Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

Mimi namwelewa diva Sana🙏sikubaliani na tabia zake anazopotray mitandaoni,manake sijawahi muona live.yuko sahihi,alikuwa anaishi kwenye a perfect world yake, 🙏 alikosea akidhani huo ulimwengu anaweza kuuumba akiwa tized,very big mistake.kwamba udate na kuolewa na mwanaume handsome (kwa standard zetu za kibongo bongo)afu um-recreate kuwa a man of your dreams 🤣haipo hiyo Tanzania,alifanikiwa to Vanessa,veemoney🙏na siyo hapa ni huko ulimwengu wa kwanza🙏

Diva ana upendo wa kweli halafu kwa tapeli
Nadhani amejifunza sana
 
Huyu mbibi sasa alikataa nn na kumshambulia Faiza, mbna aliyo semaga Faiza ndo yeye leo kayarudia?? Au anatafuta kiki mjiniii? Maana slays, divas na chawas bila kiki hawana maisha town, lol.

Nweiii nasubiri afunguke zaidi, na sie tuongezee neno, tusije ambiwa sie Wanga bureee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo kilichobaki
 
Wanawake hawana malengo, sasa haya mabusu yote, na anachosema sasa ni tofauti, kwenye hayo mabusu tu unaona analazimisha na jamaa wala hana mzuka.

Wanavyopenda kwa nguvu ndivyo wanavyochukia kwa Nguvu
Sasa atasemwa hadi ya sehemu za siri🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom