Kweli kabisa.Whatever the case, they should't disclose their affair kwa media, wamalizane kimya kimya, sijui kwa nini watu huwa wanaweka personal issues zao kwa social media
Kama alimuuguza au alimjali, she did for love and thats it. Asitusumbue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa.Whatever the case, they should't disclose their affair kwa media, wamalizane kimya kimya, sijui kwa nini watu huwa wanaweka personal issues zao kwa social media
Kama alimuuguza au alimjali, she did for love and thats it. Asitusumbue
🤣🤣🤣Jamaniii,sio kila mtu anapendeza akikonda sura.😆 😆 😆 😆
Sema tuu na alivyojinenepea mpk uso..
Mimi namwelewa diva Sana🙏sikubaliani na tabia zake anazopotray mitandaoni,manake sijawahi muona live.yuko sahihi,alikuwa anaishi kwenye a perfect world yake, 🙏 alikosea akidhani huo ulimwengu anaweza kuuumba akiwa tized,very big mistake.kwamba udate na kuolewa na mwanaume handsome (kwa standard zetu za kibongo bongo)afu um-recreate kuwa a man of your dreams 🤣haipo hiyo Tanzania,alifanikiwa to Vanessa,veemoney🙏na siyo hapa ni huko ulimwengu wa kwanza🙏
🤣🤣🤣tujikumbushe
Hajafundwa kabisa au Kungwi arudishe pesaKweli kabisa.
SahihiMke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Ndo kilichobakiHuyu mbibi sasa alikataa nn na kumshambulia Faiza, mbna aliyo semaga Faiza ndo yeye leo kayarudia?? Au anatafuta kiki mjiniii? Maana slays, divas na chawas bila kiki hawana maisha town, lol.
Nweiii nasubiri afunguke zaidi, na sie tuongezee neno, tusije ambiwa sie Wanga bureee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo Kwa wazazi wao itakua Hawa wasaniiInstagram itamsaidia kuokoa ndoa?
Mhaya na mtangaHivi anatokea mkoa gan huyu Bibi?
Maana nipo katika utafiti binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake hawana malengo, sasa haya mabusu yote, na anachosema sasa ni tofauti, kwenye hayo mabusu tu unaona analazimisha na jamaa wala hana mzuka.
Diva ni mtoto wa Jamal malinzi,aliyekuwa Rais wa soka Tanzania,TFF.Hivi anatokea mkoa gan huyu Bibi?
Maana nipo katika utafiti binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanavyopenda kwa nguvu ndivyo wanavyochukia kwa Nguvu
Sasa atasemwa hadi ya sehemu za siri🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Hao ndio madem wa 500m mahari
Usipende sasa, Mbona wewe Mama D hauko hivyo? Kila kitu kwa kiasi, all extremes are bad.
Hapa ndio nasemaga mwanamke hata akikupenda vipi usikubali afanye majukumu yako kama kichwa cha familia
Maana akicharuka ndio yanakuaga hivi..... wanawake tuacheni tuu na akili zetu hizi