Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

Kosa kubwa ni ku cheat tu diva,ila kama mliapa sijui mkasomeana nini,ukisikia ana mwanamke mwingine lazima upagawe, you are doing it the wrong way,utaumia mpaka basi na watu wa insta, usipende kutafuta comfort online...watu wamevurugwa, best is to move on, wewe sio wa kwanza kupitia hayo unayopitia, trust you will pass....hafu huyo mwanaume kama kaenda kwa sugar mamy mwingine, inaelekea yuko insecured mwanamke akiwa na hela ndio ana amani, mwanaume wa hivi ni wa kumkwepa....sijui wanawake tunafeli wapi, sijui sababu zilizomfanya huyo sheikh kumuacha huyo mpenzi wake wa zamani, ila kama ulimuonyesha una pesa akapendea pesa zako, akija mwenye dau kubwa ujue mume huna....
 
Swadaktaaaaa
 
Mpuuzi mkubwa huyu... Kumbe Ana shida na pesa... Anataka michango...

Mpumbavu...
Kashindwa lipa Kodi huyu
 
Yaani diva alikuwa anapigwa?na hajawahi sema?[emoji23][emoji23]diva huyuhuyu?
Hivi anatuonaje??
Kuna chumvi anaongeza sasa sijajua lengo lake la kuongeza hizo chumvi ni nini,ki ufupi ana mission yake katika hili mpk kuliweka Public.

Anajua akikaa kimya hatotongozwa maana watu watajua n mke wa mtu, hivyo hapa naona kama yupo kwenye promotion (indirect way)

Wanawake wanaotegemea wanaume kuishi mjini utawaona tu na miondoko yao ya maisha,hamnaga stable woman (financialy) anaelia lia mtandaoni kisa mapenzi.

Huyu mshahara hauendani na maisha aloyachagua kuyaishi so n lazima apate boost ya mwanaume mwenye mzigo, Kashampoteza alienae Atampataje mwingine?!?

Team Mauzo na Team Masoko ikaja na solution ni Matangazo ya Online yafanyike kutangaza Tenda.

Wakulungwa wanasema hiii imeeendaaaa Taarifa zimefikaaa, Mission Successful, Subirini Fujo za Diva kwa ataeshinda TENDA.

Masharti ni yale yale Bila Mahari Mil.500 usimsogelee Divaaaaa
 
Hii comment isomwe kwa sauti ili Wenye vichwa vizito kuelewa mambo ya mjini wasikie na kuelewa! [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…