahahahaKwani mtu akijiua hafi?
Muddy na watoto wake walipaa mbinguni?Nabii Elisha katika kitabu cha wafalme kwenye biblia alimfufua mtoto wa mwanamke mjane lakini mwisho wa siku na yeye alifariki hapo pia unasemaje?Kumbe hata manabii wanaofufua watu kwa miujiza ya maombi nao wanafiwa?[emoji848][emoji24]
Kuna yule aliyemfufua mamaake hatuwezi kumuomba akamfufua na huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app
RipView attachment 2840201
Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023.
Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
SinaMuddy na watoto wake walipaa mbinguni?Nabii Elisha katika kitabu cha wafalme kwenye biblia alimfufua mtoto wa mwanamke mjane lakini mwisho wa siku na yeye alifariki hapo pia unasemaje?
Kufa na kujiua kuna tofauti?Jamaa kafa au kajiua ,hizi habari zinakanganya
Ni Afya ya akili tu alikua anadipreshenisema inaonekana hakuna mwenye habari kamili alikuwa anaumwa au ajali au kafa ghafla.
Ni Afya ya akili tu alikua anadipresheni
Kuna kipindi alijikata wembe Shingoni alitaka ajiue.Hali ikawa mbaya akalazwa Intensive Care Unit(ICU) naona imeshindikana..
Tutegemee huko ni kula, kunywa na kusaza hakuna haja ya kubeba kamera na traipodi.View attachment 2840201
Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023.
Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
sorry, wewe ndo huyo kwenye avatar niandae mahari?R.I.P Nisher,tokea ampoteze mwanae hakuwahi kuwa sawa [emoji25][emoji17]