Hahaha!
Kuna raia mna mabezo sana
Wala usimcheke, diva ukikiona live utachoka yaani kimekaakaa tu kifupi yaani kipo kiajabuajabu halafu kwanye ile show yake kilikua kunatumia ile platform kujiuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha!
Kuna raia mna mabezo sana
Manake tupande dau tukale utamu?Wala usimcheke, diva ukikiona live utachoka yaani kimekaakaa tu kifupi yaani kipo kiajabuajabu halafu kwanye ile show yake kilikua kunatumia ile platform kujiuza
Weeee!, uliza uambiwe. Au labda utakua umemjua karibuni. Huyo Dem katoka na majamaa kibao, to mention a few ni yule MO Rocker alikua crew member wa The Rockers ya kina Quick Rocker,sema hanaga skendo nlisikia ya gk na alikiba napo kwa mbali
Pesa ya kutungishiwa mimba.Wamchangie mimba au [emoji44]
Mpe connection kwangu nitamjaza bure na maji ya kunywa nitampaPesa ya kutungishiwa mimba.
kumbe hemed ashapita[emoji3][emoji3][emoji3]Weeee!, uliza uambiwe. Au labda utakua umemjua karibuni. Huyo Dem katoka na majamaa kibao, to mention a few ni yule MO Rocker alikua crew member wa The Rockers ya kina Quick Rocker,
Hemed PhD, Crazy Gk, N.K.
Uzuri wake akiwa kwenye mapenzi hanaga siri.
Matajiri na familia zao hawawazii mahali kubwa. Kwao mahali ni sehemu ya utaratibu na heshima tu.Kama kina kiba walikuwa wanamgonga bure sasa huyo wa kumwoa kwa mil 500?mtu wa mi 500 labda mtoto wa dangote au bakhresa
[emoji23][emoji23][emoji23] fala kweliNimeishia hapo aliposema ana 32.
DIVA ana 32 yaani kanizidi Mwaka mmoja?
Kha. Huko Dar lazima nije, mwaka uko una siku 365 kweli au siku 60,000 kama Neptune?
Hahaha..wanawake na watu maarufu wa bongo ni wasanii sana..yaani unakuta mtu wakati unasoma sekondari yeye tayari alikuwa anakimbiza mjini na sio mtoto,lakini ukikua unaskia mnapishana mwaka mmoja au miwili..yaani usanii mtupu.
acha wivu mzee akikupa utakataa???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mdada mwenyewe sura yake imefubaa kama ukuta wa choo cha jela
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] anajiita boss hapo ndo anapokukera[emoji3]Nani atamtaka diva sasa binamu ? Wote wanamjua hamnazo, yule hachelewi kujirecord mkisex Yan she loves attention too much ila ndo haumpendi
35umri wake sahihi ni upi?
Mpk Zittokumbe hemed ashapita[emoji3][emoji3][emoji3]
nimeangalia interview kumbe ana matatizo ya uzazi......nilijuaga ametoa mimba ndo maana kapata matatizo.Wema najua alitoa mimba...sijajua jide
diamond vipi?Mpk Zitto
Zitto nae inasemekana kapitaWeeee!, uliza uambiwe. Au labda utakua umemjua karibuni. Huyo Dem katoka na majamaa kibao, to mention a few ni yule MO Rocker alikua crew member wa The Rockers ya kina Quick Rocker,
Hemed PhD, Crazy Gk, N.K.
Uzuri wake akiwa kwenye mapenzi hanaga siri.
mbona kama una chuki nae hivi[emoji3][emoji3][emoji3]Alilazimisha Watanzania wamchangie wakamgomea, jibu ni BADO SANA.