Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mawigi yake yanamuangusha. Anavaa mawigi mabaya.Kumbe Diva sio mzuri hata
🤣🤣🤣tujikumbushe
😆 😆 😆 😆Na mawigi yake yanamuangusha. Anavaa mawigi mabaya.
Kwahiyo Jina kali sura Mee.Na mawigi yake yanamuangusha. Anavaa mawigi mabaya.
Maisha ya insta ni ya kipumbavu sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hawajalogana walifanyiana dua
Kwa hiyo huyu katoa mil 500 au alimuoa kwa mkopo?Maana dada yetu alisemaga mahali yake ni mil 500.
[emoji2][emoji2][emoji2] mm sijasemaKwahiyo Jina kali sura Mee.
Wanaweza kuwa wanaigiza hao.Wapenzi wakigombana, chukua jembe ukalime.
Wakipatana, chukua kapu ukavune.
🤣🤣Chizi wa taifa
Huyu mbibi sasa alikataa nn na kumshambulia Faiza, mbna aliyo semaga Faiza ndo yeye leo kayarudia?? Au anatafuta kiki mjiniii? Maana slays, divas na chawas bila kiki hawana maisha town, lol.
Nweiii nasubiri afunguke zaidi, na sie tuongezee neno, tusije ambiwa sie Wanga bureee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusikie upande wa pili tuone.
Women always play a victim even in a case she has caused by herself.
They will never accept that they are wrong and sometimes they don't apologize.
Nasubiri kwanza upande wa sheikh Abdul asemaje tupate clear picture .