Distance(S) ÷ Time (t) ; The most confusing Love equation

Uko kama mimi
Polepole kakq, saivi tukisafiri tunaenda na wapenzi wetu na kama wakibaki tunaondoka na upendo wetu wapenzi wengine wa kuwapa tutawakuta uko uko.
 
Hiyo formula yako umetoa wapi?Ni multiply na sio divide we mzee physi umesoma kwa Mwalimu gani?
Speed = Distance/Time – This tells us how slow or fast an object moves. It describes the distance travelled divided by the time taken to cover the distance. Time = Distance / Speed, as the speed increases the time taken will decrease and vice versa.

Kwa faida ya wengine kama wewe turudishane shule.
 
But if the distance is held constant
 
Mnapenda visasi nyie, lakini si Maandiko yanaruhusu mwanaume kua na masuria kwanini using e vumilia zaidi?

Alininyamazia 5Months no call no text for no reason bora hata tungegombana ,ingekuwa ww ungevumilia
 
Relationships are about sex, nothing more nothing less. Anybody who says otherwise is delusional
 
Alininyamazia 5Months no call no text for no reason bora hata tungegombana ,ingekuwa ww ungevumilia
Hapo unakula tu kona kaka ukiendelea kuforce utagain momentum tukupotezw bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…