TANZIA Director Nisher afariki dunia

TANZIA Director Nisher afariki dunia

Nimejiuliza watu wanasema alipata depression toka mtt wake afe ndo najiuliza au kifo cha huyo mtt hakikua cha kawaida kikamuachia mawazo hivyo?
Basi ingekua hivyo DiBanj na Davido tungekua hatunao mda huu, watoto si unakamata Mwanamke tu unamjaza mimba issue sio mtoto sio depression kuna maelezo zaidi ya hayo anaejua sana sana ni yeye na nakafa nayo, apumzike panapositahiri tutaonana mawinguni
 
Nawe Jaribu kuficha Uchi wa Akili yako. Kafa Ibrahimu, Yakobo,Daud, Musa, Kafa Eliya Mtshbi, Kafa Elisha aliyefufua watu na mifupa ya mwili wake ilipoangukiwa na Marehemu akafufuka. Kafa muddy(56) mme wa Bi. Aisha(9). Inawezekana hata kwenye Familia yenu wapo waliokufa. Utakufa wewe na kila kiumbe kitakufa sasa kwanini asife huyo mtoto.

Uzi wako umeuleta kwa nia ya kukashfu tu kama ilivyo kawaida yenu kizazi kisichojielewa. Ebu tumia hiko kichwa chako vizuri bwana mdogo.
Kwa povu hili ujumbe utakua umefika
 
Back
Top Bottom