Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
handwriting yake tu inaonesha ni jinsi gani alivyo "NGAMIA"Kila nikiangalia post zake najisikia kumchamba ila maskin nikaja kujua shostito nati kichwan zimekatika, she needs a mental check up kwa kweli, Diva kichwa chake sio kizima. Sijui anajikutaga nan mwenyew maskin, Yan anahangaika, full kujisifia I have this and that, mara niko na pesa, halafu kesho yake tena anaanza kupost matangazo ya elfu 30. Mara ana nyumba masaki na mikochen, Yan huyu mbwa anahangaika na maisha had anatia huruma View attachment 1764453
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umemsahahu kimbaumbau mwengine (Zamaradi). Sijui vimbau mbau mnapata wapi muda wa kuandika vile
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunakua na stress maana tunakula sana lakini nyama haziongezeki.
"I have good lawyers"
Basi atakua ana-kilometa nyingi sana.Huyu ni mkubwa ila anajifanya mtoto we fikiria pingu na deso ft blue Joanita Diva yymo mule kama video qween na alikua mkubwa sasa anasemaje ana miaka 32?
Hahaha [emoji3][emoji3]Nimeishia hapo aliposema ana 32.
DIVA ana 32 yaani kanizidi Mwaka mmoja?
Kha. Huko Dar lazima nije, mwaka uko una siku 365 kweli au siku 60,000 kama Neptune?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan diva ananipaga raha sana sijawah kujuta kumfollow kwa kweli
Kuna kipindi alikua anafanya sijui ndo reality show, hiko ki apartment chake sasa, jiko limefubaa, Washing machine zile za laki nne na nusu yani had nikaona aibu , halafu na yeye ndo anakazana kutuonyesha madai anaturusha roho[emoji23]
umri wake sahihi ni upi?Anakwambia she takes no side, I’m real man , ain’t Snitch , sina shobo na mtu wakati mda huo huo ana shoboka na Diamond [emoji23][emoji23]
sema hanaga skendo nlisikia ya gk na alikiba napo kwa mbaliDiva hajielewi kabisa
Akiipata c ndo azid kuchafukwaHivi alifanikiwa kupata mimba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan diva ananipaga raha sana sijawah kujuta kumfollow kwa kweli
Kuna kipindi alikua anafanya sijui ndo reality show, hiko ki apartment chake sasa, jiko limefubaa, Washing machine zile za laki nne na nusu yani had nikaona aibu , halafu na yeye ndo anakazana kutuonyesha madai anaturusha roho[emoji23]
Hahaha!Unaweza dhani ni pisi kali
ukimuona kumbe ni copy ya mkoko tonombe na ndugu yake onyango