Umeijaribu hiyo link?Link kuifungua shughul..kama unatumia jamiiforum kupitia web angalia walioandika attach files kisha upost.
Kwa app fata utaratibu wake pia ili ionekane unapokwama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeijaribu hiyo link?Link kuifungua shughul..kama unatumia jamiiforum kupitia web angalia walioandika attach files kisha upost.
Kwa app fata utaratibu wake pia ili ionekane unapokwama
Siioni hiyo linkUmeijaribu hiyo link?
Iko post# 398Siioni hiyo link
Ok, pale jaza jina lolote, hata mojaIko post# 398
Hapo unajaza jina lako hata moja, then step inayofuata utajaza email, index no ......Iko post# 398
Asante sanaHapo unajaza jina lako hata moja, then step inayofuata utajaza email, index no ......View attachment 1567326
Karibu sanaAsante sana
Hapo unajaza jina lako hata moja, then step inayofuata utajaza email, index no ......View attachment 1567326
Hapo unajaza jina lako hata moja, then step inayofuata utajaza email, index no ......View attachment 1567326
Bado mtihani upo..naambiwa account already existsKaribu sana
Oooh, hata mimi ilinisumbua hivi...nilitumia alternative....nakutumia inboxBado mtihani upo..naambiwa account already exists
Check inboxBado mtihani upo..naambiwa account already exists
Ubarikiwe mkuu. Nimeona mwangaCheck inbox
Kiapo si lazima ila kama uliapa napo sio mbayaKwahy kiapo ni lazima ili kuweka sawia ya majina matatu?
Mbn wako waliotuma wakiwa na majina mawil kwenye vyeti na imekubali ilihali hawana kiapo pamoja na kwamba kwenye usajil kaweka matatu na pia nida yako matatu?
Wakuu naomba kufahamu kuhusu lugha ya uandishi wa abarua inatumika ipi, Kingereza ama Kiswahili?Ok, pale jaza jina lolote, hata moja
mkuu wengi tunasumbuliwa na hii shida naomba tuwekee hapa maujanjaCheck inbox
Hii alternative ni confidential kidogo, ndio maana nasema inboxmkuu wengi tunasumbuliwa na hii shida naomba tuwekee hapa maujanja
Kiswahili tu ndugu yanguWakuu naomba kufahamu kuhusu lugha ya uandishi wa abarua inatumika ipi, Kingereza ama Kiswahili?
ok sawaHii alternative ni confidential kidogo, ndio maana nasema inbox
Watu wanazidi kuichukuaMikoa inazidi kupotea tuu..tatizo nn
Tumia ya nidaWakuu naomba msaada
Mimi kwenye vyeti vyangu natumia majina mawaili lakini kwenye mfumo wa maombi wanahitaji majina matatu, formu ya kiapo mahakamani ya kuongeza jina la tatu ninayo ila sioni pa ku upload, naomba msaada wakuu.