Distance(S) ÷ Time (t) ; The most confusing Love equation

Distance(S) ÷ Time (t) ; The most confusing Love equation

Tatizo mnaviziana sana si wenginee waume zetu wanakaaga maporini tu chance ya kuonana na mara chache kwa mwaka hata mara 3….

Long distance relationship ni mawasiliano tu amini kwambaa….

Mfano sisi kwa siku tunaongea simu mara 5 na charting za hapa na pale
Babamzungu yuko vizuri sana ila ni swala la muda tu au ndio mnaenda kizungu mamamzungu ?
 
Hao ndio wazee wa saikolojia ya mahusiano na mapenzi, wanawazuoni, na ukilazimisha saaaana Kwa mda mrefu inakua na FORCE X TIME (FT)= IMPULSE unagain momentum ya kuwa single. Najua wanawazuoni mmenieoewa
😅😅💔 Mkuu hii imekaa unyama sana, Ukiforce kwa muda mrefu Mambo yanaharibika zaidi. Nakutunuku Shahada ya Fizikia ya Mapenzi.
 
Ahsante mkuu japo mimi ni mdada ila pia wadada wa mkoani wakamuiba mpenzi
Manzi yangu tumetengana 2months tu saiv hakuna rangi nimeacha kuona. Mpaka nishakubali yaishe... [emoji16][emoji16]

Saiv nikihama mkoa eiza nihame na manzi yangu, nimuache na mimba au Tuachane.

Maswala ya kutiana stress sitaki

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Long distance relationship ni scam, yaani uisafirie mbususu, ukiwa na ham huna kitu unaweza kufanya...aah wapi.

Binafsi hata Mbezi-Mbagala tu sitaki, kitu kikae Kimara-Mwenge, ukihitaji its just a call away na ndani ya nusu saa mnaonana. Huoni bwana DeepPond anavyofaidi.😅
 
Manzi yangu tumetengana 2months tu saiv hakuna rangi nimeacha kuona. Mpaka nishakubali yaishe... [emoji16][emoji16]

Saiv nikihama mkoa eiza nihame na manzi yangu, nimuache na mimba au Tuachane.

Maswala ya kutiana stress sitaki

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Umeneno kweli Bro,
Mimi wangu kavumilia mwaka tu alivoanza kuliwa nje akaanza dharau mwisho akanishusha vyeo akanichana live kapata mtu sahih kwa maisha yake so niachane nae. Saivi sitaki kupenda toto la mtu mimi kaz yangu ni kuheshim tu na kuthamin upendo naopewa na yeyote Ke naeona ananifaa kwa matumizi ya hapa na pale.
 
Long distance relationship ni scam, yaani uisafirie mbususu, ukiwa na ham huna kitu unaweza kufanya...aah wapi.

Binafsi hata Mbezi-Mbagala tu sitaki, kitu kikae Kimara-Mwenge, ukihitaji its just a call away na ndani ya nusu saa mnaonana. Huoni bwana DeepPond anavyofaidi.😅
Si ndiyooo, Amin kila mtu anamkandaji wake wa karibu mwendo wa mguu kama Ambulance. Ila nimejifunza kumheshim na kumthamin mwanamke anaekua available mara tu unapomhitaji ni wa maana sana kushinda hata hawa future wives maana maisha ni sasa.
 
Wakati Physics inasema Umbali gawia Muda unapata Mwendokasi, umewahi jiuliza huo mwendokasi ni wa kwenda wapi?
Kwenye Mapenzi hiyo ni speed ya kuachwa.
Ila Wahenga wakajifariji kwamba Safari siyo kifo, Bella akasema atarudi.

Wakuu hii equation ya Distance/time haijawahi mwacha mtu salama haijalishi mnapendana kiasi gani.

Kwamba wahuni wakimtokea Mpenzi/Mkeo akawajibu mimi nina mtu wangu huwa wanamuuliza yupo wapi? Utasikia anafanyia kazi/anasoma mkoani (distance, S)
Hapa ndo vijana tunasema ni swala la muda(t) tu Kumaanisha hakuna Penzi tena hapo.

Iweni na Sabatho Njema.
Na mkiwa mnaishi pamoja (distance, s = 0), kwa muda mrefu sana (time, t ➡️ ♾️), vijana hawahawa wanasema angalia hawa wapenzi wameishi pamoja kwa muda mrefu mpaka wanafanana (kwa sura)
 
Manzi yangu tumetengana 2months tu saiv hakuna rangi nimeacha kuona. Mpaka nishakubali yaishe... [emoji16][emoji16]

Saiv nikihama mkoa eiza nihame na manzi yangu, nimuache na mimba au Tuachane.

Maswala ya kutiana stress sitaki

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Pole mkuu vipi shida ipo kwake au na wewe ushapata mwingine huko mkoa mpya? Mapenzi ya mbali ni shida kumanage, japo inawezekana mkiwa na nia thabiti
 
Alooh kumbe na wanawake mnapigwa na vitu vizito, ila me nachojua mwanaume atakucheat tu ila hawezi kukuacha mapenzi bado yapo akirudi huyo ni wako. Vipi utampokea?
Ahaa hapana maana alihamia huko kikazi, so kurudi huku ilikua kama haiwezekani, ila nilichanganyikiwa unampigia simu anapokea kama kwa kuibia hivi sijui ndiyo mida akiwa na mpenzi mpya🤔
 
Back
Top Bottom