myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Muda umeenda....ngoja wahenga tumshauri mwenzetuDiva amezaliwa mwaka 84/85.. Sasa hivi atakuwa na 36 au 37
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda umeenda....ngoja wahenga tumshauri mwenzetuDiva amezaliwa mwaka 84/85.. Sasa hivi atakuwa na 36 au 37
Hahaha..Inabidi tufanye upembuzi yakinifu wa kalenda wanazotumia..Au umemzidi, yani mimi wema kaanza kuwa maarufu mimi bado nasoma sijui form 2 sijui 3, ila nashangaa eti mimi mkubwa kuliko yeye wakati sikuchelewa kuanza shule mpaka nachanganyikiwa au yeye mwaka wake ni tofauti na wa kwangu
Guess ni kiasi gani alitaka achangiwe ili afanye IVF..14m za kitanzaniaWamchangie nini wakati ana pesa ?
Mbaya zaidi Chibu akimpotezeaga mtu anampotezea mazima, yani ni kama hamuoni. Utaongea wee yeye hana habari na wewe.
Sasa hivi hana effect kachelewa sana
HeheeeeGuess ni kiasi gani alitaka achangiwe ili afanye IVF..14m za kitanzania
Hawa ndo celebs wetu wa kibongo.
Childish nonsense.Kila nikiangalia post zake najisikia kumchamba ila maskin nikaja kujua shostito nati kichwan zimekatika, she needs a mental check up kwa kweli, Diva kichwa chake sio kizima. Sijui anajikutaga nan mwenyew maskin, Yan anahangaika, full kujisifia I have this and that, mara niko na pesa, halafu kesho yake tena anaanza kupost matangazo ya elfu 30. Mara ana nyumba masaki na mikochen, Yan huyu mbwa anahangaika na maisha had anatia huruma View attachment 1764453
Kama kina kiba walikuwa wanamgonga bure sasa huyo wa kumwoa kwa mil 500?mtu wa mi 500 labda mtoto wa dangote au bakhresaAnapo elekea anaweza akachukuliwa hata kwa mkopo,maanake wakutoa hiyo mil 500 bado hajampata.
Umemsahau Zamaradi na magazetiMie mtu anayeandika maandishi meeeeengi hua namuona hayupo sawa kichwani, kuna yeye na yule kimbau mbau mwenzangu wa USA,
Wanahitaji msaada.
Bora mange anaandikaga point SometimesMie mtu anayeandika maandishi meeeeengi hua namuona hayupo sawa kichwani, kuna yeye na yule kimbau mbau mwenzangu wa USA,
Wanahitaji msaada.
Anatumia kalenda ya uyole mkuu na si hi ya GregoryAu umemzidi, yani mimi wema kaanza kuwa maarufu mimi bado nasoma sijui form 2 sijui 3, ila nashangaa eti mimi mkubwa kuliko yeye wakati sikuchelewa kuanza shule mpaka nachanganyikiwa au yeye mwaka wake ni tofauti na wa kwangu
Umemsahahu kimbaumbau mwengine (Zamaradi). Sijui vimbau mbau mnapata wapi muda wa kuandika vileMie mtu anayeandika maandishi meeeeengi hua namuona hayupo sawa kichwani, kuna yeye na yule kimbau mbau mwenzangu wa USA,
Wanahitaji msaada.
Usije shangaa mwakani akasema ana 28.Nimeishia hapo aliposema ana 32.
DIVA ana 32 yaani kanizidi Mwaka mmoja?
Kha. Huko Dar lazima nije, mwaka uko una siku 365 kweli au siku 60,000 kama Neptune?
Hahaha..wanawake na watu maarufu wa bongo ni wasanii sana..yaani unakuta mtu wakati unasoma sekondari yeye tayari alikuwa anakimbiza mjini na sio mtoto,lakini ukikua unaskia mnapishana mwaka mmoja au miwili..yaani usanii mtupu.
Au umemzidi, yani mimi wema kaanza kuwa maarufu mimi bado nasoma sijui form 2 sijui 3, ila nashangaa eti mimi mkubwa kuliko yeye wakati sikuchelewa kuanza shule mpaka nachanganyikiwa au yeye mwaka wake ni tofauti na wa kwangu