Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege mjanja.....amepumzika kwenye tundu lake bovu.
Huyu mbibi sasa alikataa nn na kumshambulia Faiza, mbna aliyo semaga Faiza ndo yeye leo kayarudia?? Au anatafuta kiki mjiniii? Maana slays, divas na chawas bila kiki hawana maisha town, lol.
Nweiii nasubiri afunguke zaidi, na sie tuongezee neno, tusije ambiwa sie Wanga bureee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusikie upande wa pili tuone.
😂😂😂Mapenzi ya mitandaoni tumaeidhishwa watazamaji huku wahusika wanateseka🤣🤣🤣
Yaan ni hatariii, tatizo LA celebs wa Bongo fakes na unafikii mwingii, mxxxxieeeew.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tujikumbushe