Diva anahitaji msaada...

Diva anahitaji msaada...

Kila nikiangalia post zake najisikia kumchamba ila maskin nikaja kujua shostito nati kichwan zimekatika, she needs a mental check up kwa kweli, Diva kichwa chake sio kizima. Sijui anajikutaga nan mwenyew maskin, Yan anahangaika, full kujisifia I have this and that, mara niko na pesa, halafu kesho yake tena anaanza kupost matangazo ya elfu 30. Mara ana nyumba masaki na mikochen, Yan huyu mbwa anahangaika na maisha had anatia huruma View attachment 1764453
handwriting yake tu inaonesha ni jinsi gani alivyo "NGAMIA"
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunakua na stress maana tunakula sana lakini nyama haziongezeki.

Mmh bora Zama anaandikaga some inspiring stuffs, huyu shoga etu utasikia Nina enterview bbc , I have this and that, Yan anaandika vitu has huwa naonaga aibu kusoma, Sijui hanaga washauri Yan ana zile direct shobo kabisa na hajifichi, shoga angepata walau maisha ya lulu tungekoma Jaman
 
"I have good lawyers"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan diva ananipaga raha sana sijawah kujuta kumfollow kwa kweli

Kuna kipindi alikua anafanya sijui ndo reality show, hiko ki apartment chake sasa, jiko limefubaa, Washing machine zile za laki nne na nusu yani had nikaona aibu , halafu na yeye ndo anakazana kutuonyesha madai anaturusha roho[emoji23]
 
Huyu ni mkubwa ila anajifanya mtoto we fikiria pingu na deso ft blue Joanita Diva yymo mule kama video qween na alikua mkubwa sasa anasemaje ana miaka 32?
Basi atakua ana-kilometa nyingi sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan diva ananipaga raha sana sijawah kujuta kumfollow kwa kweli

Kuna kipindi alikua anafanya sijui ndo reality show, hiko ki apartment chake sasa, jiko limefubaa, Washing machine zile za laki nne na nusu yani had nikaona aibu , halafu na yeye ndo anakazana kutuonyesha madai anaturusha roho[emoji23]
 
Kuna mwalimu alitufundisha kitu on heat kwa wanyama jinsia ke. Sasa sijui huyu ni mnyama au ndege
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan diva ananipaga raha sana sijawah kujuta kumfollow kwa kweli

Kuna kipindi alikua anafanya sijui ndo reality show, hiko ki apartment chake sasa, jiko limefubaa, Washing machine zile za laki nne na nusu yani had nikaona aibu , halafu na yeye ndo anakazana kutuonyesha madai anaturusha roho[emoji23]

Nilikua naangalia apartment yake kwenye show kuna simu mara paa chupi ziko jikoni, chooni kuchafu, nikajisemea kama hauna cha kuonesha binamu kaa kimya tu.
 
Back
Top Bottom