CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
- Thread starter
- #101
Ndio umeandika nini hapa?
HUJUI KITU,
KAA KIMYA.
CHAMA NI WINGA?[emoji23][emoji23][emoji23]
dully jr
Usiwe unaropoka sana Mimi najua mpira ndio maana nilifanya kazi simba ya mafanikio nikiwa Kijana mdogo kabisa.
Michezo yote ya simba Tangu amekuja Robertinho na Benchika.
Chama anacheza No 11
Saido anacheza No 10.
Chama aliomba awe anachezeshwa winga mika mingi tangu enzi za patric Ausem ( Uchebe) akiwatumia washambuliaji wawili kagere na Boko.
Winga Okwi winga Chama.
JIFUNZE MPIRA NA SIO USHABIKI MAANDAZI.