Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa wewe sio mfuatilia wa bonge flava ama umri wako umeenda sanaR.I.P
Sijawahi hata kumsikia wala kumsoma kwenye maandishi.
Mapesa yote anayogawa mtoto kafia nyumbani,iko shidaView attachment 2840201
Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023.
Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
😂🤣🤣Kumbe hata manabii wanaofufua watu kwa miujiza ya maombi nao wanafiwa?[emoji848][emoji24]
Kuna yule aliyemfufua mamaake hatuwezi kumuomba akamfufua na huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fununu kua kajimalizaR.I.P Nisher,tokea ampoteze mwanae hakuwahi kuwa sawa [emoji25][emoji17]
Mambo yalikua mengi alikua kafungiwa nyumbani tuNi Afya ya akili tu alikua anadipresheni
Kuna kipindi alijikata wembe Shingoni alitaka ajiue.Hali ikawa mbaya akalazwa Intensive Care Unit(ICU) naona imeshindikana..
We uko Namanyele huko ya mjin utayajulia wapi babu.R.I.P
Sijawahi hata kumsikia wala kumsoma kwenye maandishi.
Shida ni nn wakati kwao kuna mahela?na sie masikini tufanyeje sasaNi Afya ya akili tu alikua anadipresheni
Kuna kipindi alijikata wembe Shingoni alitaka ajiue.Hali ikawa mbaya akalazwa Intensive Care Unit(ICU) naona imeshindikana..
Kimemkuta kifo mkuu.Daaah jamani
Nin kimemkuta?
Punguza nyege yupo msibanisorry, wewe ndo huyo kwenye avatar niandae mahari?
Chanzo cha kifo anacho marehemu sio baba yake, elewa mkuu wewe ujue chanzo ili kikusaidie niniuntil further info kuhusu chanzo cha kifo chake
Unataka kusemaje alitolewa sadaka madhabauni?kujiua?.au kifo cha mtoto wake hakikua cha kawaida?
Pambaneni na umasikini wenukwao kuna mahela?na sie masikini tufanyeje sasa
AminaMaisha ya mwanadamu hapa duniani ni mafupi sana, nayo yamejaa taabu na shida nyingi! Apumzike
Nakumbuka nilionjaga dawa ya mbu ile ya kupaka ile Dawa sio tamu kabisa sikufa Ila cha moto nilikiona, rip marehemu nisherJina lake litahifadhiwa kwenye makabati yote ya africa kama kumbukumbu