Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
HAHAHA ITAKUWA KIWANDA NIMENGALIA MARA MBILIMBILI NIKAWAZA NI KANISA LA UFUFUO NA UZIMA AMA NINI?Uchumi wa Viwanda!
Anajenga kiwanda jamani!
najua alikotoka hivyo kwa bati hiyo na nyumba hiyo sio mbaya amejitahidi sanaNami nimeshangaa mkuu.
Kumbe Uchi unalipa hivoo...Diva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo, amewaonesha mashabiki jambo ambalo limewashtua katika mtandao wa Instagram.
View attachment 466185
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.
“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays. Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018 yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah'', ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.
Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa wenye mijengo mikali hapa Bongo.
Chanzo: Bongo 5
hivi sponsor ads gharama zake zikoje?kuja kwa sponsor ads kumeharibu biashara ya matangazo insta... enz zile ukiwa na followers wengi hulali njaa
WEWE HOU UJENZI WA MBOGAMBOGA UMEANZA? ACHA DHARAUUjenzi wa kuunga Unga
Clouds anapokea 3M, sasa kwa mshahara huo hawezi chukua mkopo wa 100M?Kudadeki hiyo nyumba kwa haraka haraka imeisha ramba zaidi ya molioni 200
Labda kama kahongwa
Lakini sio kwa mshahara wa clouds na ads za insta
iyo nyumba ingependez akama angepiga kigae aisee.Diva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo, amewaonesha mashabiki jambo ambalo limewashtua katika mtandao wa Instagram.
View attachment 466185
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.
“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays. Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018 yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah'', ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.
Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa wenye mijengo mikali hapa Bongo.
Chanzo: Bongo 5
Clouds anapokea 3M, sasa kwa mshahara huo hawezi chukua mkopo wa 100M?
Kafanya kazi clouds zaidi ya miaka 6
Acha dharau wewe.mbona amepauli bati za fensi
Jamani ilo ghorofa kha! jengo kama limejambwa na shetani
Kuna kitu kuhusu kujamba unacho wewe ni ke ?Nyooooo eti mshahara milioni 3 ,huyo hata akilipwa 700,000 najamba cheche